Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
zidane was the best player of the past 20 years....si maneno yangu bali ya marcello lippi kocha wa hao italy unaowasifia mwaka 2006!kauli hii aliitoa mwaka huohuo 2006!wanaume kombe uwanjani vinjino gaucho kitambo na chama lao walishafungasha virago!na kama una kumbukumbu nzuri nadhani utakumbuka washabiki wa brazil walitoa kauli gani baada ya game ya brazil na france kuisha!!!!uwanja mzima kulikuwa na mbrazil mmoja tu naye ni zinadine zidane!si maneno yangu bali ya washabiki wa kibrazil walioshuhudia shughuli ya zizzou dimbani mbele ya wabrazil wenzao<br />
<br />
Na mchango wake aliuonyesha ktk fainali ya worldcup mwaka 2006 pale aliposhindwa kufurukuta mbele ya sungusungu Simon Perotta, Daniel De Rossi, Andrea Pirlo na Genarro Gattuso.
Generali Fabio Canavaro alikuwa anasaidiana na Brigadia Generali Marco Materazzi wa Bridedi ya Via Turatti pale Milan...
Zidane alistahafu Soka kwa Aibu kubwa.
Alifanya upuuzi ambao unaweza kufanywa na Haruna Moshi na wachezaji wa Mchangani