Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Najaribu kutazama mienendo ya Mhe Zito Zuberi Kabwe na kukuta ndoto nyingi za kusadikika alizokuwa nazo.
Ukweli ni kwamba ni dhamira ya wazi ya ndg Zito kabwe kutaka kujenga historia katika nchi hii ya kuwa Kiongozi wa juu ambaye kijana zaidi ndani ya chama na serikali kama alivyopata wahi kuwa Mwl.Nyerere. Ndani ya chama kwa maana ya kuwa M/kiti na ndani ya Serikali kwa maana ya kuwa Rais. Ni ndoto nzuri kwake lkn bila shaka anaona kuna vizuizi vingi vitakavyozuia ndoto zake kutimia.
Ukweli ni kwamba ni dhamira ya wazi ya ndg Zito kabwe kutaka kujenga historia katika nchi hii ya kuwa Kiongozi wa juu ambaye kijana zaidi ndani ya chama na serikali kama alivyopata wahi kuwa Mwl.Nyerere. Ndani ya chama kwa maana ya kuwa M/kiti na ndani ya Serikali kwa maana ya kuwa Rais. Ni ndoto nzuri kwake lkn bila shaka anaona kuna vizuizi vingi vitakavyozuia ndoto zake kutimia.