Zitto ndani ya Mwanza

Kukubalika sana kwa Zitto mikoani ni salam tosha sana kwa Kubenea na Haters wote kuwa nguvu na propaganda ya kumchafua Zitto haivuki Kimara,kule watu hawana muda wa kusoma vijimwanahalisi!!
 
Weka Picha tafadhali, alikua ana lilia raha au?sijamuona huyu bwana akilia mie.....
tujuze. asichoamini ni kipi? hizo ndo ghilba za kisiasa, anavuta hisia za watu. URAIS HUO. AMESAHAU ALIPOMWAMBIA PINDA ANALILIA U PM?
 
Ile methali ya kiswahili isemayo "wingi si hoja" siku hizi imepitwa na wakati? Maana watu naona wako bize sana kuelezea jinsi watu "walivyojaa" bila ya kueleza hoja ya watu hao kujaa ni ipi. Zama za utawala wa Warumi watu walikuwa wanajaa uwanjani kuangalia binadamu (wafungwa) wenzao wakipambana na simba. Uwanja mzima ulikuwa ukizizima kwa mayowe!!

wivu mbaya sana kwani zitto na zama za warumi vinaendana.....kila chenye mwanza basi mwisho hupo..........gooooooooo Zitto
 
Hata ingekuwa hao unless wanaenda kwa mkutano. Mi najioneaga taabu hizi mambo za kuenda kupokeana! Hata JK akitoka safari nashangaa kina Pinda kwenda kujipanga kumpokea!
ila angekua slaa,mbowe, mnyika sawa.!!
 
zitto anatisha sana na anakubalika, wana cdm lini tutampokea slaa, jana mboye alisema yuko vatican kikazi.

Walipanda ndege Moja na Maalim, Lipumba, Ustaadh Mtatiro na Alhaji Jussa . Wakati Mbowe anaenda Vatcan, akina Lipumba walikuwa wanaenda Makka Saudi Arabia kumsalimu Allah na kumpiga mawe jirani wa Allah
 
The needs more changes than our leaders think, I hope this is a clear message to Mr. Zitto, that their speed towards the real freedom is isn't really convincing to the majority of Tanzanians, Yes! we need leaders like Mr Zitto! Good luck makamanda wa Kirumba na Rock city wote!!
 
The needs more changes than our leaders think, I hope this is a clear message to Mr. Zitto, that their speed towards the real freedom is isn't really convincing to the majority of Tanzanians, Yes! we need leaders like Mr Zitto! Good luck makamanda wa Kirumba na Rock city wote!!
Ni kweli wananchi wana matumaini makubwa kwa CDM hivyo kina Ztto tunawaomba msiwaangushe wananchi.
 
Mkuu, mapokezi ndio yamemfanya amwage machozi ebu jaribu kumuuliza vizuri.
 
kiongozi jasiri hawezi kulia ila atawaeleza wananchi mwelekeo wa nchi na nini kifanyike,sasa tuanze kupoteza muda tena kumbembeleza anyamaze wakati nchi ina changamoto nyingi za maendeleo.zitto tulia acha mbwembwe
 
zito nafsi yako itafakari imani walionayo watanzania kwako.je? Unawatendea yaliyo ya haki kutoka moyoni mwako?
 
machozi yana maana kubwa mbili;
1.FURAHA

2.HUZUNI

hapa inaonyesha alikuwa nafuraha iliyopitiliza,zitto hebu sema mwenyewe

INAUMA amemaliza kila kitu hivyo Zito alikuwa analia machozi ya furaha na PM alikuwa analia machozi ya HUZUNI. Kwa wale wanaosema kwa kiongozi kulia sio kitendo cha kijasiri si kweli kwani inategemeana na mazingira. Mfano kwa Zito kulia machozi ya furaha ni sawa lakini kwa PM kulia machozi ya huzuni si ujasiri maana anatukatisha tamaa wananchi wake ni sawa umekwenda hospitali kumwona mgonjwa badala ya kumfariji hata kama amezidiwa namna gani na wewe unaanza kulia wakati ulitakiwa kumtia moyo mgonjwa
 
Back
Top Bottom