Zitto,serukamba na filikunjombe live Channel 10! Generali on monday is back

mawaziri hawajafanya upotevu wa hivihivi tu ila ni wizi wa makusudi. Inakuwaje ripoti ya CAG haikuwa inafanyiwa kazi akishangaa kwa nini Mkuu wa Takukuru ndo anashtuka leo
 
filikunjombe anasema msaada 2napewa 1.3 trilion na sis misamaha ya kod 2natoa 1.3 trilion so ni upuuz we can do it ourself bila kutegemea misaada
 
Serukamba:
''naamini ndani ya miaka mitatu ripoti ya CAG itakuwa nzuri''. Huyu jamaa wa ajabu kweli kwani ni ripoti ya CAG ni mbaya au matumizi ya baadhi ya idara ndiyo mbaya?
 
bado anasisitiza kuwa wabunge wa ccm waoga wengi walikuwa wanasupport kusiini lakini walikuwa wanaogopa
 
mawaziri hawajafanya upotevu wa hivihivi tu ila ni wizi wa makusudi. Inakuwaje ripoti ya CAG haikuwa inafanyiwa kazi akishangaa kwa nini Mkuu wa Takukuru ndo anashtuka leo

Sidhani kama mkuu wa takukuru ameshtuka, mimi nadhani uchunguzi anaofanya sasa ni kwa ajili ya kuwasafisha hao mawaziri kama ilivyokawaida ya taasisi hii!
 
Duh nitakosa mambo. Channel ten imejiondoa kwenye king'amuzi changu sijui ndiyo mambo ya digitali hayo au vipi.

Mkuu uwe na standby antena kwa dharura kama hizi, mi nina yangu ya tube light lol nlinunua buku 3 tu!

Agenda ni "yaliyojiri katika kikao cha nane cha Bunge"
 
Huyu Serukamba uso wake unaonyesha kama vile ni mfanyabiashara wa viungo vya walemavu wa ngozi! Roho yangu inanituma niamini kuwa zile tuhuma zaweza kuwa kweli!
 
Generali: serikali hii inaonekana kuwa imeparanganyika sana na hakuna utendaji wa pamoja

Serukamba: anatakiwa awepo kiranja mkali wa kuweza kusema acha na mtu akaacha
Zitto: kuna utovu mkubwa sana ndani ya serikali na hakuna nidhamu ya kazi kwani mawaziri wamekuwa wakipishana bila aibu. nI LAZIMA VYOMBO VYA KISHERIA VINAVYOHUSIANA NA UCHUNGUZI VIFANYE KAZI YAKE IPASAVYO
 
Zitto anamwaga mipointi ya kufa mtu.....Chadema wapo makini sana......
 
zitto mlala hoi kama mimi tuh
brand new range rover hii kaipata wapi??
Tumehoji ya yule msukuma maige na ufisadi wake,huyu hatuhoji kisa nin??yeye anavaa gwanda au?
Hawa wote wezi tuh?na siku zao zinahesabika..!
Wacha katiba ije,watatafuta pa kukimbilia..!
 
Deo anajibu hoja ya mpiga simu, kuwa hoja ya Zitto ilikuwa sio ya binafsi na chama chake bali ilikuwa ya Kamati! Na ilikuwa ya bunge nzima
 
Filikunjombe:
hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu zito hakuitoa kama chadema, bali kama mwenyekiti wa kamati, na aliitoa kwa wabunge wote, ndiyo maana niliisaini
 
Nacheki uwezo wa hawa watatu, mmoja na I pad, wa pili na note book, wa tatu katulia anasikiliza.
 
Back
Top Bottom