Zitto ni maporomoko ya mto Nile - hayazuiliki kwa kifusi!

Zitto ndiye Presidaa ajaye. CDM wanahangaika kumchafua lakini soon ukweli utakuwa nje.Hivi huyu dogo Nassari anayetaka kaskazini iwe nchi akili zake ziko sawa? Mbona anakiherehere?
 
magindu

................... Uliyoandika yako ktk red, majibu yangu ktk bold black

1.

Ulitaka kusema nini hapo? Mwaka 2000 Zitto alikuwa Bungeni? Kumbuka tu huu ni muhula wa pili wa Zitto Bungeni, labda uweke vizuri hoja yako.


2.
Je, hapo unataka kusema hiyo ni achievement?

3.
Hapo ndipo Zitto alipoanza kutoka nje ya mstari. Ule ulikuwa ufisadi katika gift wrapping-paper!

4.
Zitto hawezi wala hastahili kuchukua credit peke yake kama unavyofanya. It was a collective effort by CHADEMA, and him was (then) part of CHADEMA.


5.
Hapa umejipambanua vizuri kuwa una uwezo mdogo wa kufikiri na kuchambua mambo. Pia unasumbuliwa na chuki na ubinafsi.

6.
Nauliza tena hiyo nayo ni achievement?

7.
Rejea Namba sita hapo juu.

8.
Ok, je mpango ulifanikiwa kiasi gani? Ulishindwa kiasi gani? Kwa nini?
Kwa maoni yangu, kwa vile Pinda bado ni PM, Prof. Maghembe, Malima, Nyalandu, Ghasia, Mkuchika na wengine bado wako kwenye Baraza la Mawaziri.....mpango mzima wa ile kitu haukufanikiwa. Ukitaka nitakupa sababu zaidi.

9.
Umesikia vizuri yanayojiri kuhusu ishu nzima au umekurupuka tu? badala ya kuwa sifa inaweza kuwa na matokeo ambayo sio mazuri kwa Mhe. Zitto.

10.
Hoja hii dhaifu inahitimisha propaganda zako kidhaifu. Eleweni tu kuwa CHADEMA haiwezi kuharibiwa na watu dhaifu kama wewe. Natia shaka kama Zitto ataunga mkono hoja zako hizo mfu, zisizo na mashiko.

My Take:

Kwa hali ya propaganda na kuchafuana ilivyoshika kasi ktk siasa za Tz, ni busara mods mkatafuta mapema namna ya kuratibu mambo haya. Nashauri mngeweka jukwaa la siasa za maji taka.

Upinzani wa kweli Tanzania hauwezi kupatikana paka pale watu watakapokuwa huru kuwahoji viongozi wao bila kujali wanawapenda kiasi gani. Tatizo ninaloliona hapa kila mtu anaona mwanasiasa anayempenda kama malaika, pasipo kujua kwamba wote wana udhaifu. Haitakuwa fair kujadili strength za ZZK bila kueleza weakness zake, aidha haitakuwa fair kujadili strength za Dr. Slaa bila kueleza weakness zake. Hata hivyo ukijadili katika msingi huo utashambuliwa kwa matusi ya nguoni na washabiki wa wanasiasa hao. Mtizamo huu ndio uliotupelekea watanzania kudanganywa kwamba JK ni chaguo la Mungu
 
uroho wa posho na husuda za urais ndio zimesababisha kumuongelea zitto ila nimeamini hausiki kwa rushwa hata kidogo ni fitina za wabaya wake tu
 
Hoja ipi unayotaka ijadiliwe, maana kama ni post yako ndo unasema ni hoja basi ni hoja mfu, imepofuka sana haioni zaidi ya pazia. Ukiamua kuandika kiupofu upofu hata akina Mramba, chenge, na wezi mbali mbali wa mali za umma wanayo mazuri mengi tu na yenye kusisimua - issue ni kuwa na consistent performance bila kuonyesha ukigeu geu, katika hili ZZK haaminiki sana, na wakati fulani ameonyesha udhaifu huo. Anahitaji kujitambua uwezo alio nao na akilijua hilo anaweza kabisa kuwa kiongozi bora kuliko hata hao tunaowaona kuwa bora kwa sasa. Jukumu letu ni kumsaidia aweze kujiboresha badala ya kumpamba pamba na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa, huo ndo unafiki unaotuangamiza watanzania.

Hakuna asiyejua uwezo alionao Zitto, hakuna asiyejua umahirii wake bungeni hakuna asiyejua anavyoweza kujenga hoja vizuri na kuisimamia kwa ushahidi. Yote hayo tunayajua wote, lakini amedhihirisha ukigeu geu mara kadha jambo ambalo limepelekea jamii iliyokuwa ikimwamini mashuleni, vyuoni, maofisini, n.k. kuanza kumshambulia, kama kweli tunamtaka awe kiongozi wetu na tumwamini lazima tumjege na kumwandaa vizuri kwa kuwa washauri wake wema, tuache tu mapenzi ya kishabiki shabiki. Hata mimi namwona Zitto kuwa kijana mwenye uwezo lakini lazima awe imara zaidi ya alivyoonyesha kwa sasa.....


jadili hoja nilizoweka hapo.
wabunge wako wasio wanafiki wamesimamia nini tangible mpaka hivi leo?
 
Ushauri wa bure: Man You know the words BUt you miss their meaning!! in life katu usipende majibu mepesi kwa maswali magumu! unaongea as if ZZK alitarajiwa awe zuzu wa kupiga makofi tu Bungeni and therefore aliyoyafanya is a favour to the this nation state! la hasha!

Na wala usichukulie kwamba criticism zinazomuandama zinalenga kumdidimiza au mizengwe fulani, hivyo ni vijembe na uswahili tu usio na mshiko but for the purpose of this debate I will ignore that with the contempt it deserves!! Kuwa public figure carries its own baggage; worse still mtu anapo stand out na kuwa "maarufu" kama ZZK; you open yourself to sucker punches! if you get what i mean!?

You become a source of news or news itself, and people will have opinions about your every utterances, you will be ridiculed, criticized, lampooned, caricatured, mimicked, quoted and what have you! sasa kama kila watu wakiwa na mtazamo tofauti na wewe basi ni mizengwe ya kukumaliza, then you dont have what it takes; the fire to be in the public domain, ZZK quit kauze migebuka kule kwetu! afterall who said ZZK ni St Jibril; (Mt Gabriel)??!!

Na kwa hiyo hawezi kukosea au watu wote are supposed to see the world through his eyes and view only, have we all become automatons, heterogeneous, that silly?

The world or Tanzania does not revolve around Zitto's head, he is and will remain a mere mortal, indespensable for that matter, Walikuwepo watu maarufu na waliofanya vitu vikubwa zaidi ya ZZK na kwa muda murefu zaidi ya ZZK, waliondoka na ZZK ataondoka lakini taifa Mama Tanzania litabaki and there will emerge wengine pengine bora kuliko ZZK.

Kaka Zitto katu asijiaminishe kwamba yeye single handeddly ataweza kuibadilisha Tanzania, shurti ajifunze kuwa team player; tendencies za kutaka ku-outshine and outdo wenzie zitamponza na pengine kumaliza safari yake katika medani za siasa mapema kuliko ambavyo anatarajiwa na watanzania wengi.

Pengine tumshauri isifikie mahali asije ZZK akaondoka with nothing to show for his troubles!! sometimes kuwa a good listerner ni bora kuliko kuwa msemaji sana kwani anajinyima fursa ya kunufaika kutoka kwenye maoni ya wenzie.

Huu ni ushauri mzuri sana kwa Zitto na inabidi auone coz ni constructive
 
Last edited by a moderator:
hata hayo mazuri machache unayoyasema,zito aliyafanya sio kwa nia ya dhati ya kupigania maslahi ya taifa...zito ni mtu wa siasa za maslahi yake binafsi..akichukua hoja kama yaa buzwagi ni kwa ajili ya sifa zake tu ...waliosoma naye mlimani watakumbuka wakati alipokuwa katibu daruso( rais akiwa Rugemalira)....ni mara ngapi rugemalira alimuokoa zito asiondolewe ukatibu...ni mara ngapi walikwepa kuitisha kikao kikubwa cha student baraza? zito na mwenzake mpaka wanatoka madarakani hawakuwahi kuitisha hata kikao kimoja...sifa kubwa ya uongozi wa kidikteta...

zito jambo baya zaidi ni mtu anacheza huku na kule tangu akiwa mdogo....wakati akiwa chuoni anajifanya yeye ni mwanachadema aalikuwa wakaati huo huo hakosekani sea view( nyumbani kwa kigogo mstaafu wa CCM-Makamu mkiti)
wakipanga mikakati ya siri ya kuongeza vijana UVCCM.......wakati akijifanya kupigania haki zaa wanachuo pamoja na akina Galan Mashinene,omary Ilyas ,Zito alikuwa muda wote anafanya mawasiliano na Luhanga( VC)

Hao wote wanaomshabikia ,wajiulize ashawaliza wangapi huko nyuma? mtafuteni Mhonga Said atawaeleza zaidi
 
Nafikiri kuna watu huona wameuliza maswali magumu kumbe majibu huwa mepesi sana, zitto hata asipo fanya kikao au mkutano mmoja kigoma kaskazini kijana wa Mwandiga huku ni Mbuge wa kudumu kwenye jimbo lake ahitaji kufanya hikao kila saa, kwani kuna mengi amefanya kwa miaka mitano aliyo kaa kama mbuge zaidi ya wale waliokaa kwenye jimbo hilo kwa miaka 45 kama watawala.

Zitto ahitaji kujakupiga kelele kigoma kwa kuwa kigoma zitto ni muwakilishi wao kwenye kila nyumba, kila familia, kila kijiji, kila wilaya na mkoa pia na atakuwa mbuge kwenye jimbo lolote la kigoma pale tuu akitangaza nia.

kama kuna wala rushwa bin mafisadi walisukumwa kwa magari majimboni mwao na wengine walipita bila kupingwa na wengine wakati wanajiudhuru wanachama wao walizimia then zitto hata mkimpakaa matope gani kigoma kuna maji ya kutosha kumsafisha kwani Lake Tangayika ipo kwa ajili yake na sabuni za gwanji za kutosha.

Go zitto Go zitto nothing will stop u brother ili kukuzuia waje kukausha kwanza Lake Tanganyika
 
Hapa umeandika mengi, tena bila mpangilio, na hata hueleweki unataka kusema nini. Unapotaka kueleza, kuuliza au kutoa maoni, ni vizuri ukatuliza moyo, akili na mikono ili uweze kuutoa na kuufikisha ujumbe kwa wasomaji, na wao wakauelewa kwa namna ile ambayo wewe mwandishi unataka wasomaji wako waelewe.

Hii ya kuandika kama unasimulia au unaimba inapoteza muda wa wasomaji na wa kwako pia. Jukwaa hili ni shule pia maana tunasahishishana na kuhabarishana pia.

Nimekuwa nikusubiri kwa hamu sana kusikia majibu ya Mbunge wa kigoma kaskazini Mh.Zitto zuberi. dhidi ya tuhuma za kuhususishwa na rushwa. Mbunge huyu kwa majibu yake ninauhakika atakuwa amewajibu watanzania walio wengi kwamba yeye ni mtu makini,msafi na anajiamini na misimamao yake.

Kwa yeyote mwenye dukuduku kwamba Ooohhh zitto nimla rushwa ameambiwa aende mahakamani,au aungane na chama chake,au afanye chochote kama kuunda tume aende akamchunguze kwamba yeye ni mla rushwa.Otherwise ni uzushi wapuuzi flani walioamua kupandikiza chuki ili washushe hadhi yake kisiasa.

Moja kwa moja kwenye Hoja,mwenendo wa CHADEMA kwa siku za karibuni unaonekana kwenda mrama hasa katika maamuzi na kenye utendaji kazi pamoja. Mh.zitto kabwe amekuwa ni moja wa viongozi wa juu pale CHADEMA ambaye amekuwa akianagaliwa kwa jicho la husuda na viongozi wa juu wa chama,hasa jicho hilo limekolea mara baada ya kutangaza nia kuwania urais mwaka 2015.

Viongzoi hawa licha ya kutuhumiwa na kashfa kama hivi ambazo ni hatari kwa mstakabari wa chama na taifa kw aujumla kama watanzania tutakuja kosea tukawapa nafasi za kuongoza nchi yetu.mfano wa kashfa ambazo majibu yake yalkishawahi tolewa hapahaopa jf ni kama

KATIBU MKUU WA CHAMA_TAIFA
Anakashfa zifuatazo ambazo majibu yake yapo(ikibidi kuyaleta yafika) na amewahi kukili hapa JF kipindi flani alipobanwa na wadau hapa Jf.

1.Kumlipa posho ya tsh;280000 mfanyakazi wa ndani kila siku anaopokwenda kwenye kesi arusha..pesa hiyo ni ruzuku ya chama.
2.Kujikopesha fedha za kujengea nyumba Kunduchi( nyaraka tunazo na majibu alishatolea hapa-bahati mabyaa sana waliokopeshana mmoja wao ameshamfukuza).
3.Kulipa kodi kwa mwezi zaidi ya Millioni Moja kupitia ruzuku ya chama pale kijitonyama alipokuwa naishi awali(Abla apartment)
4.Kukopeshana pesa za uchaguzi na mbunge wa iringa(viti maalumu) na kupanga matokeo ya uchaguzi huo..mgogoro hadi leo haujaisha pale iringa
5.kumufukuza/kwafukuza viongozi wa mbulu na Shunyanga kwa sababu tu walmeonekana wakiunga mkono sera za ZZK
6.Kufukuza kazi wakurugenzi bila kufuata kanuni ilimradi nafasi hiyo akabidhiwe Joseophine(mama Joniour)
7.Anakashfa ya kujilipa mshahara wa Million 7 kwa mwezi,ili hali katibu mkuu wa mkoa,wilaya,kata hapewi hata cent moja ya posho wala mshahara.

MWENYEKITI
Yeye anakashfa ya kukiuzia chama magari mabovu kwa bei ya dukani,Pia kujikopesha Million 300 kwaajili ya matumizi yake,Kuchelewesha na kupitisha vifaa vya chama bandari ya kenya vikitokea china,Nabaada ya hapo nusu hushuka Arusha na Kiasi kusambazwa mikoa iliyobaki hali inayosababisha kuishiwa kwa vifaa upande mmoja wa nchi.

Pia kukwepesha pesa iliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa chuo kibaha. (ikumbukwe majibu ya kashfa hizi yapo na katibu mkuu alikili wazi hapa JF kwamba ni kweli).

Kutokana na uchafu kama huu ni dhahiri si rahisi kwa watu hawa kupikika chungu kimoja,Kilichotokea ni kwamba wabunge na baadhi na viongozi hawa wameunda mtandao ambao umelenga kujiimarisha kisiasa na kuzika siasa za kijana huyu wa kigoma.
ZITTO Alipotangaza nia ya kugombea urais,ameukwa akiwekewa vikwazo vya kila namna juu ya kufanya mikutano ya hadhara.

Ndio maana unaona Zitto hapewi nafasi ya kufanya mikutano ya hadhara kwa sabau ya kwamba hakuna pesa, lakini wakati huohuo kunawatu wanazunguka na CHOPPER nchi nzima kwa lengo moja la kuimarisha na kutafuta wajumbe wa mkutano mkuu watakao kuwa upande wa kaskazini.

Sasa kwa mazingira kama haya wala usishangae akina Nassari wanavyosimama Bungeni na kumuomba spika wa bunge aivunje kamati ya zitto kwa madai kwamba imejawa na rushwa.

Zitto anafanya siasa za kishujaa kicha ya maadui wake kuwa wengi,lakini YEYE ANASEMA HATO SALIMU AMRI MBELE YA WATU WAOVU KAMA HAWA.MWISHO WA SIKU ZITTO ATAFUNGA MLANGO THEN TUZUNGUMZE KWA VITENDO

NI hatari kwa chama kama kweli wabunge wa ccm na chadema wanafikia hatua ya kuungana kwa lengo la kumdhalilisha zitto kwa sababu tu haivi na top head's.
Jf Jukwa huru nawasilisha.
 
sophia simba anayegombea nafasi ya mwenyekiti wa uwt taifa anasema kuna mgombea mmoja(anne kilango )anatoa hongo kumuaribia sifa hwa ni wa chadema vile poel kwa dawa ulizomeza mapema
 
Kinachomponza zitto ni kwamba yeye anapigana vita za aina mbili,that is within the party and the battle outside the party,ni nani asiyejua kwamba kuna vita ya ukanda cdm?nani asiejua kwamba zitto amepangiwa mkakati maalumu na mbowe ,slaa na wafuasi wao wakuchafua taswira na mvuto zitto alionao kwa jamii?all in all ukweli utasimama daima zitto is only competent,charismatic leader,and he deserve to be a president 2015.
 
Nimesoma hizi threads, ambazo wengi wa wachangiaji wanaonekana ni wanaCDM, nikawa na wasiwasi sana. Wasiwasi wangu unatokana na dalili za wanaCDM kugawanyika katika makundi kuhusu Zitto.

Kama muasisi wa Chadema na Mwenyekiti Taifa (mstaafu), nafarijika sana siku hizi kuona jinsi chama kinavyokua na kuleta matumaini kwa Watanzania kwamba siku za kutekeleza sera zetu za ukombozi zinakaribia. Kwa hiyo ni lazima kila mzalendo wa kweli afanye lolote liwezekanalo kuleta umoja ndani ya hiki chombo muhimu cha ukombozi. Zitto Kabwe akiwemo.

Katiba ya sasa kwa bahati mbaya, haimruhusu Zitto kugombea 2015 kwa vile umri wake utakuwa ni chini ya miaka 40.

Umakini na uzalendo wa Zitto ni obvious kutokana na michango yake Bungeni na kushirikiana kwake na umma kwa jumla. Ninachotaka kusema ni kwamba chama chetu ni muhimu kionekane ni imara, na kwamba hata mwanaChadema mwingine akipata fursa ya kuongoza nchi 2015, Zitto anaweza kupata fursa ya kushiriki naye serikaleni, kupata uzoefu, akamrithi kipindi cha baadaye.
 
nimepitia comment hapa lakini nlichogundua wengi wanaompinga zitto hawana hoja wala ushahidi wanayoyasema wala wanayoyaamini'
Zitto kaweka kila kitu wazi tena kasema mwenye ushahidi juu yake kwa yanayosemwa atoe sasa hapo ubishi wa nn? Zitto ni kimbunga cha ukweli big kaka zitto tuko pamoja wewe kwangu ndio mwanasiasa pekee wa mfano kwa nchi kama yangu sijaona anaekukaribia acha kukufikia
 
[h=2]Thursday, February 24, 2011[/h] [h=3]RAIS WA RBP OIL AND INDUSTRIAL TECHNOLOGY LIMITED, RAHMA AL-KHAROOSI AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA KAMANDA KOVA.[/h]
Rais wa RBP Oil and Industrial Technology Limited, Rahma Al-Kharoosi (kushoto), akikabidhi msaada jezi na mipira kwa Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Sulemani Kova kwa ajili ya Kombe la Kova (Kova Cup) lenye lengo la kuwaweka karibu wananchi kwa kushirikiana na Polisi kumaliza uhalifu jijini.Makabidhiano hayo yalifanyika Makako makuu ya kituo cha kati cha Polisi Dar es Salaam
Wakikabidhiana
Aksante sana Mama Rahma
Wakifurahi kwa pamoja
Wakikabidhiana moja ya Kombe
Kombe
Kamati ya maandalizi ya Kamanda Kova Cup.
Kamanda Kova akizungumza
Akisisitiza
Akisisitiza jambo Kamanda Kova
Mnanipata? Kamanda Kova
 
nimepitia comment hapa lakini nlichogundua wengi wanaompinga zitto hawana hoja wala ushahidi wanayoyasema wala wanayoyaamini'
Zitto kaweka kila kitu wazi tena kasema mwenye ushahidi juu yake kwa yanayosemwa atoe sasa hapo ubishi wa nn? Zitto ni kimbunga cha ukweli big kaka zitto tuko pamoja wewe kwangu ndio mwanasiasa pekee wa mfano kwa nchi kama yangu sijaona anaekukaribia acha kukufikia
usijali ndugu yangu tumeshawabaini na tutawadhibiti.
operesheni yao ''OPERESHENI CHAFUA ZITTO'' imeshtukiwa na tutaitokomeza kama ukoma mpaka zitto aingie ikulu..wanataka hivyo hivyo hawataki hivyo hivyo.
 
ZITTO ROPOKA, mara wanaoenda na maji ni wengine, ZITTO ROPOKA mara wanaopigwa mweleka wengine. ZITTO WILL SURVIVE TILL NEXT ELECTION GET READY
 
Nimesoma hizi threads, ambazo wengi wa wachangiaji wanaonekana ni wanaCDM, nikawa na wasiwasi sana. Wasiwasi wangu unatokana na dalili za wanaCDM kugawanyika katika makundi kuhusu Zitto.

Kama muasisi wa Chadema na Mwenyekiti Taifa (mstaafu), nafarijika sana siku hizi kuona jinsi chama kinavyokua na kuleta matumaini kwa Watanzania kwamba siku za kutekeleza sera zetu za ukombozi zinakaribia. Kwa hiyo ni lazima kila mzalendo wa kweli afanye lolote liwezekanalo kuleta umoja ndani ya hiki chombo muhimu cha ukombozi. Zitto Kabwe akiwemo.

Katiba ya sasa kwa bahati mbaya, haimruhusu Zitto kugombea 2015 kwa vile umri wake utakuwa ni chini ya miaka 40.

Umakini na uzalendo wa Zitto ni obvious kutokana na michango yake Bungeni na kushirikiana kwake na umma kwa jumla. Ninachotaka kusema ni kwamba chama chetu ni muhimu kionekane ni imara, na kwamba hata mwanaChadema mwingine akipata fursa ya kuongoza nchi 2015, Zitto anaweza kupata fursa ya kushiriki naye serikaleni, kupata uzoefu, akamrithi kipindi cha baadaye.
umeongea vizuri sana mzee wangu
mungu akubariki na uwe hivyo hivyo na busara mbele ya umma..ila nakuomba uwakanye hawa wana chadema ambao wanatumia nguvu na akili zao nyingi kushugulikiana wenyewe kwa wenyewe..watu kama John Mrema, Benson Kigaila NA MWITA waitara wanaweza wasiitimize dhamira yako ya kutaka kuikomboa nchi kama sababu ya kuanzisha chadema.
vinginevyo umewaziba mdomo hawa viherehere wanaotimiza kwa makusudi ''OPERESHENI CHAFUA ZITTO''.
mungu akubariki
 
Hizo ndiyo zinakupa upofu wa kutokuona mabaya yake! Huyo Kijana tunamfahamu uzuri! Amechenga katika mengi na kutumia CV yake ya umaarufu mwepesi wa kukataa posho sasa hivi kwa sababu ya rushwa kubwa kubwa. Katika hili haponi, hana "moral authority" tena. Mbona anaweweseka sana na tuhuma. Unataka tutoe ushahidi wa msg zake. Hopeless kabisa acheni kuchezewa akili na wanasiasa uchwara wanaotumia matatizo yetu kuapata umaarufu huku wakituumiza kwa kuwaamini.
Mkuu umenena,kijana kayataka mwenyewe,unajua unaweza ukawa mjanja sanaa ukawa na uwezo wa kujieleza lakini kumbe ni mnafiki inamsaidia nini???njia ya mwongo ni fupi,aache kulalama ati anahujumiwa na wana siasa wapinzani asubiri tume ili azikwe kabisa kisiasa.
 
Back
Top Bottom