Zitto Vs Mkulo, Nani Mwongo? IMF yaikalia kooni serikali

Wana JF jana jioni nimemsikia huyu kibonde akisema kama serikali imeamua kukopa katika benki za ndani ili kulipa mishahara ya watumishi wake haina neno so long as itakaporejesha deni hilo fedha izo zitatumika kuinua uchumi wa humu humu nchini,kivipi wachumi naomba mnisaidie??serikali ikope stanbic au exim irejeshe iyo pesa inasaidia vp uchumi wetu??? labda kama iyo pesa iliyokopwa ingekuwa kwa shuguli ya maendeleo kujenga barabara,hospitali nk lakini kwa kulipa mishahara,bado hai click. Tusaidiana wanajf uyo ndio kibonde na radio yao ya clouds CCM B...!!!


kibonde ni moja kati ya watangazaji wanafanya clouds ionekane pro-ccmagamba hasa kwa mambo ya kidwanzi(kijinga). Tatiza lake na kwamba anavamia kujadiri mamo asiyoyaweza(elimu inambana). Na ndiomaana he end's up with pour reasoning and transient(sort lived) decisions live in public.
 
Tatizo letu wabongo ni blah blah...kama Mkullo kawalipa angeonesha documents za hazina mtandaoni,this is a .com generation,post it and we will see!!
My take.....
Hazina wamerelease fedha,wamangimeza wameshindwa kuzidistribute on time kwa ajili ya pasaka,muungano break(I dont know).....but the government can always print money,thats not really an issue!
 
Hali mbaya pesa serikalini hilo ni jambo lililowazi, nashangaa kuona kuna watu wanajaribu kutetea, Mkulo anaweza kusema wabunge wameshalipwa, Je wamelipwa ya lini na ya mwezi gani?
Ukweli ni kuwa lazima serikali ikili mapungufu iliyonayo na ijifunze uungwana wa kushirikishana na kukubali ushauri hata kama unatoka upinzani, kitu cha msingi wote ni watanzania na vyama hivyo vinaendeshwa kwa ruzuku itokanayo na kodi za wananchi.
 
Sasa hv OC haziji kwa mpangilio kuna mweZi hazipelekwi na kn wkt inaletwa nusu kazi hazifanyiki watumishi wanakuja kutalii ofcn kupiga soga umbea then 9.30 wanasepa home na mwisho wa mwz kama kawa wanadaka salary bila kufanya kazi
 
Zitto kasema ukweli serikali haina fedha ndio maana kuna wafanyakazi waliostaafu toka mwaka juzi mpaka sasa hawajalipwa mafao yao; wengine walikuwa maofisa wakuu humo serikalini!! Huo ndio ukweli juu ya seriakli hii ya kishikaji!!
 
TUNATAKA WAZIRI MKULO AJE HADHARANI ATAMKE WAZI WAZI KWAMBA:

1. Serikali haijakopa Benki ya Exim na nyinginezo kwa ajili ya recurrent expenditure. Hapo ndipo tunamwona Mh Zitto ni mwongo.
2. Kama ni kweli Serikali Imekopa kwenye Local Banks for whatever reasons, wanalipa riba ya asilimia ngapi, na hiyo mikopo ni ya muda gani?
3. Je wanafanya nini ili kutokurudia makosa wanayofanya sasa, na what went wrong mpaka hali hii imetokea and what action did they take to the perpetrators?
4. Taarifa ya CAG inaonyesha mapungfu makubwa mno ya udhibiti wa matumizi ya serikali. Je wanaendeleaje ku-dish pesa kwenye Wizara na taasisi nyingi ambazo hazija account pesa nyingi sana, kinyume na taratibu za kawaida za kifedha?

TAHADHARI:

1. Waziri atambue kuwa wananchi hawafurahii jinsi Seriali ya sasa inavyoendesha mambo yake, kuendelea kupiga propaganda kwenye mambo nyeti kama haya ni kuwadharau wananchi waliowaweka madarakani.

2, Tunamka atoke taarifa zenye ukweli mtupu, bila kupindisha kwa kuogopa madhara ya kisiasa, maanda ndio uwajibikaji.
3, Kama walipa kodi tunastahili kujua mapato na matumizi ya pesa zetu, sio hiari yao bali ni mkataba wetu kati yao na sisi, hivyo nilazima wautelekeze mpaka nukta ya mwisho.
 
Mh Zitto

Kwa Mamlaka uliyonayo kama Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, huwezi kuyataka Mabenki yaliyoikopesha Serikali pesa hizo kukupa nakala ya mikataba ya mikopo hiyo ili tujue makubaliano na masharti yaliyomo pamoja madhumuni ya mikopo hiyo?

Kama kawaida itakuwa ni siri, hakuna jinsi ya kuomba unafuu wa dharura wa kisheria ili kupata nakala hizo?

Tunaomba kujua, please. Siwezi kushangaa huu ukawa ni ufisadi mwingine mchana kweupe!
 
Mh Zitto

Kwa Mamlaka uliyonayo kama Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, huwezi kuyataka Mabenki yaliyoikopesha Serikali pesa hizo kukupa nakala ya mikataba ya mikopo hiyo ili tujue makubaliano na masharti yaliyomo pamoja madhumuni ya mikopo hiyo?

Kama kawaida itakuwa ni siri, hakuna jinsi ya kuomba unafuu wa dharura wa kisheria ili kupata nakala hizo?

Tunaomba kujua, please. Siwezi kushangaa huu ukawa ni ufisadi mwingine mchana kweupe!

Kweli kabisa namashaka na ufisadi mpya huu wa mkulo inawezekana pesa zipo ila kupitia kukopa mabank ili iweze kurejesha kwa riba so, zile riba ni deal kwa mabank na mtoa tenda almost 2.5bilion nimshahara wa kulipa wafanyakazi fikiria mtu kakopa bank riba atakayokuja kulipa ni sh ngapi? na sio ajabu badala ya kukatwa 24% utasikia 30-40% please zito embu fuatilia hili kwa undani zaidi na utujuzi riba wanayorejesha serikali ni asilimia ngapi?
 
https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif
:A S 103::lalala:View attachment Ludewa GRAFS 1.docxView attachment Ludewa GRAFS 1.docxNaomba tuwe sius hapa: hebu angalia takwimu hizi kutoka Ludewa ambako yaonesha fedha zilizoidhinishwa na zile zilizotolewa na Hazina ni vitu viwili tofauti. Je, Halmashauri zitawezaje kutekeleza wajibu wake?? Na je hii haiwezi kutoa picha ni kiasi gani serikali yetu haina fedha??https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/tongue.png
:tonguez:
 
Semina elekezi inafanyiwa kazi na tutaona safari za mawaziri na manaibu wao ili kukidhi matakwa ya mkuu wao. Nasubiri bunge la bajeti nione nini hitimisho la hili zengwe jingine je zito naye anaambiwa na Mhe. Spika apeleke ushahidi wa maandishi then mama aweke chini ya kiti akalie kama kawaida yake au ataacha waziri wake na serikali iumbuke?

Tuungane mwezi ujao kupata majibu ya maswali yote yanayofanana na hayo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom