Zitto tena kachafua hali ya hewa bungeni

Hon.MP

Senior Member
Jul 15, 2012
153
86
Watu kila mara wanajiuliza kwa nini kila siku, kila mara, kila mahala ni Zitto, Zitto, Zitto hadi inatia kichefuchefu
Ukweli ni kwamba ni yeye anapenda iwe hivyo kwa kuwa hajakamilisha kazi aliyotumwa. Mpaka pale itakapokamilika, tutaendelea kusikia vitimbwi na show mbalimbali za huyu kijana.


Akihitimisha mchango wako Bungeni, Zitto kasema, “ nilipewa mchango na Tundu Rissu lakini mwandiko wake ni mbaya sana kwa hiyo nimeshindwa kuusoma”. Tujiulize:


1. Je, kweli kulikuwa na ulazima wa yeye kutamka au kutoa taarifa hiyo Bungeni? Faida yake ni nini maana haiongezi chochote (katika mchango wake) wala hawezi kuwahi nafasi kwamba pengine Rissu akirudi basi akute nafasi aliyo ‘bukiwa’ na mwenzake.


2. Hata kama ilikuwa lazima aseme, Je, ilikuwa lazima atamke sababu na kuchagua maneno ‘mwandiko mbaya sana?' angalia kuna kivumishi ‘sana’ kama vile ‘mbaya’ haingetosha!


Si kwamba Zitto ni mzito wa kuelewa, la hasha, anafanya makusudi akijua kuwa mambo kama haya ya kuwadhalilisha wenzake yanaweza kuleta vurugu ndani ya chama na hivyo kukisambaratisha.


Amenihudhi sana, kama si kweli yanayosemwa juu yake, kwa nini asingekaa tu na kutulia kisha aje amweleze Rissu sababu iliyofanya asiwasilishe ujumbe wake. Au kama kwa hekima yake ambayo inashangaza bado aliona ni lazima kutoa taarifa hiyo ya makabidhiano ambayo Wabunge wengine hawahusiki na wala haiongezi chochote cha maana kwenye hansad ,kwa nini asingesema tu kuwa ‘nilipewa mchango na Mbunge mwenzetu lakini kwa bahati mbaya nimeshindwa kuusoma’ .



Kweli sasa tunaaamini, kazi ya double agency ni ya kipuuzi sana maana ni ya kutekeleza kile usichoamini na kuamini kile usichotekeleza! Zitto hawezi kuaminika tena katika jamii ya wasema kweli.
 
Watu kila mara wanajiuliza kwa nini kila siku, kila mara, kila mahala ni Zitto, Zitto, Zitto hadi inatia kichefuchefu
Ukweli ni kwamba ni yeye anapenda iwe hivyo kwa kuwa hajakamilisha kazi aliyotumwa. Mpaka pale itakapokamilika, tutaendelea kusikia vitimbwi na show mbalimbali za huyu kijana.


Akihitimisha mchango wako Bungeni, Zitto kasema, “ nilipewa mchango na Tundu Rissu lakini mwandiko wake ni mbaya sana kwa hiyo nimeshindwa kuusoma”. Tujiulize:


1. Je, kweli kulikuwa na ulazima wa yeye kutamka au kutoa taarifa hiyo Bungeni? Faida yake ni nini maana haiongezi chochote (katika mchango wake) wala hawezi kuwahi nafasi kwamba pengine Rissu akirudi basi akute nafasi aliyo ‘bukiwa’ na mwenzake.


2. Hata kama ilikuwa lazima aseme, Je, ilikuwa lazima atamke sababu na kuchagua maneno ‘mwandiko mbaya sana?' angalia kuna kivumishi ‘sana’ kama vile ‘mbaya’ haingetosha!


Si kwamba Zitto ni mzito wa kuelewa, la hasha, anafanya makusudi akijua kuwa mambo kama haya ya kuwadhalilisha wenzake yanaweza kuleta vurugu ndani ya chama na hivyo kukisambaratisha.


Amenihudhi sana, kama si kweli yanayosemwa juu yake, kwa nini asingekaa tu na kutulia kisha aje amweleze Rissu sababu iliyofanya asiwasilishe ujumbe wake. Au kama kwa hekima yake ambayo inashangaza bado aliona ni lazima kutoa taarifa hiyo ya makabidhiano ambayo Wabunge wengine hawahusiki na wala haiongezi chochote cha maana kwenye hansad ,kwa nini asingesema tu kuwa ‘nilipewa mchango na Mbunge mwenzetu lakini kwa bahati mbaya nimeshindwa kuusoma’ .



Kweli sasa tunaaamini, kazi ya double agency ni ya kipuuzi sana maana ni ya kutekeleza kile usichoamini na kuamini kile usichotekeleza! Zitto hawezi kuaminika tena katika jamii ya wasema kweli.

Hayo ndio Matatizo Madogo Madogo ya ZITTO KABWE - HE THINKS HE's ALL THAT(HATARI KWA MWANA SIASA); UUMPE NCHI kweli hizo

kejeli zake wako ambao watazichukua kiukweli na atasababisha Madhara; Afadhali huyu tuliliyenaye Sasa Jakaya Kikwete - Hasemi

Chochote hatujui Msimamo Wake tunavurugana... lakini yuko bubu... ZITTO KABWE ataibebe Tanzania na kuigeuza up-side down...

* Hafurahi TUNDU LISSU hakumtaja kati ya Wabunge Mafisadi? Hiyo Ndio Shukrani? Kumtangaza kuwa Maandishi yake Mabovu...?
 

Hayo ndio Matatizo Madogo Madogo ya ZITTO KABWE; UUMPE NCHI kweli hizo kejeli zake wako ambao watazichukua

kiukweli na atasababisha Madhara; Afadhali huyu tuliliyenaye Sasa Jakaya Kikwete - Hasemi Chochote hatujui Msimamo

Wake tunavurugana... lakini yuko bubu

NAPE NNAUYE ataibebe Tanzania na kuigeuza up-side down...

Nape kwani nae yumo??? Shiiit!!! hii nchi nimebaki mimi tu kutangaza nia
 
Watu kila mara wanajiuliza kwa nini kila siku, kila mara, kila mahala ni Zitto, Zitto, Zitto hadi inatia kichefuchefu
Ukweli ni kwamba ni yeye anapenda iwe hivyo kwa kuwa hajakamilisha kazi aliyotumwa. Mpaka pale itakapokamilika, tutaendelea kusikia vitimbwi na show mbalimbali za huyu kijana.



Akihitimisha mchango wako Bungeni, Zitto kasema, " nilipewa mchango na Tundu Rissu lakini mwandiko wake ni mbaya sana kwa hiyo nimeshindwa kuusoma". Tujiulize:


1. Je, kweli kulikuwa na ulazima wa yeye kutamka au kutoa taarifa hiyo Bungeni? Faida yake ni nini maana haiongezi chochote (katika mchango wake) wala hawezi kuwahi nafasi kwamba pengine Rissu akirudi basi akute nafasi aliyo ‘bukiwa' na mwenzake.


2. Hata kama ilikuwa lazima aseme, Je, ilikuwa lazima atamke sababu na kuchagua maneno 'mwandiko mbaya sana?' angalia kuna kivumishi ‘sana' kama vile ‘mbaya' haingetosha!


Si kwamba Zitto ni mzito wa kuelewa, la hasha, anafanya makusudi akijua kuwa mambo kama haya ya kuwadhalilisha wenzake yanaweza kuleta vurugu ndani ya chama na hivyo kukisambaratisha.


Amenihudhi sana, kama si kweli yanayosemwa juu yake, kwa nini asingekaa tu na kutulia kisha aje amweleze Rissu sababu iliyofanya asiwasilishe ujumbe wake. Au kama kwa hekima yake ambayo inashangaza bado aliona ni lazima kutoa taarifa hiyo ya makabidhiano ambayo Wabunge wengine hawahusiki na wala haiongezi chochote cha maana kwenye hansad ,kwa nini asingesema tu kuwa ‘nilipewa mchango na Mbunge mwenzetu lakini kwa bahati mbaya nimeshindwa kuusoma' .



Kweli sasa tunaaamini, kazi ya double agency ni ya kipuuzi sana maana ni ya kutekeleza kile usichoamini na kuamini kile usichotekeleza! Zitto hawezi kuaminika tena katika jamii ya wasema kweli.

Nashukuru kuona na wewe umesikia hivyo ndugu. Maana kuna uzi nilianzisha watu wakanitukana kweli kweli na kuomba nipigwe ban. Mpaka nikahisi nilikuwa nasikiza mzimu au!!. na uzi ukafutwa!. Sijui kama na huu utakuwa na muda mrefu. Sidhani kama hapa kuna suala la Ugamba au Ugwanda. ndivyo alivyosema. Kama mtu utapigwa ban kwa kuandika ukweli humu JF basi sina haja ya kuwa member tena hapa JF.
 
kama anamwandiko mbaya kweli asiseme?

To the public? for what reason? Huyu siku 3 zilizopita aliwataja MAFISADI wa Tanesco hakumtaja ZITTO KABWE sababu

Haamini kuwa Mwanachama Mwenzake ni Sisimizi wa ulaji Mchafu; wa kiuhaini wa kulaghai nchi nzima...

Yeye ni kubwatuka - Oh Mwandiko Mbaya... Yeye chochote ni Ubwatukaji... NDIO APEWE URAIS????
 
Ule ulikuwa utani wa kibunge tuu,kwanza muda wake ulikuwa umekwisha na pia alitaka watu wajue kuwa kuna kawaida ya kupeana mawazo mtu anapochangia. Hakuna baya hapo.
 
Zitto una kera sana! Unajiona wewe ndio wewe! Are you parfect? I hate u kwakweli.
 
Watu kila mara wanajiuliza kwa nini kila siku, kila mara, kila mahala ni Zitto, Zitto, Zitto hadi inatia kichefuchefu
Ukweli ni kwamba ni yeye anapenda iwe hivyo kwa kuwa hajakamilisha kazi aliyotumwa. Mpaka pale itakapokamilika, tutaendelea kusikia vitimbwi na show mbalimbali za huyu kijana.


Akihitimisha mchango wako Bungeni, Zitto kasema, " nilipewa mchango na Tundu Rissu lakini mwandiko wake ni mbaya sana kwa hiyo nimeshindwa kuusoma". Tujiulize:


1. Je, kweli kulikuwa na ulazima wa yeye kutamka au kutoa taarifa hiyo Bungeni? Faida yake ni nini maana haiongezi chochote (katika mchango wake) wala hawezi kuwahi nafasi kwamba pengine Rissu akirudi basi akute nafasi aliyo ‘bukiwa' na mwenzake.


2. Hata kama ilikuwa lazima aseme, Je, ilikuwa lazima atamke sababu na kuchagua maneno 'mwandiko mbaya sana?' angalia kuna kivumishi ‘sana' kama vile ‘mbaya' haingetosha!


Si kwamba Zitto ni mzito wa kuelewa, la hasha, anafanya makusudi akijua kuwa mambo kama haya ya kuwadhalilisha wenzake yanaweza kuleta vurugu ndani ya chama na hivyo kukisambaratisha.


Amenihudhi sana, kama si kweli yanayosemwa juu yake, kwa nini asingekaa tu na kutulia kisha aje amweleze Rissu sababu iliyofanya asiwasilishe ujumbe wake. Au kama kwa hekima yake ambayo inashangaza bado aliona ni lazima kutoa taarifa hiyo ya makabidhiano ambayo Wabunge wengine hawahusiki na wala haiongezi chochote cha maana kwenye hansad ,kwa nini asingesema tu kuwa ‘nilipewa mchango na Mbunge mwenzetu lakini kwa bahati mbaya nimeshindwa kuusoma' .



Kweli sasa tunaaamini, kazi ya double agency ni ya kipuuzi sana maana ni ya kutekeleza kile usichoamini na kuamini kile usichotekeleza! Zitto hawezi kuaminika tena katika jamii ya wasema kweli.


Hiki cheo cha urais CDM kitawatafuna mpaka muishe, na kweli waacheni wafu wawazike wafu wenzao. Na Mh. Rissu , ndio nani?
 
ZITTO KABWE hafai CCM,CHADEMA,TLP,NCCR,UDPP,SERIKALINI na popote pale kwani hekima, busara na uwezo wa kupima mambo ni muhimu kwa binadamu yeyote kwani ulimi unauwezo wa kuondoa amani katika jamii yoyote kwa muda mfupi sana.aende zake hukohuko kwa KAGAME.
 
Kabla ya hii ya leo nilikuwa najua zito ana mtazamo fulani ambao unapishana na wenzake, kumbe ni janga naviongozi wa chadema kaeni vizuri maana itakuwa ngumu 2015 kama kuna mamluki kama huyu na bila ana wenzake humo
 
Hakika katumwa huyo, mwisho wake umefika kama hataki akamuulize Masumbuko Lamwai
 
Usijali mkuu unajua watu walikuwa hawaamini kama kweli Zitto anaweza kuongea mambo ya kitoto kiasi hicho kutoka na kumu amini sana. Na mimi ni melaani sana kitendo alicho fanya zitto eti wengine wanamtetea eti alikuwa ana tania. Usivunjike moyo kwenye wengi kuna mengi!
Nashukuru kuona na wewe umesikia hivyo ndugu. Maana kuna uzi nilianzisha watu wakanitukana kweli kweli na kuomba nipigwe ban. Mpaka nikahisi nilikuwa nasikiza mzimu au!!. na uzi ukafutwa!. Sijui kama na huu utakuwa na muda mrefu. Sidhani kama hapa kuna suala la Ugamba au Ugwanda. ndivyo alivyosema. Kama mtu utapigwa ban kwa kuandika ukweli humu JF basi sina haja ya kuwa member tena hapa JF.
 
Niliiona kama kauli ya kimbea flani hivi, HEAVY amebadilika anajifanya ndo kila kitu kwenye siasa, alikuwa tishio zaman. Wasiwasi wangu ni kuwa anaweza akadhani anatumika kuarbu chama kumbe wanamtumia yeye kujiaribia binafsi. Kiukweli TL ana uwezo wa uelewa ukimlinganisha na Nzito,mara kadhaa TL ameitwa kutoa mawazo kwenye tribunals za kimataifa,hoja ya Nzito ya mwandiko ni ya kitoto na haikuwa na jipya. Tunanmwangalia mwanasiasa huyu kijana tunapata dalili mbaya juu yake. Mda unao jirekebishe.
 
Back
Top Bottom