Sibhonike
Senior Member
- Apr 10, 2011
- 156
- 16
nimeipenda hii kitu
MWIGULU though sijawahi kukusikia ndo leo hapa nimepata news,sikia:
1.kuwa na A ya somo fulani na kupata Hons. si sababu ya kukufanya uwe na uwezo katika utendaji kazi,suala la kutekeleza ulichokisomea linaonekana ktk "positive output" inayoleta suluhisho sahihi/kutatua tatizo ktk jamii.
2.kuna A nyingi sana tu za kkopi na kupest vyuoni,kuna A za kudesa,kuna A za kucheat kwa namna nyingi tu.
3.msomi halingii "cheti" alichonacho bali utekelezaji wenye akili,nini unawafanyia wanainchi chenye manufaa?ss anapolipuka ktk redio nina nini na nini sisi hatuhitaji kuona cheti chake kila mtu kasoma bwana!!ata wasiosoma wana akili zao kwa namna ya maisha wanavyoyamudu bwana!
4.ivi unapotetea bajeti ya nchi unaangalia chama cha manjano na kijani au manufaa ya wanainchi???
5.ingawa siangalii bunge thz days,,,kitendo chako cha kutupa bajeti ya upinzani bungeni inaonyesha upeo wako mdogo sana/finyu na ulimbukeni wa hali ya juu na kushindwa kwako kabisa kupanga hoja na kwamba unatetea ugali wako kwa namna hiyo unasikitisha sana(ebu tuelezee je ndio maana ya A yako ya uchumi wa WB??kwani WB ni kitu gani bwana?sisi tunataka A za kiutendaji na si za kupamba ukutani),sisi tunajua mwenye A na kutambulika WB wanakaa mezani na kupanga na kupangua hoja kwa akili na UTEKELEZAJI wake positively kwa wanainchi.
6.ivi KOMBA.....?
Nakubaliana na wewe ndugu.
Huu ni zaidi ya ULIMBUKENI.
Hivi hakuna aliyetoka maeneo ya jimbo lake au anayejua maana ya majina yake,
"MWIGULU NCHEMBA?"