Zitto usipeleke hoja Jumatatu; be strategic...

Mwanakijiji unayo hoja ya msingi hapa, lakini bahati mbaya, kuna tatizo la msingi linaloweza kukwamisha utekelezwaji wa hoja yako. Kwanza kabisa, chanzo ya matatizo yote katika uongozi huu wa awamu ya nne, ni rais Mh Col Kikwete (PhD). Hivyo kutatua tatizo la msingi la uongozi nchi hii, ni kumwondosha Mh Col Kikwete (PhD) kwenye Ikulu takatifu ya wa-Tanzania. Bila kufanya hivyo kwakweli hiyo kazi inayofanyika ni kazi bure kwa namna fulani.

Kwahiyo, harakati za kutaka kumwondowa Mh M. K. Pinda (Mb) katika nafasi ya WM ni lengo lisilolenga kutatua tatizo la msingi la uongozi wa taifa letu tukufu. Na huenda likasababisha matatizo makubwa zidi kuliko ilivyo sasa. Kumbuka uongozi wa sasa hauna falsafa yoyote ya kuliongoza taifa. Ukibadilisha WM au PM unakuwa unalimbikiza au kurudufu tatizo la kutokuwa na falsafa....

Kwa upande mwingine, kumwondowa rais kutoka Ikulu, ni jambo geni katika Tanzania. Baba wa taifa, hayati Mwalimu Dr JK Nyerere, aliwahi kusema kuwa: "..kumwondowa rais wa nchi madarakani inaweza kusababisha mtikisiko kwa nchi..na ni hatari". Nadhani hili linatokana na katiba yetu tuliyonayo sasa, au ni kutokana na unyeti wa nafasi ya rais katika nchi dhaifu na changa kama Tanzania. Vilevile, kusudio la kumwondowa rais madarakani ni jipya katika mazingira ya taifa letu, ni jipya kwa wabunge na wananchi. Hivyo linaweza kusababisha mgawanyiko wenye madhara madogo au makubwa. Kwa kifupi ni utamaduni mpya... Na hicho ndio kikwazo cha hoja yako Mzee Mkjj, kwa mtizamo wangu.

Kutokana na hali hiyo, kusudio la Mh Z Kabwe (Mb), la kupiga kura ya kutokuwa na imani na WM, ndio pekee linalowezekana kwa utamaduni wa nchi hii. Likifanikiwa, litasaidia kupanuwa upeo wa wananchi, wabunge na viongozi wa taifa letu. Kama wengine walivyosema, litapeleka ujumbe kwa rais kuwa (1) Uongozi wake umewaangusha wananchi (2) watu wamechoka na serikali yake (3) wa-Tanzania wamefumbuka macho (4) hatua kubwa zaidi kama ile ya Egypt sasa inawezekana katika nchi hii..nk

Hata hivyo, tayari kuna data mpya za ushindi wa mabadiliko ya watu kama vile:
  • Kitendo cha wabunge wa CCM kuishambulia serikali yake kwa uwazi kama alivyofanya Mh Filikunjombe, Mh Lugola, nk ni dalili za mabadiliko chanya katika nchi hii na CCM.
  • Kitendo cha wabunge watanno (5) wa CCM kukubali kuweka sign kwenye hoja ya upinzani ni mabadiliko chanya na ya kupigiwa mfano
Hali hiyo (ya mabadiliko na kutoridhika) inaonesha kuwa, ndani ya CCM kuna wabunge na mawaziri ambao wako tayari kupiga kura ya siri ya kutokuwa na imani na WM na hata rais. Kuna dalili za wazi kuwa kwa sasa kuna ushirikiano wa wazi na wa siri kati ya wabunge, viongozi wa CCM na wa serikali na kambi ya upinzani. Kwa maana nyengine ni kuwa, hali ya kutoridhika na serikali ya Mh Col Kikwete (PhD) imo ndani ya CCM na serikali yenyewe kwa kiwango kikubwa.

Hali hiyo ni adavantage kwa Mh Zito (Mb), CDM na Tanzania kwa ujumla

Asanteni. Mungu ibariki Tanzania
 
tuna kama miezi miwili tu kabla ya kikao cha bunge la bajeti kuanza; endapo hoja ya kutokuwa na imani itatolewa sasa na kama spika atakubali kuitisha kikao maalum ndani ya siku 14 (kwani haiwezi kutolewa kwenye kikao cha sasa) manake ni kuwa hoja kama hiyo haiwezi kuletwa ndani ya miezi sita. Ukishapata kura hizo sabini au zaidi basi unapanga kuleta hoja hiyo kwenye kikao kijacho na kuondoa kuzuiwa na muda kufanya hivyo.

Lakini zaidi watu wasije wakachanganya vitu viwili - kuleta hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu na kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Ili hoja iweze kuletwa bungeni zinahitajika asilimia 20 tu ya wabunge (ndipo namba ya kura 70 inapokuja). Kura 70 haziwezi kumuondoa waziri mkuu; zinaweza tu kufanya hoja iletwe bungeni. Baada ya kuletwa bungeni na wabunge kupiga kura inahitajika asilimia 50+1 kwa bunge kupitisha azimio la kutokuwa na imani na waziri mkuu.

Hii ina maana ili azimio lipitishwe zinahitajika kura 178 na siyo 70!

Sasa haitoshi kufanya hoja iletwe bungeni tu (kwa kura 70) lakini tunataka inapoletwa bungeni ni kweli kuna uwezekano wa ku-effect the removal of the prime minister. Jambo zuri ambalo limetokea ni kuwa kwa mara ya kwanza watanzania tunazungumzia njia ya kidemokrasia ya kumuondoa waziri mkuu. Kwa hili zitto amethubutisha watu kufikiria uwezekano huo na hili litaingia kwenye historia vizuri kabisa. Lakini pia linafanya watu wazungumzie juu ya madaraka ya waziri mkuu kusimamia serikali yanakoma wapi na kama ni mtu sahihi kumwajibisha.

Ikumbukwe pia kuwa hoja ya kumshtaki rais chini ya article 46 ni rahisi zaidi kwani nayo inahitaji kura 70 kuweza kuletwa mezani na sababu za kumshtaki rais bungeni ni za chini kidogo - mojawapo ni kuwa amedhalilisha ofisi ya urais! Nimesema mahali pengine kuwa kutokuwa na imani nawaziri mkuu ni kutokuwa na imani na rais hivi viwili kwa mfumo wetu havitenganishwi. Wote ambao wameunga mkono kwa kutia sahihi kura 70+ ina maana hawana imani na rais hakuna tafsiri nyingine. Kwa vile hili ni kweli ni muhimu basi kwenda moja kwa moja for the "jugular" yaani kuleta mashtaka dhidi ya rais katika kikao kijacho!

Kwa kuleta mashtaka dhidi ya rais na yakathibitika basi rais atajiuzulu na makamu wa rais atashika madaraka na atapewa nafasi ya kuunda serikali mpya bila kulazimisha uchaguzi mpya. Lakini kama tunataka mabadiliko ya kweli hadi bungnei (kwa sababu wengine tunaamini matatizo hayako kwa waziri mkuu au rais peke yake bali hadi bungeni) basi azimio la kumtaka rais avunje bunge litolewe ili wote (kuanzia rais hadi wabunge) warudi kwa wananchi ili kupata ridhaa mpya (a new mandate). Tusitake mabadiliko nusu kwani hakuna mapinduzi nusu (there is no half-revolutions)! Kama tunataka kubadilisha tubadili kitu chote kizima!

So, kwa sasa nashauri a strategic withdrawal ya hoja hii!!

naunga mkono hoja
 
Tuna kama miezi miwili tu kabla ya kikao cha Bunge la bajeti kuanza; endapo hoja ya kutokuwa na imani itatolewa sasa na kama Spika atakubali kuitisha kikao maalum ndani ya siku 14 (kwani haiwezi kutolewa kwenye kikao cha sasa) manake ni kuwa hoja kama hiyo haiwezi kuletwa ndani ya miezi sita. Ukishapata kura hizo sabini au zaidi basi unapanga kuleta hoja hiyo kwenye kikao kijacho na kuondoa kuzuiwa na muda kufanya hivyo.

Lakini zaidi watu wasije wakachanganya vitu viwili - kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Ili hoja iweze kuletwa Bungeni zinahitajika asilimia 20 tu ya wabunge (ndipo namba ya kura 70 inapokuja). Kura 70 HAZIWEZI kumuondoa Waziri Mkuu; zinaweza tu kufanya hoja iletwe Bungeni. Baada ya kuletwa bungeni na wabunge kupiga kura inahitajika asilimia 50+1 kwa Bunge kupitisha Azimio la kutokuwa na imani na waziri mkuu.

Hii ina maana ili azimio lipitishwe ZINAHITAJIKA kura 178 na siyo 70!

Sasa haitoshi kufanya hoja iletwe Bungeni tu (kwa kura 70) lakini tunataka inapoletwa Bungeni ni kweli kuna uwezekano wa ku-effect the removal of the Prime Minister. Jambo zuri ambalo limetokea ni kuwa kwa mara ya kwanza Watanzania tunazungumzia njia ya kidemokrasia ya kumuondoa Waziri Mkuu. Kwa hili Zitto amethubutisha watu kufikiria uwezekano huo na hili litaingia kwenye historia vizuri kabisa. Lakini pia linafanya watu wazungumzie juu ya madaraka ya Waziri Mkuu kusimamia serikali yanakoma wapi na kama ni mtu sahihi kumwajibisha.

Ikumbukwe pia kuwa hoja ya kumshtaki Rais chini ya article 46 ni RAHISI zaidi kwani nayo inahitaji kura 70 kuweza kuletwa mezani na sababu za kumshtaki Rais Bungeni ni za chini kidogo - mojawapo ni kuwa amedhalilisha ofisi ya Urais! Nimesema mahali pengine kuwa kutokuwa na imani naWaziri Mkuu ni kutokuwa na imani na rais hivi viwili kwa mfumo wetu havitenganishwi. Wote ambao wameunga mkono kwa kutia sahihi kura 70+ ina maana hawana imani na rais hakuna tafsiri nyingine. Kwa vile hili ni kweli ni muhimu basi kwenda moja kwa moja for the "jugular" yaani kuleta mashtaka dhidi ya Rais katika kikao kijacho!

Kwa kuleta mashtaka dhidi ya Rais na yakathibitika basi rais atajiuzulu na Makamu wa Rais atashika madaraka na atapewa nafasi ya kuunda serikali mpya bila kulazimisha uchaguzi mpya. Lakini kama tunataka mabadiliko ya kweli hadi Bungnei (kwa sababu wengine tunaamini matatizo hayako kwa Waziri Mkuu au Rais peke yake bali hadi Bungeni) basi azimio la kumtaka Rais avunje Bunge litolewe ili WOTE (kuanzia Rais hadi wabunge) warudi kwa wananchi ili kupata ridhaa mpya (a new mandate). Tusitake mabadiliko nusu kwani hakuna mapinduzi nusu (there is no half-revolutions)! Kama tunataka kubadilisha TUBADILI KITU CHOTE KIZIMA!

So, kwa sasa nashauri a strategic withdrawal ya hoja hii!!
Hili la kutopeleka hoja J3 nakubaliana nalo kwa misingi ya muda umeisha iangaliwe bunge lijalo, lakini tusibadilishe kauli mbiu ya kumwajibisha waziri mkuu,huu ni mwanzo mzuri na ''ROMA HAIKUJENGWA SIKU MOJA'' mambo mengine ya kumwajibisha mkuu wa kaya yatafuata.Unapozungumza suala la kuvunja bunge mi naona hii nayo ni plan ya kuwanusuru mafisadi maana itabadilisha mwelekeo wa hoja kwani hili linaleta utata kwa wabunge wengi kama si wote,wengi wakisikia hoja hiyo si ajabu hata waliosaini wakawithdraw kwani ni wachache watakuwa na uhakika wa kurudi mjengoni
Mimi niombe nwenye mawazo mazuri ya kuboresha hoja ya Zitto atoe na siyo kuifanya kuwa more complecated ili ipoteze mwelekeo.
 
It is a war out there; those with best strategies will come out victorious! I'm watching and praying that ultimately the people of Tanzania will be the victors!
 
Kaka au Dada (sielewi ipi sahihi) unaejiita MzeeMwanakijiji, ngoja chama chako cha CCK ndio ukipe ushauri huo. Zitto anapeleka Jumatatu na yeye anakijuwa akifanyacho zaidi yako. Ushauri wako hauna mshiko.

Umenoa!
hoja ya MM naifananisha na capet bomb. imekaa kiuzuri zaidi.
hatufanyi jaribio ili kuandika HIstoria, tunaandika ourstoria, pinda ni kiwiliwili, nyoka apigwa kichwa, kichwa hicho ni jk, ukimjeruhi kidogo kichwani atatia adabu, na kama pigo litakuwa takatifu, itakuwa shangwe kusini kaskazini mashariki magharibi.
 
Hapana, kilichofanywa na Zitto ni kufire a "warning shot' na kutuma ujumbe kuwa we can fight to the very end. La maana nikutambua kuwa hii ni vita na hupigani tu alimradi kupigana; unapigana ili kufikia matokeo fulani. Sasa mimi sitaki matokeo ambayo yatarudisha Waziri Mkuu wa CCM, baraza jipya la CCM, na rais wa CCM tutakuwa hatujabadilisha kitu zaidi ya kubadilisha tu upande wa shilingi - thamani yake ni ile ile.

sasa kama lengo ni kumuondoa tu waziri mkuu ili waziri mkuu mwingine wa CCM aje well that fine and dundee lakini kubadilisha tu waziri mkuu kumetusaidia vipi baada ya kuondoka kwa Lowassa? Hivi katika wabunge wote wa CCM leo hii mnafikiria yupo ambaye atakuwa tofauti sana? na kwamba ndani ya wabunge wa CCM linaweza kuundwa baraza tofauti na mabaraza yaliyopita?

Mabadiliko sahihi niyale yatakayoiondoa CCM madarakani au kuipunguzia nguvu yake!

Kwa maneno mengine unapendekeza tusubiri KATIBA mpya ambapo nako ni kwa kudra ya Mungu kama mchakato na katiba yenyewe havitachakachuliwa. Kwa hakika, hakuna njia yo yote ya kidemokrasia itakayowaondoa magamba au kudhibiti matumizi yao mabaya ya madaraka bila kuwa na katiba mpya.
 
umenoa!
Hoja ya mm naifananisha na capet bomb. Imekaa kiuzuri zaidi.
Hatufanyi jaribio ili kuandika historia, tunaandika ourstoria, pinda ni kiwiliwili, nyoka apigwa kichwa, kichwa hicho ni jk, ukimjeruhi kidogo kichwani atatia adabu, na kama pigo litakuwa takatifu, itakuwa shangwe kusini kaskazini mashariki magharibi.

kutokupeleka hoja jumatatu itakuwa ni mistake kubwa ya timing ambayo zito ataifanya!
(1) wabunge wa ccm wanaweza kuwithdraw saini zao ikiwa mambo yatapoa
(2) wabunge wa cuf wanaweza at any time kuwithdraw saini zao pia
(3) kungoja miezi kadhaa ijayo ni kumpa pinda/serikali kutumia nafasi ya kutumia vyombo vyake kuwanyoosha/kuwarubuni/kuwahadaa/kuwatisha wale wote wenye muelekeo wa kuinga mkono hoja miongoni mwa wabunge.

Kitu kingine ni kwamba hakuna mantiki ya kusubiri anyway, kwa sababu hata akipeleka jumatatu, hoja itasikilizwa kikao kijacho, na akipeleka kikiao kijacho itasikilizwa at least kikao kijacho pia, sasa why wait?- ushauri wa mwanakijiji hauko stratergic na namshauri zitto afanye haraka kuipeleka hiyo hoja isije ikamzimika mikononi.

Wazungu wanasema "strike the iron while it is still hot"- kwa hiyo the sooner the better, na wazee wetu wakasema chelewa chelewa utakuta mwana si wako!- zitto peleka hoja jumatatu.
 
kutokupeleka hoja jumatatu itakuwa ni mistake kubwa ya timing ambayo zito ataifanya!
(1) wabunge wa ccm wanaweza kuwithdraw saini zao ikiwa mambo yatapoa
(2) wabunge wa cuf wanaweza at any time kuwithdraw saini zao pia
(3) kungoja miezi kadhaa ijayo ni kumpa pinda/serikali kutumia nafasi ya kutumia vyombo vyake kuwanyoosha/kuwarubuni/kuwahadaa/kuwatisha wale wote wenye muelekeo wa kuinga mkono hoja miongoni mwa wabunge.


Kitu kingine ni kwamba hakuna mantiki ya kusubiri anyway, kwa sababu hata akipeleka jumatatu, hoja itasikilizwa kikao kijacho, na akipeleka kikiao kijacho itasikilizwa at least kikao kijacho pia, sasa why wait?- ushauri wa mwanakijiji hauko stratergic na namshauri zitto afanye haraka kuipeleka hiyo hoja isije ikamzimika mikononi.

Wazungu wanasema "strike the iron while it is still hot"- kwa hiyo the sooner the better, na wazee wetu wakasema chelewa chelewa utakuta mwana si wako!- zitto peleka hoja jumatatu.

that is exactly the point; kama wote waliotia sahii wamefanya hivyo out of 'mob psychology' itajulikana. Kama wapo waliotia sahihi out of 'principle' nao watajulikana.
 
that is exactly the point; kama wote waliotia sahii wamefanya hivyo out of 'mob psychology' itajulikana. Kama wapo waliotia sahihi out of 'principle' nao watajulikana.

lakini hapa kuna vitu viwili (1) kuweza kufanikisha kupeleka hoja ya kumg'oa pm bungeni (2) kupiga kura ya kumg'oa au kutomg'oa pm

namba 2 inategemea namba 1- ikiwa namba 1 itashindwa then namba 2 haitafanikiwa, na kwa kuwa lengo siyo kutofautisha ni wabunge gani walifuata "mob psychology" na wepi "hawakufuata mob psychology" basi ni dhahiri kwamba ni bora hoja ikapelekwa bungeni fasta ili namba (2) ambayo ndiyo lengo lenyewe ifanyiwe kazi katika kikao kijacho. Otherwise kutokana na sababu nilizokwisha zieleza hapo juu Zitto akisubiri inaweza ikashindwa njiani, CCM wakajipanga, wakaigeuza hii ishu kuwa ni ya Upinzani against CCM kumbe ni ishu ya Bunge against serikali. At least kwa sasa Zitto akiwa na saini za wabunge wa CCM, hii inasaidia kuwaleta baadhi ya Wabunge wa CCM katika kuunga mkono hoja huko mbeleni tofauti na wakiwithdraw saini zao.

Zitto kutokupeleka hoja jumatatu kunaweza kuwaweka wabunge hususan wale wa ccm katika nafasi mbaya za kipresha kutoka ndani ya chama chao kiasi cha kupelekea kutompa ushirikiano tena huko mbeleni pindi atakapowahitaji, watamuona kama flip-flopper.
 
wewe uko bungeni? kwanini unafikiri watu wengi wanapenda kuingia Bungeni?

Sijakupata swali hili na maada tajwa ni tofauti sana

Ninachosema mzee wangu ni kuwa , inakuwa rahisi sana kuwabana PM na mawaziri wake issues za kujiuzulu...ila rais ni ngumu mno mkuu, lets be realistic at oneceZito politically anaweka pressure kuwa serikali iwajibike, na kupandisha status ya chama! lakini zaidi ni kuwafanya wananchi wawe aware sasa usipomgusa mhusika mkuu kama rais, unampa mwanya wa Kikwete kuweza kufanya maamuzi magumu na yeye kufikiria uwajibikaji..though I know we have fake president whom anything even bunge's vote wont remove him from power!
 
zitto apeleke hoja j3......hakuna kipindi kizuri cha kupima uwajibikaji wa wawakilishi wetu mjengon kama kama sasa esp wa ccm..na kushindwa kwao ktk kufanya maamuz itakuwa ni msingi mzuri wa kuwashtaki kwa wananchi
 
Sijakupata swali hili na maada tajwa ni tofauti sana

Ulisema kuwa mimi nami yanipasa nije Bungeni sasa; ndio maana nikauliza kwani wewe unapochangia mambo haya uko Bungeni na pia kwani ni lazima kila anayezungumzia siasa (kuunga mkono serikali au upinzani) aende kuwa Mbunge? Wengine kama mimi hatujali sana haya mambo ya uheshimiwa wa bunge.
 
Politics is all about Mob psychology

Hata kidogo; labda useme "siasa zetu"; true politics mara zote ni kumhusu mtu mmoja. Mob psychology inakuja tu kwa kutimiza malengo fulani lakini siyo kwa muda wote. Ukiendesha siasa za mob psychology utajikuta kwamba ule msukumo wa pamoja ukiisha - and its bound to end - watu wanarudi pale pale walipokuwa.
 
Tuna kama miezi miwili tu kabla ya kikao cha Bunge la bajeti kuanza; endapo hoja ya kutokuwa na imani itatolewa sasa na kama Spika atakubali kuitisha kikao maalum ndani ya siku 14 (kwani haiwezi kutolewa kwenye kikao cha sasa) manake ni kuwa hoja kama hiyo haiwezi kuletwa ndani ya miezi sita. Ukishapata kura hizo sabini au zaidi basi unapanga kuleta hoja hiyo kwenye kikao kijacho na kuondoa kuzuiwa na muda kufanya hivyo.

Lakini zaidi watu wasije wakachanganya vitu viwili - kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Ili hoja iweze kuletwa Bungeni zinahitajika asilimia 20 tu ya wabunge (ndipo namba ya kura 70 inapokuja). Kura 70 HAZIWEZI kumuondoa Waziri Mkuu; zinaweza tu kufanya hoja iletwe Bungeni. Baada ya kuletwa bungeni na wabunge kupiga kura inahitajika asilimia 50+1 kwa Bunge kupitisha Azimio la kutokuwa na imani na waziri mkuu.

Hii ina maana ili azimio lipitishwe ZINAHITAJIKA kura 178 na siyo 70!

Sasa haitoshi kufanya hoja iletwe Bungeni tu (kwa kura 70) lakini tunataka inapoletwa Bungeni ni kweli kuna uwezekano wa ku-effect the removal of the Prime Minister. Jambo zuri ambalo limetokea ni kuwa kwa mara ya kwanza Watanzania tunazungumzia njia ya kidemokrasia ya kumuondoa Waziri Mkuu. Kwa hili Zitto amethubutisha watu kufikiria uwezekano huo na hili litaingia kwenye historia vizuri kabisa. Lakini pia linafanya watu wazungumzie juu ya madaraka ya Waziri Mkuu kusimamia serikali yanakoma wapi na kama ni mtu sahihi kumwajibisha.

Ikumbukwe pia kuwa hoja ya kumshtaki Rais chini ya article 46 ni RAHISI zaidi kwani nayo inahitaji kura 70 kuweza kuletwa mezani na sababu za kumshtaki Rais Bungeni ni za chini kidogo - mojawapo ni kuwa amedhalilisha ofisi ya Urais! Nimesema mahali pengine kuwa kutokuwa na imani naWaziri Mkuu ni kutokuwa na imani na rais hivi viwili kwa mfumo wetu havitenganishwi. Wote ambao wameunga mkono kwa kutia sahihi kura 70+ ina maana hawana imani na rais hakuna tafsiri nyingine. Kwa vile hili ni kweli ni muhimu basi kwenda moja kwa moja for the "jugular" yaani kuleta mashtaka dhidi ya Rais katika kikao kijacho!

Kwa kuleta mashtaka dhidi ya Rais na yakathibitika basi rais atajiuzulu na Makamu wa Rais atashika madaraka na atapewa nafasi ya kuunda serikali mpya bila kulazimisha uchaguzi mpya. Lakini kama tunataka mabadiliko ya kweli hadi Bungnei (kwa sababu wengine tunaamini matatizo hayako kwa Waziri Mkuu au Rais peke yake bali hadi Bungeni) basi azimio la kumtaka Rais avunje Bunge litolewe ili WOTE (kuanzia Rais hadi wabunge) warudi kwa wananchi ili kupata ridhaa mpya (a new mandate). Tusitake mabadiliko nusu kwani hakuna mapinduzi nusu (there is no half-revolutions)! Kama tunataka kubadilisha TUBADILI KITU CHOTE KIZIMA!

So, kwa sasa nashauri a strategic withdrawal ya hoja hii!!


Hapa Mwanakijiji nakubaliana nawe nusu katika hii sentensi. kwa vile inawezekana mbunge ukawa huna imani na utumishi wa waziri mkuu lakini ukawa bado na imani na utumishi wa rais kwa vile waziri mkuu anachaguliwa na wabunge baada ya kupendekezwa na raisi. Vilevile kama ulivyodokeza, ni kweli wabunge wengi wanaweza wakawa hawana imani na utumishi wa rais na kama ni hivyo basi, hata serikali yake itakuwa imepoteza imani kwa hao wabunge wengi.

Ni changamoto katika katiba ijayo kuhusu hili kwa vile kwa katiba hii, kama itatokea kukawa na serikali yenye wabunge wachache. Tuchukulie kama tume ya uchaguzi ingeamua kumtangaza mgombea wa uraisi kutoka chadema wakati huohuo chadema wakawa na idadi ya wabunge wachache. Kwa siasa zetu zilivyo nafikili ingekuwa vulugu tupu kwa vile bado tuna wanasiasa wanaotanguliza maslahi ya vyama vyao badala ya taifa kama inavyoonekana kwa sasa.

Nafikili Zitto Kabwe anapaswa kupongezwa kwa uamuzi wake pamoja na kwamba anajua kwa undani kuwa hoja yake haiwezi kupita kutokana na hulka ya wanasiasa nchini kutanguliza maslahi ya vyama vyao.
Watu wengi wanasema anajitafutia umaarufu, lakini vilevile wanasahau kuwa msingi wa siasa lazima uwe kwanza maarufu katika jamii ili uwe mwanasiasa (politics is opportunism
 
Otherwise kutokana na sababu nilizokwisha zieleza hapo juu Zitto akisubiri inaweza ikashindwa njiani, CCM wakajipanga, wakaigeuza hii ishu kuwa ni ya Upinzani against CCM kumbe ni ishu ya Bunge against serikali. At least kwa sasa Zitto akiwa na saini za wabunge wa CCM, hii inasaidia kuwaleta baadhi ya Wabunge wa CCM katika kuunga mkono hoja huko mbeleni tofauti na wakiwithdraw saini zao.

Zitto kutokupeleka hoja jumatatu kunaweza kuwaweka wabunge hususan wale wa ccm katika nafasi mbaya za kipresha kutoka ndani ya chama chao kiasi cha kupelekea kutompa ushirikiano tena huko mbeleni pindi atakapowahitaji, watamuona kama flip-flopper.
Hapa Mkuu umeongea kitu cha kutafakari.
Kuwa na saidi za wabunge wa CCM kusichukuliwe kuwa ni silaha tosha. CCM haioni na haitaona tabu "kuwaengua hao wabunge watano kwa kukosa nidhamu kwa chama ". Tusiombe hilo litokee, lakini CCM wanaweza kufanya lolote kwa ajili ya kung'ang'ania madaraka.

Kwa usalama zaidi, ni kuhakikisha kuwa kuna saini 70+ kutoka CDM na vyama vyengine vya upinzani. Mpaka idadi tuliyonayo sasa, inaonesha kuna saini 73, 40 za CDM na 33 za upinzani. Zitto, CDM itafute saini zaidi ili kujiweka sawa kwa lolote linaloweza kutokea ndani ya CCM.
 
Tuna kama miezi miwili tu kabla ya kikao cha Bunge la bajeti kuanza; endapo hoja ya kutokuwa na imani itatolewa sasa na kama Spika atakubali kuitisha kikao maalum ndani ya siku 14 (kwani haiwezi kutolewa kwenye kikao cha sasa) manake ni kuwa hoja kama hiyo haiwezi kuletwa ndani ya miezi sita. Ukishapata kura hizo sabini au zaidi basi unapanga kuleta hoja hiyo kwenye kikao kijacho na kuondoa kuzuiwa na muda kufanya hivyo.

Lakini zaidi watu wasije wakachanganya vitu viwili - kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Ili hoja iweze kuletwa Bungeni zinahitajika asilimia 20 tu ya wabunge (ndipo namba ya kura 70 inapokuja). Kura 70 HAZIWEZI kumuondoa Waziri Mkuu; zinaweza tu kufanya hoja iletwe Bungeni. Baada ya kuletwa bungeni na wabunge kupiga kura inahitajika asilimia 50+1 kwa Bunge kupitisha Azimio la kutokuwa na imani na waziri mkuu.

Hii ina maana ili azimio lipitishwe ZINAHITAJIKA kura 178 na siyo 70!

Sasa haitoshi kufanya hoja iletwe Bungeni tu (kwa kura 70) lakini tunataka inapoletwa Bungeni ni kweli kuna uwezekano wa ku-effect the removal of the Prime Minister. Jambo zuri ambalo limetokea ni kuwa kwa mara ya kwanza Watanzania tunazungumzia njia ya kidemokrasia ya kumuondoa Waziri Mkuu. Kwa hili Zitto amethubutisha watu kufikiria uwezekano huo na hili litaingia kwenye historia vizuri kabisa. Lakini pia linafanya watu wazungumzie juu ya madaraka ya Waziri Mkuu kusimamia serikali yanakoma wapi na kama ni mtu sahihi kumwajibisha.

Ikumbukwe pia kuwa hoja ya kumshtaki Rais chini ya article 46 ni RAHISI zaidi kwani nayo inahitaji kura 70 kuweza kuletwa mezani na sababu za kumshtaki Rais Bungeni ni za chini kidogo - mojawapo ni kuwa amedhalilisha ofisi ya Urais! Nimesema mahali pengine kuwa kutokuwa na imani naWaziri Mkuu ni kutokuwa na imani na rais hivi viwili kwa mfumo wetu havitenganishwi. Wote ambao wameunga mkono kwa kutia sahihi kura 70+ ina maana hawana imani na rais hakuna tafsiri nyingine. Kwa vile hili ni kweli ni muhimu basi kwenda moja kwa moja for the "jugular" yaani kuleta mashtaka dhidi ya Rais katika kikao kijacho!

Kwa kuleta mashtaka dhidi ya Rais na yakathibitika basi rais atajiuzulu na Makamu wa Rais atashika madaraka na atapewa nafasi ya kuunda serikali mpya bila kulazimisha uchaguzi mpya. Lakini kama tunataka mabadiliko ya kweli hadi Bungnei (kwa sababu wengine tunaamini matatizo hayako kwa Waziri Mkuu au Rais peke yake bali hadi Bungeni) basi azimio la kumtaka Rais avunje Bunge litolewe ili WOTE (kuanzia Rais hadi wabunge) warudi kwa wananchi ili kupata ridhaa mpya (a new mandate). Tusitake mabadiliko nusu kwani hakuna mapinduzi nusu (there is no half-revolutions)! Kama tunataka kubadilisha TUBADILI KITU CHOTE KIZIMA!

So, kwa sasa nashauri a strategic withdrawal ya hoja hii!!

Natumaini Mheshimiwa Zitto na wenzanke watazingatia hili. Ni kweli kabisa sio tu Strategic withdrawal bali hata Strategic thinking and wayfoward inahitajika hapa.
 
Back
Top Bottom