2015 inamtesa ZITTO anatafuta pesa za uchaguzi hana lolote, Zitto UMENUNULIWA huna issue tena, unatuletia cd za zamani, unataka RA na El Wakulipe sh ngp kwa huu wimbo (meremeta) uliouanzisha!?
Myonge myongeni lakini mpe haki yake....Zitto anapo fanya cha maan apewe credit sio kumponda tu