Elections 2010 Zitto yuko wapi?

Mkuu Junius,
Zitto hajachelewa,bado ni kijana na nafasi bado ipo. Nina imani kampeni za 2015, yeye ndo atakuwa mwekiti wa chama chetu

Wale mafisadi (ccm) na vibaraka vyao wamekaa macho jujuu kutwa kucha wakisubiri kusikia Zitto kafanya hiki.... Mtasubiri sanaa Zitoo yupo kazini ana nia ya kuwatumikia wananchi...... Zito Hoyeeeeeeee... CHADEMA OYEEEEEEEE
 
Kaka usiwe na wasiwasi na Zito,, Yuko kwenye Kampeni Kubwa ya Chama.

Mimi nadhani uchaguzi ujao Zitto ni mwenyekiti, and naona kabisa kama Slaa akishinda basi Zitto apewe uwaziri Mkuu.. Kwani anauwezo na elimu ya kutosha kabisa..
 
Kaka usiwe na wasiwasi na Zito,, Yuko kwenye Kampeni Kubwa ya Chama.

Mimi nadhani uchaguzi ujao Zitto ni mwenyekiti, and naona kabisa kama Slaa akishinda basi Zitto apewe uwaziri Mkuu.. Kwani anauwezo na elimu ya kutosha kabisa..
Mbona ata makoma wa raisi sikiki watu amsemi kwa zitto midomo juuu
 
Siku hyiz simwamini amin sana huyu jamaa..mara tuambiwe anaurafika na kina Rostam..oh..Jussa nae..tena nduguye Rostam yule..undugu ulio na urafiki ndani yake (Rostam na Jussa)..poor Zitto taarifa kuwa amekuwa chanzo cha kuharibu uteuzi na uchaguzi wa viti maalumu ndan ya CHADEMA ndo zimeshtua zaidi..tuendelee kumwombea labda atarejea kama alivyokuwa nyakati zile..the Zitto I knew!hela hizi hakyanani zilimfanya Yuda amuuze Yesu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom