MkuyuMkubwa
Member
- Sep 27, 2009
- 50
- 0
Nakumbmbuuka kipindi cha mgawo wa kwanza wa umeme, mjadala mkubwa ulibebwa na Zitto, Mwakyembe na waziri Ngereja...wengine walionekana zaidi nyuma ya hawa mpaka maamuzi yalipofikiwa...najiuliza kwanini sasa hawajitokezi kuchangia mjadala huu ilhali tatizo ni lile lile?....tunahitaji majibu....mpaka sasa, malima na shelukindo hawajatoa majibu....wamekubali tatizo tu....ufumbuzi bado....waziri Ngereja uko wapi wakati suala hili linatikisa nchi?....Mwakyembe uko wapi wananchi tunaumia bila majibu ya tatizo?...Zitto uko wapi?....nini mtazamo na misimamo yenu katika hali hii?....au mlikuwa viongozi wa kupingana tu bila kuwa na uwezo wa kupendekeza mikakati mbadala?