Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,938
- 1,437
Mkuu,
I have great respect for Hon. Zitto lakini kwa hili kuita wanachama wapya wa CDM wa kuja sitamuunga mkono. Never. Nakubali sawa ya moto ni moto na sometimes inabidi utumie force lakini kuna repercussion zake. Mh Zitto, wewe, Gainjin na mimi tunaweza kuwa level moja hapa JF, lakini Mh Zitto ni public figure. As a public figure one would expect some form of behaviors hasa pale anapokuwa kwenye public domain.
Kweli kama binadamu wengine Mh Zitto ana mapungufu yake lakini does this excuse him kuita wanachama wapya wa Chadema wa kuja? Kama anamjua si angeenda kumwambia tuu in private? Unakumbuka yaliyomkuta Gordon Brown baada ya kumwita mwanachama mwanamke wa chama chke a "bigot"? Tena alisema hili in private lakini huenda ndio iliyomcost kwenye uchaguzi. I am sure kama tungekuwa na tabloid media hapa Bongo, front pages zingekuwa na headings "Zitto amwita mwanachama wa Chadema wa kuja".
Imagine kama kulikuwa na mtu analiyetaka kujiunga na Chadema because of being impressed na Mh Zitto bungeni apitie hapa, amkute huyo huyo Zitto anaita wanachama wapya wa kuja. Atajiunga na Chadema kweli? Inawezekana kabisa kuwa alichokuwa anaonyesha Zitto ni matabaka ya wanachama ndani ya Chadema wakati chama kinatambuka kama chama cha wanachama.
Juzi juzi tuu hapa watu walikuwa wanamuunga mkono Mh Mbowe kwa kutokwenda mahakani japokuwa alikuwa amefanya kosa. Leo hii Mh Zitto ana brand wanachama wapya wa kuja na tunataka kuumunga mkono on the ground kuwa ana mapungufu yake, nk. Mkuu hapana. Hata siku moja wrong plus wrong haiwezi kuwa right na haitakuwa.
Mkuu binasfi sidhani kama kuna mtu anaweza kuogopa kushindwa kujiunga ga CDM kwa kauli ya ziito kumuitwa mbunge wakuja. Kwangu threat kubwa kwa CDM sio makosa ya syntax ya mtu moja mmoja kuelezea kitu sahihi. bali threat ni tabia kama za huyu mleta mada. tena wengine ni wabunge. Tena wengine wanatumia screen name za kike. What if ni wanaume..... anyway niisiende huko nikajikuta nasema yale ya msekwa "tabia za kike" gaijin na wenzake wakanishambulia . teh teh teh
Ninaweza kupata hoja za msingi kwenye sentensi ya ziito japo z ina makosa ya lugha ya kukubalika lakini Hao wanaomlaumu hupati substance yeyote ya maana . ebu jaribu kungalia big picture ya CDM mkuu. Sometime mtu analeta mda inahusu zittto unajiuliza anajaribu kuachieve nini iwe ni kwa manufaa ya chama au nchi no maater lafudhi nzuri na sarufi atayotumia.
But kama CDM will be clean stable na hatutasikia mipshasho without ziito basi wamfukuze. kwenye footbal tunasema No single player is better than a team. tunachotaka watanzania ni mabadiliko.
Thanks i like politics but am not a politician