Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Mh Zitto Kabwe ameitaka Serikali kufufua viwanda na kujenga vingine ili kuendana na Ongezeko la watu nchini. Zitto amesema viongozi hawapiganii kufufua Viwanda kwa sababu wananufaika na kukosekana kwa bidhaa za Viwandani kwa mfano Sukari
Mwenyeezi Mungu akulinde na mabalaa mheshimiwa Zitto kabwe unasema kweli kabisa hongera.......
Mwenyeezi Mungu akulinde na mabalaa mheshimiwa Zitto kabwe unasema kweli kabisa hongera.......
Last edited by a moderator: