Humu ndani JF, kuna watu wengi sn walikuwa wakimsupport huyu jamaa lkn mimi siku zote simwamini. Na sina sababu za kumwamini kwa 7bu yeye ni MTOTO WA MAKAMBA tangu lini makamba alikuwa makini, baba yake anatuhumiwa kukupotezea kura nyingi sana ccm, na hata wakati mwingine alienda mbali sana kiasi cha kutukana watu bila 7bu, mfano alimtukana MZEE SELELII eti kapoteza mvuto. NA KAPATA HIYO NAFASI KWA FITINA iliyoongozwa na baba yake, Kama angeipigania yeye mwenyewe nisingekuwa na shaka naye, ila kuwa kwa zile vurugu walizomfanyia Mzee SHELUKINdO, siwezi kumkubali kuwa ni mtu makini kiasi hicho.january ni mnafiku... he is gaining from a system. .......
kuna watu kama kina johngwalu wanataka vyanzo kama hivi vibaki huko twitter na fb eti. I used to respect this guy until he stumbled on my path
However I do not blame him, many people are extremely myopic and cannot see beyond their noses, even with the glaring monumental failures and head-breaking incompetence from these folks.
The basic reason I can see is that most of us Tanzanian youths have evolved into commentators not participants, talking from afar and not participating in much.
This case will prove my point
Katika pita pita zangu uko twitter nimekutana na ujumbe huu toka kwa Zitto Kabwe na Halima mdee kwenda kwa January Makamba...
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: dinahicious this is not #publicitystunt , this is #Accountability wenye nia ya dhati ya kupambana na ubadhirifu watasaini. #Tusiyumbishwe
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Kanuni zinataka kukusanya sahihi. #sahihi70 tunazipeleka j3 kwa Spika. Uongozi ni utayari na ujasiri. Unafiki ni hatari sana @JMakamba
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: huna hizo guts.. whether usign now or later it does not make any difference! Cause kanuni wala katiba haisemi usign lini..
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Zittokabwe @JMakamba sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajui wenzake wamesign? Hili suala sio la chama!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: @JMakamba kwa hiyo kusema analeta jumatatu ndio kuinvalidate hoja hata kama jumatatu haijafika? Behave kama kijana!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: JohanesEdson dinahicious Zittokabwe January... ni mnafiki. Najua ananisoma now...
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respect this guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!
......
Ni miongoni mwa vijana walioshindwa kusoma alama za nyakati akadhani kuwa na Mheshimiwa "Vasco da Gama" kutalii nchi zote duniani amemaliza maisha. Mpeni pole. i hate unafiki. Bora watu wakujue Jambazi tu.
JMakamba amepotea njia hapo bora atulie ila akitaka kwenda deep ataaibika tu kinachofuata.
Mkuu leta updates za Geita naona kimya...
Au mvua inanyesha??
Kachukua akili za baba yake huyo. Unategemea nini?
Halima J Mdee ‏ halimamdee Close Emmamatondo bi kiroboto ana mapenzi sana na chama chake, mpaka anajisahau!
Halima J Mdee ‏ halimamdee Close
Kinachowauma CCM, walitaka hoja itoke kwao.. sasa tumewapiga bao wanaanza kutapatapa!...
Halima J Mdee ‏ halimamdee Close
Sasa wanahaha kutuambia ooh katiba inasemaje.... kanuni zinasemaje.. we know kinachosemwa kwenye katiba na kanuni!
Halima J Mdee ‏ halimamdee Close querreChaArusha unajua wana kiherehere. Sisi tunakusanya sahihi za wabunge wanaounga mkono motion! Lini tunapeleka haiwahusu.. wanahaha!
Halima J Mdee ‏ halimamdee Close
@ErasmoNyika hiyo culture ya kujiuzulu bongo haipo. Mtu akiteuliwa kuwa waziri anadhani ndio sehemu ya kuondoa umasikini wake!
Halima J Mdee ‏ halimamdee Close
Spika naona anatoa majibu ya mwongozo kishabiki....
Halima Mdee ni Mbunge Jasiri sana!
Mi mwenyewe ni mmoja kati ya watu niliokuwa nampa respect huyu kijana kumbe ni tango kabisa
Katika pita pita zangu uko twitter nimekutana na ujumbe huu toka kwa Zitto Kabwe na Halima mdee kwenda kwa January Makamba...
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: dinahicious this is not #publicitystunt , this is #Accountability wenye nia ya dhati ya kupambana na ubadhirifu watasaini. #Tusiyumbishwe
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Kanuni zinataka kukusanya sahihi. #sahihi70 tunazipeleka j3 kwa Spika. Uongozi ni utayari na ujasiri. Unafiki ni hatari sana @JMakamba
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: huna hizo guts.. whether usign now or later it does not make any difference! Cause kanuni wala katiba haisemi usign lini..
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Zittokabwe @JMakamba sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajui wenzake wamesign? Hili suala sio la chama!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: @JMakamba kwa hiyo kusema analeta jumatatu ndio kuinvalidate hoja hata kama jumatatu haijafika? Behave kama kijana!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: JohanesEdson dinahicious Zittokabwe January... ni mnafiki. Najua ananisoma now...
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respect this guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!
Mkuu kuna dalili ya mvua.
Baada ya kikao cha ndani.Dr.Slaa ameelekea sengerema leo na ameshafika
Kuhusu yaliyojiri ndani ya kikao taarifa kamili itatolewa na msemaji wa chama au mamlaka husika