msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
Ukiacha John Mnyika hao vilaza wengine akina Lema,Msigwa,Sugu et al Zitto ataongea nao nini? Apoteze muda kufuatana na mbumbu ili iweje sasa? Nafurahia sana Urafiki wa Zitto na January wote wako Smart Kichwani!
kaka acha matusi ina maana sisi wana mbeya tulichagua kilaza.?
au tukubali kweli n kilaza lakin ndyo chaguo letu..kila mtu ana tofaut katka kuchagua ndo maana kikwete kamuoa salma na slaa kamuoa josephine..ingekua kila mtu ana chaguo sawa na wengne tusingekua hapa leo..