Zizou vs Ronaldinho

RON alikuwa ametoka sayari nyingine jamani. Mnakumbuka ile Free kick aliyo wafunga England kombe la dunia Korea kusini
 
Ronaldinho alikuwa noma soka yake ya burudani bado tunaimiss na tutaimiss sana coz hajatokea bado wakuvaa viatu vyake.
 
Ronaldinho na Zizou wote ni wakali kwa namna yake. Kama ni mapishi Zizou ni mtaalam wa kupika ugali na Dinho ni mtaalam wa kupika wali.
 
Hacheni masihalah!! Zizzou ni noma, huyo ndio aliwazuia Brazil kuchukua World Cup 1998, na ni huyo huyo aliwazuia wabrazil kuingia nusu fainal World Cup 2006. Kwa showgame Dinho anatisha ila kwa swala ya nani ni Bora Zidane yupo juu Many experts have testified to Zidane's skills and impact as an all-time great, such as Brazil coach Carlos Alberto Parreira who has labelled Zidane "a monster" for his performance and playing skills. French footballer Michel Platini states Zidane is one of the most skillful players the game has ever known: "Technically, I think he is the king of what's fundamental in the game – control and passing. I don't think anyone can match him when it comes to controlling or receiving the ball."

German coach Franz Beckenbauer stated: "Zidane is one of the greatest players in history, a truly magnificent player." Pelé, a World Cup winner three times with Brazil, hailed Zidane after seeing Brazil losing to France: "Zidane was the magician in the game." Italy's manager Marcello Lippi, who has also coached Zidane, opined "I think Zidane is the greatest talent we've known in football these last 20 years, yet he never played the prima donna. I am honoured to have been his manager."[52] Among his peers, David Beckham has described Zidane as "the greatest of all time",[53][54] FC Barcelona star Xavi has stated in a 2010 interview that Zidane was "the '90s and early 2000's best player"[55] while Brazilian defender Roberto Carlos has said of Zidane that, "he is the best player I've seen", in a 2010 interview with French newspaper L'equipe.[56] Cesare Maldini, the Italian coach and father of Paulo Maldini once stated, “I would give up five of my squad to have Zidane in my team”.
 
Nyie nadhani mmemsahau ZiZou.
Hakuna kama Zizou akifuatiwa na Okocha JJ then ndio Dinho.
 
Ronaldinho na Zizou wote ni wakali kwa namna yake. Kama ni mapishi Zizou ni mtaalam wa kupika ugali na Dinho ni mtaalam wa kupika wali.
<br />
<br />
Sasa kama Zidane ni mtaalamu wa kupika ugali basi fahamu kuwa Ugali sio chakula na ndio maana haupikwi bali unasongwa...

Woora woora Dinho...
Umebarikiwa kuliko wachezaji woote
 
Nyie nadhani mmemsahau ZiZou.<br />
Hakuna kama Zizou akifuatiwa na Okocha JJ then ndio Dinho.
<br />
<br />
yaani sisi tunawaza tutakula na nini?...wewe mwenzetu unawaza utakula nini?

Hebu usithubutu tena kumtaja huyo Okocha.

siko hapa kutetea uafrika kama ambavyo wewe umekuja na hoja yako.

Cha kukusaidia nenda kaangalie ktk historia Okocha amebeba makombe mangapi ya Ligi alizowahi kucheza na kisha kahesabu Mtakatifu amebeba Makombe mangapi.
Kisha kahesabu mtakatifu keshakuwa mwanasoka bora mara ngapi na Okocha mara ngapi.
Kisha kaangalie Mtakatifu kachezea timu kubwa ngapi na kisha ujiulize kwa nini Okocha hakuwahi kuchezea timu kubwa zinazotamba ulimwenguni.

Okocha mfananishe na wendawazimu wenzie wanaocheza kwa kufurahisha jukwaa then mwisho wa Siku timu haina nafasi hata ya kucheza Champions League.

Okocha angekuwa zaidi ya Mtakatifu Gaucho angekuwa keshachukuliwa na timu kubwa.
Lakini kuna waafrika wengi wenye kucheza mpira kwa kuisaidia timu wamekuwa wakigombewa na timu kubwa kadha wa kadha.

Okocha ni ushuzi kwa Mtakatifu Gaucho
 
na mkitaka kujuwa kuwa Gaucho ameshushwa na Mungu kutuonyesha soka la Mbinguni basi tafuteni mechi iliyochezwa juzi kati hapa kati ya Santos na Flamengo.


Hapo ndipo kila goti lilikiri kuwa Gaucho ni Mbarikiwa.
Hakuonekana Neymar wala Ganso.

Hata Santos wenyewe waliungama na kuanza kumshangilia Gaucho.

Kikubwa alchofanya alifunga magoli mawili na ya pekee na kisha kama ilivyo ada akatambulisha chenga mpya ambazo hazijawahi kupigwa hapa Duniani.
 
<a href="http://www.youtube.com/watch?v=KEF0WGaAcZQ" target="_blank">&amp;#x202a;ronaldinho VS. zidane&amp;#x202c;&amp;rlm; - YouTube</a>
<br />
<br />
Nimeiangalia kwa utulivu mkubwa sana.

Hakika kama skills za Zidane ndio zile basi mi naona wa kumlinganisha nae ni Gilles Grimandi na sio wa hadhi ya Gaucho.

Kuna kipande humo Gaucho anawapiga kanzu jamaa watatu. Nakumbuka hiyo mechi ilikuwa mwezi wa Ramadhani kama huu, baada ya hapo jamaa wakaanza kufunga coz viwalo walikuwa wameshavipata toka kwa mtakatifu.

Hizo kanzu zikabatizwa jina le' grand barreti
 
<br />
<br />
Nimeiangalia kwa utulivu mkubwa sana.

Hakika kama skills za Zidane ndio zile basi mi naona wa kumlinganisha nae ni Gilles Grimandi na sio wa hadhi ya Gaucho.

Kuna kipande humo Gaucho anawapiga kanzu jamaa watatu. Nakumbuka hiyo mechi ilikuwa mwezi wa Ramadhani kama huu, baada ya hapo jamaa wakaanza kufunga coz viwalo walikuwa wameshavipata toka kwa mtakatifu.

Hizo kanzu zikabatizwa jina le' grand barreti


I second you Gang Chomba, Gaucho is the best.

Check this out
&#x202a;Ronaldinho freestyle&#x202c;&rlm; - YouTube
 
Dinho ana skils za ajabu !

Zizou ana uwezo wa kumiliki mpira na si rahisi kupoteza...

dinho game yake ya kasi.. anakimbia saaana...

Zizou game yake ya slow


si rahisi kufananisha hawa watu wawili
 
German coach Franz Beckenbauer stated: "Zidane is one of the greatest players in history, a truly magnificent player." Pelé, a World Cup winner three times with Brazil, hailed Zidane after seeing Brazil losing to France: "Zidane was the magician in the game." Italy's manager Marcello Lippi, who has also coached Zidane, opined "I think Zidane is the greatest talent we've known in football these last 20 years, yet he never played the prima donna. I am honoured to have been his manager."[52] Among his peers, David Beckham has described Zidane as "the greatest of all time",[53][54] FC Barcelona star Xavi has stated in a 2010 interview that Zidane was "the '90s and early 2000's best player"[55] while Brazilian defender Roberto Carlos has said of Zidane that, "he is the best player I've seen", in a 2010 interview with French newspaper L'equipe.[56] Cesare Maldini, the Italian coach and father of Paulo Maldini once stated, "I would give up five of my squad to have Zidane in my team".
Zidane was the best of his generation, mchezaji bora hapimwi kwa mbwembwe zake uwanjani bali kwa mchango wake.
 
Zidane was the best of his generation, mchezaji bora hapimwi kwa mbwembwe zake uwanjani bali kwa mchango wake.
<br />
<br />
Na mchango wake aliuonyesha ktk fainali ya worldcup mwaka 2006 pale aliposhindwa kufurukuta mbele ya sungusungu Simon Perotta, Daniel De Rossi, Andrea Pirlo na Genarro Gattuso.


Generali Fabio Canavaro alikuwa anasaidiana na Brigadia Generali Marco Materazzi wa Bridedi ya Via Turatti pale Milan...

Zidane alistahafu Soka kwa Aibu kubwa.
Alifanya upuuzi ambao unaweza kufanywa na Haruna Moshi na wachezaji wa Mchangani
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom