zenmoster
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 951
- 201
wewe una akili finyu na uwezo wako wa kufikiri umefikia hapa...toa takataka zako sebuleni hapa hujui choo kilipo???acheni unafkii huo wana CDM mna ajenda zenu za siri kwa zitto,kwanin ha mpendi kuwa wakweli?semeni tu kuwa zitto hapendwi kutokana na DINI yake na kabila lake,ndo mana zitto anafahamu ajenda zote khs hiki chama na malengo yake.Wakatoliki wamepanga mikakati kamambe ya kumchafua ZITTO ila hamta muweza kamwe huyu ni mpiganaji akiamua kuivunja na kuigawa CHADEMA anaweza time yyte ile.