Zitto na CCM kunani? iweje gazeti la UHURU leo Heading iwe ya kiongozi wa CHADEMA?

hoja yako 'mkwee wa kikwete' mbona unahamia kwingine chuki husuda na wivu vimekutawala.
 
Hivi, aliyesema kuwa Zitto anaweza kuwa Rais ni nani, maana nikiiangalia hiyo video na kilichoandikwa kwenye magazeti ni kuwa Wabunge "Dogo Janja na Mdee pamoja na wengine wengi wamsafishia njia Zitto" sasa iweje wote ambao mko kwenye mjadala huu mnajaribu kubeza uwezekano wa kuwa Rais as if yeye mwenyewe ndio aliyetangaza hilo.

Nafikiri Busara ni kuwauliza hao waliotamka hayo ili watueleze ni nini wameona na ni vigezo gania ambavyo wametumia mpaka ikawapelekea kuongea yale ambayo waliongea tena kwa mbwembwe zote...
 
[h=2][/h]
Hivi, aliyesema kuwa Zitto anaweza kuwa Rais ni nani, maana nikiiangalia hiyo video na kilichoandikwa kwenye magazeti ni kuwa Wabunge "Dogo Janja na Mdee pamoja na wengine wengi wamsafishia njia Zitto" sasa iweje wote ambao mko kwenye mjadala huu mnajaribu kubeza uwezekano wa kuwa Rais as if yeye mwenyewe ndio aliyetangaza hilo.

Nafikiri Busara ni kuwauliza hao waliotamka hayo ili watueleze ni nini wameona na ni vigezo gania ambavyo wametumia mpaka ikawapelekea kuongea yale ambayo waliongea tena kwa mbwembwe zote...
 
Zitto inaonekana unaleta matafarukuru umekua huaminiki

Msaada katika chama chako hukuna umekuwa mmbinafisi sana

Naomba usome hapo kwnye nyekudu kwa msaada wa Ngongo ambaye siku hizi amukuwa mzarendo ea kweli

Heshima kwenu wanajamvi,

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 CDM walishindwa kusimamisha wagombea katika majimbo mbali mbali hakuna ubishi wapo wabunge na madiwani wa CCM walishinda ubunge na udiwani bila kupingwa.Hali hii ilisababishwa na vyama vya upinzani kutkuwa na mitandao ya kichama iliyoenea Tanzania nzima.

Chama cha CDM kwa hakika kilibaini kasoro hii na kuamua kuanzisha program yake ijulikanyo kama M4C ikiwa na nia ya kuwafikia wapiga kura wengi kabla ya uchaguzi wa mwka 2015.Kabla ya hii program ilikuwepo opeshen sangara ambayo tunaaweza kusema kwa uhakika ilisaidia kukipatia chama matokeo mazuri katika uchaguzi 2010.

Wapo viongozi wa CDM ambao tumekuwa tukiwasikia wakihangaika huku na kule kuhakikisha M4C inafanikiwa bahati mbaya Zitto bila haya kaamua kuanzisha mtandao wake kama ule wa Kikwete kwaajili ya kuutwa ufalme wa magogoni.Mheshimiwa Zitto ni aina ya wanasiasa wanaotanguliza maslahi binafsi na kuyakanyaga maslahi ya chama chake.Tumekuwa tukisikia CDM ikisemwa ni chama cha kanda ya kaskazini, sijamsikia Zitto akikisaidia chama chake dhidi ya hizi propaganda hasa ikizingatiwa yeye anatoka ukanda mwingine.Tumekuwa tukisikia CDM ni chama cha kikristo Zitto kwa nafasi yake ya Naibu Katibu Mkuu angetakiwa kukisafisha chama chake kwakuwa yeye si mkristo.Propaganda hizi kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikitumiwa na CCM hasa baada ya kuishiwa hoja dhidi ya CDM.Naanza kuamini propaganda hizi pia zimekuwa zikitumiwa na Zitto au wapenzi wake kwa faida zake binafsi ndiyo maana hajawahi kukisaidia chama dhidi ya mashambuzi haya potofu
.

Nilitegemea Zitto angejikita zaidi katika ujenzi wa chama chake na kupigania upatikanaji wa katiba nzuri badala yake anaunda mtandao wa wanasiasa wachovu ambao bila aibu wanatamka bungeni sasa ni zamu ya Kigoma.
 
Last edited by a moderator:
Kweli nimeamini zitto ni tishio,na ni jembe la ukweli,maana asingewasghulisha hivi kila kukicha thread zake,mnajua ana madhara ndio sababu povu halikauki!


Mananeno yako yana ukweli ndani yake kwa maneno mengine wangempotezea kama walivyompotezea mzee wa mwiha au sio!?
 
Kweli Zitto Ulivyokuwa unatetea Dowans inunuliwe na NSSF ulikuwa unajua.

Ulivyosimama chap chap na kusema lisijadiliwe bungeni, likatazamwe na kamati ya uongozi kumbe ulikuwa na agenda ya siri?

Angalieni hapa

Wafanyakazi, tuwe pamoja. Tupange maandamano kuanzia J3.

Bunge sasa limeshindwa.... Mungu yupo nasi

Wabunge ni wabinafsi sana, angalia wanavyojiongezea Posho, Kwanini wao wasisubiri hiyo miaka 55?


 
Kweli Zitto Ulivyokuwa unatetea Dowans inunuliwe na NSSF ulikuwa unajua.

Ulivyosimama chap chap na kusema lisijadiliwe bungeni, likatazamwe na kamati ya uongozi kumbe ulikuwa na agenda ya siri?

Angalieni hapa

Wafanyakazi, tuwe pamoja. Tupange maandamano kuanzia J3.

Bunge sasa limeshindwa.... Mungu yupo nasi

Wabunge ni wabinafsi sana, angalia wanavyojiongezea Posho, Kwanini wao wasisubiri hiyo miaka 55?



Acha uongo mkuu.Zitto ametetea na kuunga mkono hoja.Italetwa hoja binafsi kurekebisha hilo.
 
Mtoto mnafiki huyo hana lolote ndo maana uso unaungua kwa kutaka mambo hasiyoyaweza....Ni haki ya kikatiba kwake lkn yy anafanya ushindan na nan?Chadema iwe makini na watu wepes km Zitto na mwenzie Shibuda.
 
Zito alishawahi kusema Walid kabour ndiye aliyemvutia kuingia kwenye siasa lakini huyu aliyemvutia Kesha futika kwenye medani za siasa kinachofuata ndiko anakoelekea mnafiki zito
 
Atapotea tu ktk raman na ht hvyo kapotea mpk ss,Ndo ushamba huo tunao usema mtu umejulikana kdogo bac hukumbuk ulipotoka na kujifanya the top....Huyo kafulila unafik ndo uliomtoa CDM na ndo kinachomshnda NCCR!
 
Back
Top Bottom