Kampuni ya Zongh Tong imechukua eneo la iliyokuwa TAMCO (nadhani Tanzania Motors Company). Hii kampuni ya Zongh Tong wanatengeneza mabasi ya abiria na kuuza. Nadhani wengi mtakuwa mmeona matangazo yao kwenye television.
Nisichokijua ni kuwa hii kampuni imejiandikisha hapa nchini kama mwekezaji au kama car dealer?
Kama walijiandikisha kama wawekezaji, je wanatengeneza magari hapa nchini au wanatengeneza mabasi huko nchini kwao na kuyaleta Tanzania kuuza?
Kama wanatengeneza nchi kwao na kuuza hapa nchini, ina maana TAMCO imebadilika kutoka kuaasemble magari hadi kuwa yard/dealership?
Kama wanatengeneza magari huko kwao na kuja kuyauza Tanzania kwa mgongo wa uwekezaji, ina maana ajira nchini kwao itakuwa imeongezeka, export nchini kwao itakuwa imeongezeka, na uchumi wa nchi yao utakuwa umeimarika zaidi wakati uchumi wetu unazidi kudidimia, na tatizo la ajira linazidi kuongezeka, n.k.
Nisichokijua ni kuwa hii kampuni imejiandikisha hapa nchini kama mwekezaji au kama car dealer?
Kama walijiandikisha kama wawekezaji, je wanatengeneza magari hapa nchini au wanatengeneza mabasi huko nchini kwao na kuyaleta Tanzania kuuza?
Kama wanatengeneza nchi kwao na kuuza hapa nchini, ina maana TAMCO imebadilika kutoka kuaasemble magari hadi kuwa yard/dealership?
Kama wanatengeneza magari huko kwao na kuja kuyauza Tanzania kwa mgongo wa uwekezaji, ina maana ajira nchini kwao itakuwa imeongezeka, export nchini kwao itakuwa imeongezeka, na uchumi wa nchi yao utakuwa umeimarika zaidi wakati uchumi wetu unazidi kudidimia, na tatizo la ajira linazidi kuongezeka, n.k.