Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Inavyojulikana Judge Masati si mchezo. Yuko strict sana. Ningeshangaa kama Zombe angeachiwa!!!!! Katika hao 9 ni lazima pia kila mtuhumiwa apate hukumu kulingana na ushiriki wake. Japo mlenga shabaha bado hajapatikana but naamini siku ya hukumu mambo yatakuwa mazito. Tusubiri utetezi wao.