Zitto na Halima wamwita January Makamba mnafiki

Status
Not open for further replies.
To whoever it may concern.............
Youthness haiwezi kuwa kiunganishi cha vijana wote hapa nchini tuna itikadi tofauti na tumelelewa tofauti as well.

Remember hoja ya urais na ujana????????; Interests are the best friends but not their containers (human beings) na hili litatuumiza vijana in a near future coz we think wote tuko pamoja......we tend to forget our backgrounds na self ambitions

Hayo majibizano yanaweka taswira nzuri sana ya Taifa letu siku zijazo na especially kwenye serikali za mseto............kama nakumbuka vizuri muheshimiwa Zitto watu wamewahi kuhoji ukaribu wake na baadhi ya watu akasema ni personal social relations......ni haki kuwa na marafiki but I real got a shock na ile hali but ukweli ni kwamba siasa ni maisha na maisha ndo matokeo ya siasa yenyewe

Nawashauri sana na kuwasihi vijana wenzangu..........tusiwachukulie viongozi wetu vijana kama malaika.....hawa ni watu na wana utashi wao pia.......wao wako kwenye siasa na sisi tumo kwenye fields nyingine.....same way unavyoamua na kufanya maisha yako na wao pia wana yao except that wako priviledged than us, wanapata coverage ya media and ol that BUT nao ni VIjana kama sisi wana wanamaisha yao kama sisi na sio lazima wote waweze ku represent our feelings and expectations


LETS GET UP AND FACE THE REALITY........NO ONE IS RESPONSIBLE FOR YOUR LIFE EXCEPT YOURSELF


Natumia simu sioni button ya like,, ila kula like * 10, hii point sanaaaaaaaaaaa
 
J Makamba anafahamu kafika vip hapo alipo, anafanya kila njia kutufanya tuamini kwamba kafika hapo alipo kwa taratibu za kawaida,anafahamu jinsi alivyobebwa na mfumo wa kifisadi si ni mtoto wa mzee makamba!,anachofanya, anatumia njia nyingi kuigiza kupinga ufisadi na ili kuonekana yupo halisi anajiweka karibu na watu kama kina Zitto halafu anajifanya yupo mbali na watu kama kina Ngeleja hii humfanya aaminike wakati mwingine.
Ndio maana si rahisi kuelewa msimamo wake juu ya watuhumiwa wa ufisadi, anyway hii ni kawaida ya mwana CCM yeyote.
kwa hiyo kwamba ni mnafik, ni kweli
 
Kwa hali hii, Jmakamba sio kijana wa kwlei sababu anafuata nyendo za kizee kama baba yake, sasa msiogope hawa ni magamba tuu.
 
si wote mnajua huyu mtoto wa makamba alivyopata ufadhili wa kifisadi katika kampeni za ubunge? January na Mwanvita ni watoto wa fisadi usitegemee cha maana hapo. Hivi zile email tulizoweka humu jinsi walivyo raise funds kwa ajili ya ubunge bado mna imani na January?! Kijana mchafu huyo, Zitto na Halima huyo si mwenzenu.
 
Katika pita pita zangu uko twitter nimekutana na ujumbe huu toka kwa Zitto Kabwe na Halima mdee kwenda kwa January Makamba...

Tweet from Zittokabwe

------------------------


Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini

Tweet from Zittokabwe

------------------------

Zittokabwe: dinahicious this is not #publicitystunt , this is #Accountability wenye nia ya dhati ya kupambana na ubadhirifu watasaini. #Tusiyumbishwe

Tweet from Zittokabwe

------------------------

Zittokabwe: Kanuni zinataka kukusanya sahihi. #sahihi70 tunazipeleka j3 kwa Spika. Uongozi ni utayari na ujasiri. Unafiki ni hatari sana @JMakamba

Tweet from Zittokabwe

------------------------

Zittokabwe: Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini

Tweet from halimamdee

------------------------

halimamdee: huna hizo guts.. whether usign now or later it does not make any difference! Cause kanuni wala katiba haisemi usign lini..

Tweet from halimamdee

------------------------

halimamdee: Zittokabwe @JMakamba sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajui wenzake wamesign? Hili suala sio la chama!

Tweet from halimamdee

------------------------

halimamdee: @JMakamba kwa hiyo kusema analeta jumatatu ndio kuinvalidate hoja hata kama jumatatu haijafika? Behave kama kijana!

Tweet from halimamdee

------------------------

halimamdee: JohanesEdson dinahicious Zittokabwe January... ni mnafiki. Najua ananisoma now...

Tweet from halimamdee

------------------------

halimamdee: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respect this guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!

January na Ziito ni marafiki. Ni kama hawa hapa

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad (kushoto) ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) akisalimiana na hasimu wake ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Wawi, Hamad Rashid walipokutana Ikulu, Dar es Salaam hivi karibuni, wakati wa hafla ya kuwaapisha wajumbe wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba.
 
Last edited by a moderator:
Tangu lini nyoka akawa chura? January Makamba ni walewale hawafai hatakidogo ni porojo tu! hana jema na nchi yetu kwani si umeona babayake alivyoua chama?

JMAKAMBA nilimwona kama kijana mpiganaji kumbe ni wale kwenye mpira wanaopiga mpira kuelekea golini kwake na kufungisha timu yake ila sub yake ni kunjombe polisi mpiganaji aliyekataa rushwa akawa mjasiliamali na hatimaye akatumwa kuja kuwatetea wananjombe achana na makamba hajui uchungu wa maisha kwani amezaliwa ndani ya hatamu za ccm akaulia kwenye maziwa akasomea kwenye keki ya taifa na sasa anaila keki ile ile kwa kasi zaidi na nguvu zaidi kamanda kunjombe amesoma kwa shida ameshindia mihogo na michai chai akasota pale ccp akapiga gwaride kama kawa anajua shida kwani alitaka kuzama huku mtoni akiwa na wananchi sio akina makamba vuvuzela tu hana shukrani
 
To whoever it may concern.............
Youthness haiwezi kuwa kiunganishi cha vijana wote hapa nchini tuna itikadi tofauti na tumelelewa tofauti as well.

Remember hoja ya urais na ujana????????; Interests are the best friends but not their containers (human beings) na hili litatuumiza vijana in a near future coz we think wote tuko pamoja......we tend to forget our backgrounds na self ambitions

Hayo majibizano yanaweka taswira nzuri sana ya Taifa letu siku zijazo na especially kwenye serikali za mseto............kama nakumbuka vizuri muheshimiwa Zitto watu wamewahi kuhoji ukaribu wake na baadhi ya watu akasema ni personal social relations......ni haki kuwa na marafiki but I real got a shock na ile hali but ukweli ni kwamba siasa ni maisha na maisha ndo matokeo ya siasa yenyewe

Nawashauri sana na kuwasihi vijana wenzangu..........tusiwachukulie viongozi wetu vijana kama malaika.....hawa ni watu na wana utashi wao pia.......wao wako kwenye siasa na sisi tumo kwenye fields nyingine.....same way unavyoamua na kufanya maisha yako na wao pia wana yao except that wako priviledged than us, wanapata coverage ya media and ol that BUT nao ni VIjana kama sisi wana wanamaisha yao kama sisi na sio lazima wote waweze ku represent our feelings and expectations


LETS GET UP AND FACE THE REALITY........NO ONE IS RESPONSIBLE FOR YOUR LIFE EXCEPT YOURSELF

did i get your point?....i'm not sure!is uwaziri au ubunge the same as ualimu,uinjinia au udaktari,ufanyabiashara nk?kuna chuo kinatoa degree,diploma etc ya ubunge au uwaziri?wangapi kati ya wabunge wetu na mawaziri wana hizo degree au diploma nk?i thought 'political' leadership ni dhamana tu.....anyway labda sielewi vizuri
 
sasa great thinker gani unakua unapitwa na lugha ambayo ni muhimu katika hata hayo mageuzi unayoyafikiria?. kiingereza ni lugha ambayo haikwepeki hata wabunge pale lazima waweke kaneno hata kamoja ka kiingereza kwa hiyo hata wenyewe huwaelewi? huu uzandiki wa kijana kujidai hataki au kuona kiingereza kuwa ni lugha isiyo na tija inayobagua watu ni ujinga mkubwa. kiingereza ni lugha ya kimataifa na tanzania haishi peke yake kwenye kisiwa cha kuongea kiswahili, wazee au watu wa vijijini wangesema hivyo sawa, lakini siyo wewe kijana, unayetegemewa kuja kuongoza jamii, na famili yako.. kiingereza ni lugha ya kigeni, lakini kusiwe na ile taswira ya kwamba ni lugha pandikizi ya watu wachache inayogawa jamii, ongea na kuandika kiswahili lakini vile vile kua na ufahamu wa kiingereza ni muhimu

tatizo hujaelewa hoja yangu mkuu, pia ujue kwamba sio wote waliosoma humu jf so mda mwingine hekima inabidi itumike, pia sio kwamba lungha ya englsh sijui bali ni kubebeana mizigo na wenzetu ambao hawajabahatika kuijua vyema hii language na huo ndo ukombozi wa kweli kwa matabaka yote ya watu ktk jamii.
 
Nawaasa wabunge wa chadema vijana hata siku moja wasijilinganishe na wabunge vijana wa ccm, mnatofauti kubwa sana na wao, kwanza njia yenu mliopitia kufika hapo mlipo ni tofauti sana, wenzenu wamebebwa na mfumo na majina ya wazazi wao, njie mmebebwa na umma unaotaka mabadiliko na maono yenu ya tanzania muitakayo, msije mkajisahau mlikotoka na mnakoenda! Achaneni na akina makamba wananufaika na mfumo uliopo, hawatafurahi kuwa chama cha upinzani siku moja kitu ambacho wameshajua kinatokeo, kwahiyo watafanya kila kitu kuwasubotage!
 
jmakamba is a straight GIMMICK! just like dogs do to the non essentials u just pi*** on him and walk away!
 
Tatizo historia yake inamfunga hawezi kufanya maamuzi sahihi kwani kufanya hivyo ni kunyea bakuli ulilowekewa chakula na BABA yako.Kitakachofuata ni kunyimwa msosi.
 
To my opinion, ccm hawana issues za vijana au wazee ama watoto n.k, tatizo lao ni system inawatafuna sana. sasa kijana kama makamba hana ujasiri ataweza kuoongoza taifa letu kweli kufanya mabadiliko tunayotaka wananchi? hapa amekuwa kama Pinda tuu kuleta viswahili vingi kwenye kufanya maamuzi
 
Simshangai Januari kwa vile najua asingefanya tofauti na alivyofanya, ila nawashangaa wale wanaomshangaa Januari. Tunajua Januari ni opportunistic anachotafuta ni publicity probably anafikiri baada ya Ngeleja ni yeye, njia aliyoiona rahisi ni kutumia ujana kwa kuji-associate na kina Zitto, Kigwangallah na vijana wengine.

Sisi wengine tuli-question urafiki wa ghafla kati ya Zitto na Januari tukaambiwa tuwaache maana nje ya siasa kuna urafiki wa kawaida, well, kweli mtu hachaguliwi marafiki lakini ukiwa mwanasiasa lazima uwe mwangalifu sana na watu unaoji-associate nao. Mwaka 2009 Mc Cain alimtembelea Gadaffi libya akaahidi kumsaidia kwa nia njema tu lakini angalia ilivyom-cost politically. Kwa hiyo kwa kitendo cha leo, Zitto ameanza ku realize who is a real friend in need. Tunajua siasa ni maisha na maisha ya hawa vijana ni siasa, so, to cut short the story, kama Januari hamusaidii Zitto kisiasa ina maana hamsaidii kimaisha vilevile. Sasa huu urafiki nje ya siasa unaosemwa ni upi, wa kunywa bia au soda pamoja tu au?

Hatusemi Januari amsaidie rafiki yake Zitto kwa kum-favor hapana, ila tunachohoji ni sababu zipi zilimfanya Januari kuhoji jambo ambalo bado liko kwenye process, maana Zitto alisema atawasilisha hoja yake J'3, tuseme lengo hasa la Januari lilikuwa nini, kitendo kilichosababisha kutoa loop hole kwa Spika kuliita ni batili. Huo ndio unafiki wa januari unaozungumzwa.
 
Tangu lini nyoka akawa chura? January Makamba ni walewale hawafai hatakidogo ni porojo tu! hana jema na nchi yetu kwani si umeona babayake alivyoua chama?

kama ni kweli basi BIG UP to Makamba the father maana ni rahisi kuliua giant kama CCM from within than from the outside....kidogo amepunguza kazi kwa wengine.
 
Ndio maana natembelea mitandao mingine ya jamii Mkuu,
ni muhimu kutembelea mitandao mbalimbali ya jamii na sana sana kusoma VITABU!

Ila sio sawa kuifanya JF kituo cha kulazimishia mijadala hata kwa kunususa vitu visivyoeleweka eti hata kwenda kunusa kwenye kurasa ambazo wenyewe hawakutaka iwe hapa.
Mi naamini JF inaogopeka na hao watu ndio maana hawajaleta hayo malumbano yao huku sababu wanaelewa ambacho wangekutana nacho, sasa hii kulazimisha kwa kutoa vitu huko (tena visivyo na maana) na kuvileta hapa ni kushusha hadhi ya jukwaa ambalo wenyenyewe wanaliogopa!

Ila mkuu wangu RF take it easy bro !

Nimekusoma. Maisha yaendelee, ndugu. Na huyo mtu asingekkuwa anaandikia watu angeandika kweye shajara yake, ndugu. Katuandikia ili tusome na ikiwezekana tusambaze taarifa kama zinahusika. Kama jf ni source ya info, zinawekwa na watu, tatizo ni usiri wa mleta mada. Na jf isiwe kisiwa. Mada ambayo inachangamsha ufahamu ni vyema ikawekwa hapa no matter mtu anaichukuliaje na imetoka kwa nani
 
"Hii issue sio ya chama" by Halima mdee!

Nimeipenda hii maana kuna chama kilianza upotoshaji kwa kujaribu kuiteka hii issue,bora mheshimiwa umeliweka hili sawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom