Ziwekee maneno hizi picha:simba na yanga mjengoni

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139



s7.jpg


 
wenye kombe la ukweli miaka miwili mfululizo lazima wawe na nyuso za furaha, na wale waliozoe kuchukua makombe ya mbuzi lazima wawe na nyuso za uzuni
 
naona simba wanatia tia huruma tu hapo, na icho sijui ni kibao au ka kibao hako,
 
Simba bwana!hivi kwanini mashindano ya kimataifa yanawashindaga hawa wanyama ?
 
Hee hivi kumbe Simba walipeleka kile kibao(Ngao ya Hisani) shame on them...
Wenzao wanapeleka walichovuna kimataifa wao wanapeleka tuzo za mashindano ya ndani,foolish kweliX2
 
Simba bwana!hivi kwanini mashindano ya kimataifa yanawashindaga hawa wanyama ?

Mashindano ya kimataifa yapi unayoongelea? Hilo kombe la afrika mashariki na kati Simba kachukua mara nyingi kuliko timu nyingine yoyote (mara sita), kafika fainali ya kombe la CAF, kafika nane bora ya klabu bingwa ya Afrika, na mara kadhaa hajaishia raundi ya kwanza kama Yanga. Kuchukua mara 2 hilo kombe mnajisahau sasa mnaanza kutukana kaka zenu kwenye upande wa kimataifa?!!
 
Mashindano ya kimataifa yapi unayoongelea? Hilo kombe la afrika mashariki na kati Simba kachukua mara nyingi kuliko timu nyingine yoyote (mara sita), kafika fainali ya kombe la CAF, kafika nane bora ya klabu bingwa ya Afrika, na mara kadhaa hajaishia raundi ya kwanza kama Yanga. Kuchukua mara 2 hilo kombe mnajisahau sasa mnaanza kutukana kaka zenu kwenye upande wa kimataifa?!!
Mara mbili mfululizo,msijisahaulishe hilo,na pili simba imechukua mara 6 zote ikiwa ni hapahapa bongo,yanga imechukua mara mara moja ikiwa nje ya nchi,nane bora ya club bingwa africa timu ya kwanza kuingia katika ukanda mzima wa afrika mashariki na kati ikiwemo congo ni yanga baada ya kuitoa coffee ya Ethiopia iliyoitoa National al Ahly ya misri kabla ya kukutana na yanga na kuchezea bao 6-0 pale Temeke a.k.a. shamba la bibi,weka kumbukumbu sawa.Kukusaidia zaidi timu ya mwisho kutuabishakwa kupigwa goli nyingi kwenye mashindano ya kikombe ya africa ni simba,mwaka juzi ilichezea 5-0 mbele ya Harras Al Hadood ya misri
 
Mashindano ya kimataifa yapi unayoongelea? Hilo kombe la afrika mashariki na kati Simba kachukua mara nyingi kuliko timu nyingine yoyote (mara sita), kafika fainali ya kombe la CAF, kafika nane bora ya klabu bingwa ya Afrika, na mara kadhaa hajaishia raundi ya kwanza kama Yanga. Kuchukua mara 2 hilo kombe mnajisahau sasa mnaanza kutukana kaka zenu kwenye upande wa kimataifa?!!

nona upo unaongelea enzi za mwalimu. Pole sn kwa hadithi zako alizokusimulia bibi
 
wenye kombe la ukweli miaka miwili mfululizo lazima wawe na nyuso za furaha, na wale waliozoe kuchukua makombe ya mbuzi lazima wawe na nyuso za uzuni

Wanasubiri kupeleka lile la ujirani na bonanza super 8.
 
huwezi kuweka picha za namna hii ukasema zitolewe ufanunuzi kwani zimepigwa ktk matukio tofauti(wengine wako kwenye picha ya pamoja kwa kutambulisha kombe bungeni na wengine wamekaa kwa kutulia wakiwa wanasikiliza majadiliano bungeni) japo wote wako Bungeni.
 
Simba bwana!hivi kwanini mashindano ya kimataifa yanawashindaga hawa wanyama ?

Simba na yanga ni timu ipi yenye record nzuri mashindano ya kimataifa?hako kakombe ndo kanawapa kichwa ngoja na mwaka huu kwenye ligi kuu muuishie kukamata nafasi ya 3
 
simba imara 5-0 daima inawatesa wanayebo yebo

Inawatesa nyie,sisi ndio tunajua kwanini kwa nini tulijifungisha siku ile na matunda ya kujifungisha siku ile ndio hiki kikombe cha kimataifa unachokiona na vingine vinakuja,tulijitoa kafara makusudi kwa ajili ya mafanikio ya ukweli.
 
Simba na yanga ni timu ipi yenye record nzuri mashindano ya kimataifa?hako kakombe ndo kanawapa kichwa ngoja na mwaka huu kwenye ligi kuu muuishie kukamata nafasi ya 3
Record ipi kwa mfano,yanga wana record ya vikombe tena kwa kuchukua vikombe vya kimataifa mpaka nje ya mipaka ya bongo,simba for more than five years now hawana kikombe chochote cha kimataifa,huo ndio ukweli,tengenezeni timu acheni ujanja ujanja wa kucheza na marefa,kuna mwaka mlimaliza ligi ya bongo kwa kutofungwa hata mchezo mmoja hapa,lakini unakumbuka nini kiliwapa mlivuka mpaka na kuingia rwanda tu hapo kwenye kagame?na baada ya hapo unakumbuka mlifanywa nini na Harras el hadood ya Egypt???kukusaidia tu ni kwamba kwenye kagame hamkushinda mechi hata moja,kwenye champion league ya afrika ndio mkachezea hamsa(5-0)mbele ya Harras el Hadood,hayo ndio mashindano ya kimataifa na jinsi yanavyowatesa.
 
huwezi kuweka picha za namna hii ukasema zitolewe ufanunuzi kwani zimepigwa ktk matukio tofauti(wengine wako kwenye picha ya pamoja kwa kutambulisha kombe bungeni na wengine wamekaa kwa kutulia wakiwa wanasikiliza majadiliano bungeni) japo wote wako Bungeni.
ukweli ni kwamba wote walipeleka tuzo,tofauti ni kwamba wamoja yao ilikua ni ya mbao then ya just kuifuna yanga kwenye mechi moja na wengine ni kikombe cha kimataifa walichokitwaa baada ya kuzishinda timu zote bora za ukanda mzima wa afrika mashariki na wakiwemo mafundi wa mpira congo,ndio tofauti yetu,thats why unaona hata shangwe baina yetu hapo pichani ni tofauti kidogo,unaweza kuchukua ubingwa usiwe na furaha badala yake ukawa kama mfiwa???hii hakuna dunia nzima,sura za ubingwa wa ukweli hazifichiki hata iweje,uso utaonyesha nuru tu.Jipangeni bwana hizi ngao za hisani sijui kombe la mapinduzi,kombe la malaria na n.k. havitawafikisha popote
 
Mara mbili mfululizo,msijisahaulishe hilo,na pili simba imechukua mara 6 zote ikiwa ni hapahapa bongo,yanga imechukua mara mara moja ikiwa nje ya nchi,nane bora ya club bingwa africa timu ya kwanza kuingia katika ukanda mzima wa afrika mashariki na kati ikiwemo congo ni yanga baada ya kuitoa coffee ya Ethiopia iliyoitoa National al Ahly ya misri kabla ya kukutana na yanga na kuchezea bao 6-0 pale Temeke a.k.a. shamba la bibi,weka kumbukumbu sawa.Kukusaidia zaidi timu ya mwisho kutuabishakwa kupigwa goli nyingi kwenye mashindano ya kikombe ya africa ni simba,mwaka juzi ilichezea 5-0 mbele ya Harras Al Hadood ya misri

Unakumbuka alivyofungwa Simba tu, jaribu kujikumbusha na vipigo vya Yanga. Mara ya mwisho kufika raundi ya pili sijui ni lini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom