hamna spika pale bali kuna mzigo mzito kwa watanzania na mtu mzuri kwa mafisadi so msitegemee miujiza....... prepare yourself for the worst from hermambo ni yale yale tulitegemea SPIKA angemuhitaji ZITTO kuthibitisha kauli yake lakini naona muda wa maswali umepita na ZITTO hajaitwa kuthibitisha,
hakuna kitu akimbana zito basi alete na ushahidi wa lema vs pinda na msigwa vs pinda la sivyo patachimbika...HATMA ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA) aliyelituhumu Baraza la Mawaziri kushawishiwa kubadili msimamo wa kubariki azimio la kuongeza muda wa uhai kwa Shirika Hodhi la Mali za Mashirika ya Umma (CHC) kwa miaka mitatu kinyume cha mapendekezo ya Bunge itajulikana leo.
Hatua hiyo inatokana na Spika wa Bunge, Anne Makinda, kumwagiza Zitto kuwasilisha utetezi wake hadi kufikia leo baada ya agizo lake la mara ya kwanza alilolitoa Juni 23 kumtaka mbunge huyo kuwasilisha utetezi huo hadi kufikia Juni 29 kugonga mwamba.
Hata hivyo, ulishindwa kutolewa uamuzi siku hiyo (Juni 29) baada ya siku ya kwanza ambayo Zitto alitakiwa kuthibitisha kauli yake kuwasilisha barua kwa Spika akiomba amsaidie kupata nyaraka kutoka Baraza la Mawaziri na Wizara ya Fedha zinazohusu mjadala wa CHC ambazo zitamsaidia katika utetezi wake, jambo ambalo Spika alisema alishindwa kumsaidia kwa kile alichoeleza kuwa nyaraka za Baraza la Mawaziri ni siri.
Baada ya tamko hilo la Spika bungeni kumtaka Zitto kuwasilisha utetezi wake, mbunge huyo alimzunguka na kuamua kuwasilisha utetezi wake na vielelezo Alasiri ya siku hiyo (Juni 29).
JE ATANUSURIKA NA HUO USHAHIDI WAKE LEO BUNGENI ATAKAPOKUWA ANAUSOMA MBELE YA BUNGE?
[/COLOR]2183379]Mother hana ubavu wa kukabiliana na ZITO
Tatizo kule ku-beep. Anabeep sana huyu mama halafu anaowabeep wakimpigia anaogopa kupokea anaanza ooh nitumie msg! kwa nini ulikuwa una beep sasa?Hakuna jipya zaidi ataukalia kama ule ushahidi wa LEMA.