Zitto: Nia, Uzalendo na Uwezo wa kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania ninao!

Sasa mbona unajichanganya mwenyewe mkuu? weka mambo wazi

Zito kama wengi wanavyomwona na jinsi alivyo hanauwezo na sifa za kushika madaraka ya uraisi, hasa kwa vipengele alivyo weka hapo juu kuwa anavyo.
Lakini yeye binafsi anaona anao uwezo huo kinyume na wengi.
Tofauti hizi za kuweza au kutokuweza inatokana na viegezo vya kupiama, na siyo kimtazamo.
Yeye amejiwekea standard ya chini
 
Mh. Zitto Kabwe wakati akichangia hotuba ya Wizara Sayansi na Teknlojia amewananga wale wanao taka asiwe rais wa nchi hii, kwa kutaja mambo matatu ambayo amesema hana shaka nayo hata kidogo kuwa anayo japokuwa watu wengine wamekuwa wakimsaga. Mambo hayo ni :

  1. Uwezo
  2. Uadilifu
  3. Uzalendo

Kazi kwenu wana JF, Zitto amedhamiria kuutaka na kuupata Urais
Hata akisema na bajeti ya serikali ya miaka 5 atatoa yeye hakuna chama kitakacho mpendekeza yeye. Watu wote makini wanajua kuwa mtu yeyote mwenye uchu wa madaraka kama yeye ni hatari kwani ama ametumwa au ana agenda ya siri.CHUNGUZENI URAIA WAKE.
 
Huyo aje CCM tutampa kura. Lakini kule kwa magwanda? magwanda wenyewe ndio wanampinga.

Tatizo Pro-CDM wamempa Slaa hatimiliki ya kugombea U-rais. Wanaishia kumpiga vita Zitto kupitia mitandao tu, maana wanajua hawana uwezo wa kumfukuza wala kumkemea live.
 
We have to be much smarter than the other organs if you know what m i reffering too! TISS n the likes! Stay focused CDM!
I have been asking myself a question with no answers. How the hell could Zoka exclude Zitto from his infamous list of CDM leaders to be assassinated. Najaribu kuhusisha yale mazungumzo ya simu kati ya Zoka na Zitto kabla ya uchaguzi wa 2010 na ushindi wa NCCR mkoani Kigoma.
 
Taratibu Mkuu. Lugha ya kistaarabu haiuzwi. Vyovyote utakavyosema lakini the fact ni kuwa Harusi haikufanyika.

nimetumia lugha kali maana hiyo mada ya Arusi ya dr. Slaa imeingiaje hapa sisi tuna jadili aliyosema Zitto bungeni mwingine anaiingiza post za udaku nikampa kubwa! mm sikawizi!
 
Usitumie kichwa kufuga nywele tu, bali pia tumia kwa kufikiri. Wote hapa wameelewa, kasoro ww tu, hujioni una kasoro na hutufai humu JF?


mkuu bandiko lako la kwanza halikueleweka vizuri, ndio maana hata wewe ukaja na ufafanuzi kwa mara ya pili.!
 
Kwa nini wanafki wanamwogopa sana Zitto.Zitto wewe jembe nchi utaiweza usiogope maneno yawaliopo nyuma ya keyboard wanaogopa kivuli chako.Songa mbele mkuu subiri ndani ya chama ufike ujaribu bahati yako
 
Zitto siku ukigombe U-rais kupitia chama chochote hesabu una kura yangu mkuu... Huku watu wanakukataa kupitia keyboard ila naamini moyoni wanakukubali..
 
Last edited by a moderator:
USHAURI WA BURE KWA ZITTO

mzee mtei ambaye ni muasisi wa chadema, aliwahi kukuwekea pingamizi usigombee uenyekiti wa chadema. ulikua umshinde mbowe kwa kupata 70% ya kura. mtandao wako wa akina kafulila ukasambaratishwa na kufukuzwa. una maadui wengi chadema. pole sn kwa hilo! siasa ndivyo ilivyo. siyo siri wewe ndiyo ulionivutia kuipenda chadema. naamini wapo wengi ambao uliwavutia kwa kujenga hoja nzuri bungeni na wakajiunga au kuipenda chdm.

mtei alikuambia wazi kuwa "
chadema kina wenyewe". umeyasahau maneno hayo? si unajua maana halisi ya neno chadema!? najua una uchungu kwa sababu chama hicho umekitoa mbali. mchango wako mkubwa upo chdm.

siasa ni mchezo mchafu. nakushauri kuhamia nccr au cuf kwa sharti la kukuruhusu kuchukua uenyekiti na kisha kugombea urais. mbatia sidhani kama anaweza kukubali maombi hayo lkn lipumba nadhani anaweza. hii inatokana na ukweli kuwa amegombea mara nyingi na hana jipya. this is my piece of advice as a person who wishes u success in ur political carrier! i understand how capable, patriotic, developmental and constructive u r towards creating Tanzania that we want! ifikapo 2014 uwe umechukua uamuzi. ACHANA NA CHADEMA. CHADEMA INA WENYEWE NA WEWE HUMO. UNATOKEA KANDA YA ZIWA!!!!!!!!!


wakatabahu: wakuziba (mzee wa maneno yanayochoma nyoyo)
 
ndio maana jana nilimchna live...kwa maandishi yake humu alisema swala la urais bado na si vyema kulizungumzia sasa mbona analiongelea...full sitaki nataka yule

huyu jamaa ni mnafiki sana...........tumuogope kama ukoma
 
Nyie ndo mnafanya CHADEMA kionekane cha KIKANDA angesema LEMA mngehoji hivi!!!sijakubali hojai ya ZITTO sana but mbona anshutumiwa SANA!!!ana kosa gani??!!sio HAKI yake??!!


Mh. Zitto Kabwe wakati akichangia hotuba ya Wizara Sayansi na Teknlojia amewananga wale wanao taka asiwe rais wa nchi hii, kwa kutaja mambo matatu ambayo amesema hana shaka nayo hata kidogo kuwa anayo japokuwa watu wengine wamekuwa wakimsaga. Mambo hayo ni :

  1. Uwezo
  2. Uadilifu
  3. Uzalendo

Kazi kwenu wana JF, Zitto amedhamiria kuutaka na kuupata Urais
 
Vp, na nia pia anayo au???
Binafsi sijaona tatizo mtu kujikubali mwenyewe, lazima ujikubali kwanza ndipo ukubalike.
 
- Zitto again, mzimu wake utaendelea kuwatafuna Chadema mpaka mtakapokubali kwamba ndiye the only best candidate you have kuwenye kugombea Urais, na kuki-legitimize chama chenu kikubalike na Wananchi wote wa Tanzania, wengi wenu bado mna siasa za kizamani huko huyu kijana anasimamia siasa za kisasa za Dunia.

- Kama sio yeye next election mtamsimamisha nani? Slaa tena are you kidding me or what? Mtamsimamisha Mbowe tena baada ya kushindwa 2005 atakuwa bado good kugombea tena 2015? Please people badilikeni huko, Zitto ndiye the best man for job mliyenaye,

- Baada ya kupitia matatizo mengi sana hivi karibuni ya kisiasa hili taifa tunataka viongozi inclusive, sio wabinafsi na wasio na upeo wa kuona mbele na kujua wakati wa sasa, Zitto anatusaidia sana Taifa kwa kuwa huko Chadema na sio anywhere else!!

Es!!
 
Tatizo nini? Amevunja katiba, je katiba ya cdm inakataza kutangaza nia mapema?
Ila mh. ZITTO nakuona huna busara na haujui kusoma halama za nyakati, mh. Lowassa, sitta, membe wote wanataka urais, lakin hawajawahi kusema mbele ya jamii juu jambo hilo wanalo moyon wasubiri muda muhafaka kulitamka jambo hilo. Kila kitu na wakati wake. Sasa 2012 uchaguzi ni 2015, kwa akili yako ni sawa kutangaza nia? Umeshindwa kusubir mpaka 2014 ukatangaza nia. Je Kauli yako inajenga chama au inabomoa chama? Huu sio muda muhafaka wa kutangaza nia, huu ni muda wa kujenga chama. Umekosa uvumilivu, umekosa busara, bado haujakomaa ki siasa, haufai kuwa rais, naondoa my vote to zitto.
 
Dumela Mbegu

Ni kweli Zitto ni mzalendo halisi hata mazungumzo yake na Jack Zoka wakati wa uchaguzi yanathibisha hilo.


Hizi harakati za ZITO ni za kuitaka CCM iendelee kuwa madarakani......

Hivi kwani nini mtu analazimisha ni lazima awe RAISI??????????????????????

Kama wananchi hawamtaki kwa nini atulazzimishe????????????????????????

Bado hatujasahau jinsi JK alivyolazimisha urais tukafika tuliko sasa anakuja mwendawazimu mwingine na anaseama yeye ana sifa za kuwa RAis bila waTZ na chama chake kusema???????????????????

Mimi nafikiri kwa jinsi Zito anavyolazimisha urais, tutakuwa matatizo mara kumi zaidi ya haya anayotuachia JK..
 
Hivi kuna uhusiano wowote katika kutajwa huyu Mtesaji wa Dr. Ulimboka na maneno ya Zitto bungeni?

Inashangaza kuwa tangu jana, harufu ya Zitto kulipuka imekuwepo hapa JF na leo kalipuka.

Ila ni leo hii hii, Mwanahalisi imemtaja Ramadhani Ighondu (kumbe ni huyu walisema anaitwa RAMA) wa Usalama wa Taifa kuwa ni yeye alisimamia kuteswa kwa Ulimboka. Hizi habari zilianza kuelezwa siku nyingi kidogo na leo zimefumuka.

Na leo hii hii, inawezekana baada ya kujua kinachopikwa na Kubenea, Zitto akaanza na yeye kupika chake.
Ngongo naona usemi wako wa kumuhusisha Jack Zoka na Zitto yana ukweli fulani. Inawezekana kabisa katika kutupotezea mwelekeo wetu wa kujua kilichompata Ulimboka na hasa baada ya kutajwa Ramadhani Ighondu, basi Jack kamwambia Zitto kuwa muda wake wa malipo umefika na amwage cheche za kutaka Urais.

Kuna uwezekano Zitto akafanya jambo kali zaidi ya hili ili kuvuta akili, masikio na macho ya Watanzania kusahau jambo muhimu litakalotokea nchini na hasa linaloiabishia Serikali.

Sitashangaa hata kumuona akirusha NGUMI au kutoa matusi kwani anajua Serikali itamlinda.

Lazima nikiri kuwa hawa akina Jack Zoka kwa kweli WANA AKILI sana ila kuna sehemu wamepotea kidogo.....
 
Back
Top Bottom