sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Ilikuwa ni utani tu kwa Mbunge mwenzangu tena jirani yangu na rafiki yangu. Mbunge wa chama changu. Narudia. It was a joke
Hapa sawa umejibu vyema ingawaje toka mwanzo mimi nilikuwa sijaamini kama kweli ulikuwa serious na maneno yako!.....ila plz Mh bado tunakuhitaji sisi kama vijana wenzio hebu acha kutuchanganya kila kukicha.........unatuvunja moyo.....tunahisi labda kuna kundi fulani linakutumia kwa manufaa yao ila bado pia sitaki kuamini kama kweli Zitto unaweza kununuliwa na yeyote hata kama wanasema pesa ni mwanaharamu!.......turudishie Zitto wa zamani tafadhali!
Last edited by a moderator: