Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Msisahau mabandiko yenu baada ya kura kupigwa manake wananchi wanajua wanataka nini hata mkiwasemea namna gani. Rombo si kuna Kiliwater sasa kama wao nao wanatatizo la maji basi watu wa Kibakwe - Dodoma huko wasemaje?
Sikubaliani na wote wanaona raisi/mbunge au diwani ni suruhisho la matatizo kwa wananchi kwa 100%. Wananchi wenyewe wanayo nafasi kubwa ya kujiletea maendeleo wao wenyewe hata kama hakuna mbunge kutoka chama chochote kwa zaidi ya 40%.
Ubunge ni uwakilishi zaidi kuliko kutatua matatizo ya wananchi, wananchi wenyewe watajiletea maendeleo kama mtaacha kuwatukuza wanasiasa na uchaguzi.
Sikubaliani na wote wanaona raisi/mbunge au diwani ni suruhisho la matatizo kwa wananchi kwa 100%. Wananchi wenyewe wanayo nafasi kubwa ya kujiletea maendeleo wao wenyewe hata kama hakuna mbunge kutoka chama chochote kwa zaidi ya 40%.
Ubunge ni uwakilishi zaidi kuliko kutatua matatizo ya wananchi, wananchi wenyewe watajiletea maendeleo kama mtaacha kuwatukuza wanasiasa na uchaguzi.