haya sasa kazi anayo namuona kila mara kazi yake ni kwenda pale kariakoo maeneo ya mkunguni street kwa yule muhindi anaye wauzia suti za kuvaa mafisadi hao eti suti moja milioni moja nusu wakati jimboni kwake anashindwa hata kuwalipia karo baadhi ya watoto ambao hata wazazi wao walishakufa waige mfano wa mbunge wa musoma muda mfupi kafanya mambo makubwa sana