The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Tanzania yangu nakupenda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje, pengine wamelipwa wote, wa upinzani kwa kuanzia, ili wasipige kelele.Unajuaje......pengine wamelipwa wachache(wa CCM hasa)
...yaani Zitto asilipwe halafu Waziri aseme kalipwa, Waziri hajui gharama ya kauli yake?...yaani Zitto alipwe halafu aseme hajalipwa yeye hajui gharama ya kaulki yake?
Zitto usibadili mada, ulisema Wabunge hawajalipwa.
Waziri kasema wamelipwa na tarehe katoa.
Sasa unakuja na michongo ya makusanyo ya kodi 15% imepungua blah blah blah
Zitto ulibwatuka uzushi, kwa watu makini credibility yako ina suffer!
Zitto usibadili mada, ulisema Wabunge hawajalipwa.
Waziri kasema wamelipwa na tarehe katoa.
Sasa unakuja na michongo ya makusanyo ya kodi 15% imepungua blah blah blah
Zitto ulibwatuka uzushi, kwa watu makini credibility yako ina suffer!
Unajuaje, pengine wamelipwa wote, wa upinzani kwa kuanzia, ili wasipige kelele.
...yaani Zitto asilipwe halafu Waziri aseme kalipwa, Waziri hajui gharama ya kauli yake?
Waziri katoa tarehe ya siku Zitto alipopokea hela, Zitto hajabisha, Zitto kaongopa.
Kuwaasa viongozi wa ngazi za juu kama mawaziri kumepitwa na wakati, hauwezi kuwateua watu wa level hiyo halafu kila siku ni kupelekena kwenye semina elekezi zisizokuwa na msingi wa tija eti kuwakemea hawafanyi hili wala lile. Dunia ya sasa ni kumpa mtu targets na timeline halafu mnakutana kwenye taarifa ya utekelezaji. Halafu wananchi wanasikia umechukua hatua gani kwa wale ambao hawakufikia targets....politics baada ya uchaguzi haisaidii kitu chochote kwenye hii nchiNdugu Taso, mada haikuwa mishahara ya wabunge. Mada ni hali mbaya ya fedha serikalini. Mishahara ya wafanyakazi kuchelewa ikiwemo Wabunge ilikuwa ni mfano tu.
Mkulo kaongopa na anajua kaongopa. Mimi mpaka tarehe 7 Mei sikuwa nimepata mshahara. Serukamba nilikuwa naye Kigoma kwenye vikao vya mkoa tarehe 6 Mei hakuwa amepata mshahara. Wabunge wengi hawakupata mshahara on time pia wafanyakazi wa serikali.
Hata hivyo huo ulikuwa ni mfano tu!
Mada ni hali mbaya ya fedha serikalini. Mada ni kushindwa kukusanya kodi. Kutolipa mishahara kwa wakati ni matokeo tu!
Tuendelee na mada. Mkulo hafai kuwa Waziri wa Fedha kwa uchumi kama huu wetu.
Si ajabu Serikali itakuwa imekopa hadi hela kwa ajili ya mkutano wa semina elekezi kwa ajili ya mawaziriNimesema kwa mfano dhahiri, mpaka tarehe 7 Mei sikuwa nimelipwa. Hata Mbunge wa CCM Serukamba hakuwa amelipwa na wajumbe wote wa kamati ya Bunge ninayoongoza hawakuwa wamelipwa. Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma hawakuwa wamelipwa. Ruzuku za vyama ambazo huwa zinalipwa tarehe 25 kila mwezi hazikuwa zimelipwa mpaka tarehe 5 Mei.
Hii ni mifano tu. Hoja ni kwamba Serikali imefilisika. Haina uwezo wa kukusanya mapato ya kutosha japo kulipia matumizi ya kawaida. Imekwenda kukopa benki. Tutamwajibisha Mkulo Bungeni.
tatizo Zitto alitoa kauli yake wakati mawaziri wa mr. kikwete wametoka kwenye semina elekezi walikoagizwa kujibu chochote ambacho kinasemwa kuhusu serekali badala ya kukaa kimya.
kwa hiyo bwana mkulo alikuwa anatekeleza agizo la mkuu wake. suala kama alichosema (mkulo) ni uwongo au ukweli, siyo ishu...ishu ni kujibu mapigo kama alivyoagizwa na mkuu wake.
Nimesema kwa mfano dhahiri, mpaka tarehe 7 Mei sikuwa nimelipwa. Hata Mbunge wa CCM Serukamba hakuwa amelipwa na wajumbe wote wa kamati ya Bunge ninayoongoza hawakuwa wamelipwa. Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma hawakuwa wamelipwa. Ruzuku za vyama ambazo huwa zinalipwa tarehe 25 kila mwezi hazikuwa zimelipwa mpaka tarehe 5 Mei.
Hii ni mifano tu. Hoja ni kwamba Serikali imefilisika. Haina uwezo wa kukusanya mapato ya kutosha japo kulipia matumizi ya kawaida. Imekwenda kukopa benki. Tutamwajibisha Mkulo Bungeni.
Nimesema kwa mfano dhahiri, mpaka tarehe 7 Mei sikuwa nimelipwa. Hata Mbunge wa CCM Serukamba hakuwa amelipwa na wajumbe wote wa kamati ya Bunge ninayoongoza hawakuwa wamelipwa. Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma hawakuwa wamelipwa. Ruzuku za vyama ambazo huwa zinalipwa tarehe 25 kila mwezi hazikuwa zimelipwa mpaka tarehe 5 Mei.
Hii ni mifano tu. Hoja ni kwamba Serikali imefilisika. Haina uwezo wa kukusanya mapato ya kutosha japo kulipia matumizi ya kawaida. Imekwenda kukopa benki. Tutamwajibisha Mkulo Bungeni.
Mkulo anaficha ficha nini wameunda liserikali kubwa la mawaziri na maofisa wasio na tija lukuki sasa wameshindwa hata kulipa mishahara. CCM hawana sera tena ni mufilisi, wamekwisha wasubiri kuporomoka tuu!!!!!!!!Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe alisema atamthibitishia bungeni, Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo kuwa Serikali imefilisika.Zitto alisema jana mjini Sumbawanga kuwa wataweka hadharani jinsi Serikali ilivyokopa fedha benki ili Waziri Mkulo aweze kuwajibika kutokana na kauli yake aliyoiita ya kukataa kusema ukweli.
Alisisitiza kwamba serikali haina fedha na kudokeza kuwa taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ya mapitio ya uchumi ya mwezi Machi mwaka huu, inaonyesha kuwa imeshindwa kukusanya kodi kwa asilimia 15.
"Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Serikali katika makusanyo ya kodi zote imeshindwa kukusanya kodi kwa asilimia 15 isipokuwa ushuru wa forodha. Hivyo haikufikia malengo ya ukusanyaji wa kodi," alisema Zitto.
Kwa mujibu wa Zitto, Machi, mwaka huu Serikali ilikopa fedha katika Benki ya Exim na benki zote za biashara nchini na ilikuwa ikihangaika ili iweze kuwalipa wafanyakazi.
"Mkulo atueleze ni serikali gani duniani inakopa kwenye benki za biashara kwa kuwa kitendo hicho ni hatari sana kwa nchi," alisema na kuongeza:"Bajeti ya mwaka uliopita ilikuwa ni Sh11 trilioni ambayo Serikali ilishindwa kufikia malengo ya Sh 1.6 trilioni kutokana na kushindwa kukusanya kodi kwa asilimia hiyo 15 isipokuwa ushuru wa forodha."
Alimtaka Mkulo kuacha kuwaona wanaosema kwamba serikali haina fedha si wazalendo kwa kuwa wawekezaji hawatakuja nchini, bali atambue kuwa kukosekana kwa fedha si suala la uzalendo.
"Serikali ni kweli haina fedha na hakuna suala la uzalendo katika hili. Tatizo la uwekezaji ambalo analizungumzia, linatokana na sera mbovu za CCM kwa kuwa tangu mwaka 2007, hakuna uwekezaji wowote wa maana uliofanyika hapa nchini," alisema Zitto.
Akiwahutubia wanachama wa Chadema na wananchi wa mji wa Vwawa, Mbozi, mkoani Mbeya hivi karibuni, Zitto alisema Serikali ina hali mbaya kifedha kwa sasa kiasi cha kukopa ili kulipa mishahara ya wafanyakazi.
Alidai kuwa hali hiyo mbaya kifedha kwa serikali imesababisha watumishi wake pamoja na wabunge kutolipwa mishahara hadi Mei 7, 2011.
Alisema Serikali sasa inatafuta fedha za kuwalipa watumishi wake mishahara ya mwezi Aprili.
"Hata sehemu ya posho za wabunge mkutano uliopita, zikiwemo za kugharimia mafuta ya safari za wabunge majimboni bado hazijalipwa kutokana na Serikali kukosa fedha," alidai Zitto.
Alisema kutokana na hali hiyo, Serikali imekwenda kukopa Sh540 bilioni kutoka benki za ndani ili watu wasijue kuwa inakabiliwa na ukata."Serikali haikopi fedha ili ijenge bandari, viwanda au kugharimia miradi ya maendeleo, bali inakopa ili ilipe mishahara ya wafanyakazi," alisema Zitto.
source; mwananchi
The Finest hizo semina elekezi ni njia ya kula fedha za umma vilevile, yote hayo ni kufilisi nchi yetu. Wewe uchague mawaziri incompetent na wafanya kazi wa ngazi za juu mafisadi type ya Mkulo unategemea nini, the whole managerial system ya hii serikali ni lotten. Bado tutaona mengi tuu!!!!Kuwaasa viongozi wa ngazi za juu kama mawaziri kumepitwa na wakati, hauwezi kuwateua watu wa level hiyo halafu kila siku ni kupelekena kwenye semina elekezi zisizokuwa na msingi wa tija eti kuwakemea hawafanyi hili wala lile. Dunia ya sasa ni kumpa mtu targets na timeline halafu mnakutana kwenye taarifa ya utekelezaji. Halafu wananchi wanasikia umechukua hatua gani kwa wale ambao hawakufikia targets....politics baada ya uchaguzi haisaidii kitu chochote kwenye hii nchi