Zitto usiombe msamaha, wakaitaka wakufungie tena na upate umaarufu zaidi.
kuna mawili akawa maarufu au akafifia jumla kwani kuwa na kiburi kukataa kutii mamlaka ndio kunampa mtu umaarufu?
Zitto usiombe msamaha, wakaitaka wakufungie tena na upate umaarufu zaidi.
mimi sina chama wala dini lakini huyo kijana asidanganye jamii na ummah asifikiri vitisho vyake vitamtingisha yeyote , ninahamu angetaka kugombea jimbo la ubungo nisimame nae kama mgombea binafsi nimwonyeshe vijana walivyo si maneno matupu na vijitu vinatoa support kupumbazwa na kulaghaiwa tu
hivi wakuu ile sheria ya mgombea binafsi imeshapitishwa/tungwa? Au ndo kusema tu mambo bila kujua the 'status quo'?
kuna mawili akawa maarufu au akafifia jumla kwani kuwa na kiburi kukataa kutii mamlaka ndio kunampa mtu umaarufu?
Nimesema ukweli zitto alikuja na uwongo wake tukaangalia golden oppotunity katika maswali ya moja kwa moja akashindwa kujibu akakimbilia kwingine toka siku hiyo nikaona ahaa ndio maana kule kigoma walimchagua na hawaletei chochote na hata hawa vijana sijui kwanini wanatoa support kwa waongo , wavuruga nchi na wachonganishaji kama hawa ---
mimi sina chama wala dini lakini huyo kijana asidanganye jamii na ummah asifikiri vitisho vyake vitamtingisha yeyote , ninahamu angetaka kugombea jimbo la ubungo nisimame nae kama mgombea binafsi nimwonyeshe vijana walivyo si maneno matupu na vijitu vinatoa support kupumbazwa na kulaghaiwa tu
Kutii ni jambo moja na kutii mamlaka mbovu yenye matabaka ya wazi wazi,inayo onea wengine na kuwacha wengine?Wengine wakisema sawa akisema zitto afute kauli?Hili si sawa....bora kuto tii...hata baba kama ni mlevi,hana msaada.. nyumbani hata watoto maelekezo yake mengi huwa yanapuuziwa.Kwa hili zitto sioni aombe msamaha kwa lipi..if anything hana la kupoteza.Next year hana mpango na bunge kama ndio la namna hii!!!Bora akafundishe au akasome zaidi.Mzee kama sumari sidhani kama ndio wakuongea mambo yale...anajibu utafikiri anajibu mkewe.
Nimesema ukweli zitto alikuja na uwongo wake tukaangalia golden oppotunity katika maswali ya moja kwa moja akashindwa kujibu akakimbilia kwingine toka siku hiyo nikaona ahaa ndio maana kule kigoma walimchagua na hawaletei chochote na hata hawa vijana sijui kwanini wanatoa support kwa waongo , wavuruga nchi na wachonganishaji kama hawa ---
Kama mtu huwezi kusema mchango wa waziri ni hovyo hovyo, wanataka utumie neno gani? Michango mingine sio tu kwamba ni ya hovyo hivyo bali pia ni ya kijinga.
alishakimbia kule tena nikamwomba hata tumpigie simu kamishina wa madini niweke loudspeaker ateter hoja zake akakimbia toka siku hiyo basi nikasema huyu mzugaji kuna watu wanamtumia na wameshamchoka sasa hata ubunge hautaki tena hata uzalendo hana tena anaamua kufanya anachojisikia yeye yaani kuharibu nchi na wananchi wake
Nimesema ukweli zitto alikuja na uwongo wake tukaangalia golden oppotunity katika maswali ya moja kwa moja akashindwa kujibu akakimbilia kwingine toka siku hiyo nikaona ahaa ndio maana kule kigoma walimchagua na hawaletei chochote na hata hawa vijana sijui kwanini wanatoa support kwa waongo , wavuruga nchi na wachonganishaji kama hawa ---
Kuropoka maana yake nini? sijakuelewa hapo mkuuhe he nafikiri hichi ndio kikao chake cha mwisho kuropoka