Zitto kuwasilisha hoja J3 wamo wabunge watano wa CCM

EasyFit

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
1,269
1,082
Licha ya kuwapo kwa fununu ya mawaziri kujiuzulu lakini Zitto amesema azima ya kuwasilisha hoja yake Jumatatu iko pale pale.

"Spika hajasema kitu, wamejipanga tu hawa, sisi hatujampelekea hoja yetu tunampelekea Jumatatu kisha ataamua. Ili mradi iwe siku 14 kabla ya siku ya kutoa hoja. Wanaweweseka tu," alidai Zitto.

Hadi jana jioni sahihi 75 zikiwemo 5 za wabunge wa CCM zilikuwa zimeshapatikana.

Majina ya wabunge waliotia saini:


  1. Mhe. Rashid Ali Abdallah – CUF
  2. Mhe . Chiku Aflah Abwao- CHADEMA
  3. Mhe . Saluim Ali Mbarouk – CUF
  4. Mhe . salum Khalfam Barwany – CUF
  5. Mhe . Deo Haule Filikuchombe - CCM
  6. Mhe.Pauline Philipo Gekul - CHADEMA
  7. Mhe. Asaa Othman Hamad - CUF
  8. Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- CHADEMA
  9. Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula – CHADEMA
  10. Mhe . Sylvester Kasulumbayi - CHADEMA
  11. Mhe. Raya Ibrahim Khamis - CHADEMA
  12. Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga - CUF
  13. Mhe. Susan Limbweni Kiwanga - CHADEMA
  14. Mhe. Grace Sindato Kiwelu – CHADEMA
  15. Mhe. Kombo Khamis Kombo – CUF
  16. Mhe. Joshua Samwel Nassari – CHADEMA
  17. Mhe. Tundu Antiphas Lissu - chadema
  18. Mhe Aphaxar Kangi Lugola - CCM
  19. Mhe susan Anselim Lymo - CHADEMA
  20. Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
  21. Mhe. John Shibuda Magalle – CHADEMA
  22. Mhe. Faki Haji Makame - CUF
  23. Mhe . Esther Nicholas Matiko - CHADEMA
  24. Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi - CHADEMA
  25. Mhe. Freman Aikaeli Mbowe - CHADEMA
  26. Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – CHADEMA
  27. Mhe. Halima James Mdee - CHADEMA
  28. John John Mnyika - CHADEMA
  29. Mhe. Augustino Lyatonga Mrema - TLP
  30. Mhe . Maryam Salum Msabaha - CHADEMA
  31. Mhe. Peter Msingwa - CHADEMA
  32. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda - CHADEMA
  33. Mhe. Philipa Geofrey Mturano - CHADEMA
  34. Mhe. Christina Lissu Mughwai - CHADEMA
  35. Mhe. Joyce John Mukya – CHADEMA
  36. Mhe. Mchungaji Israel Yohane Natse – CHADEMA
  37. Mhe. Philemon Ndesamburo- CHADEMA
  38. Mhe. Ahmed Juma Ngwali - CUF
  39. Mhe. Vincent Josephat Nyerere - CHADEMA
  40. Mhe. Rashid Ali Omar - CUF
  41. Meshack Jeremiah Opulukwa - CHADEMA
  42. Mhe. Lucy Philemon Owenya - CHADEMA
  43. Mhe. Rachel Mashishanga - CHADEMA
  44. Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – CHADEMA
  45. Mhe. Conchesta Rwamlaza – CHADEMA
  46. Mhe. Moza Abedi Saidy - CUF
  47. Mhe. Joseph Roman Selasini – CHADEMA
  48. Mhe. David Ernest Silinde - CHADEMA
  49. Mhe Rose Kamili Sukum - CHADEMA
  50. Mhe. Cecilia Daniel Paresso - CHADEMA
  51. Mhe. Kabwe Zuberi Zitto - CHADEMA
  52. Mhe. Magdalena Sakaya – CUF
  53. Mhe Rebecca Mngodo - CUF
  54. Mhe. Sabreena Sungura - CHADEMA
  55. Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
  56. Mhe. Rukia Kassim Ahmed (CUF)
  57. Mhe. Mustapha Boay Akoonay (CHADEMA)
  58. Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
  59. Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
  60. Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
  61. Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
  62. Mhe Haji Khatibu Kai (CUF)
  63. Mhe. Anna Marystella John Malack - CHADEMA
  64. Mhe. Hamad Rashid Mohamed (CUF)
  65. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
  66. Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
  67. Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
  68. Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
  69. Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
  70. Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
  71. Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)
 
Magamba, magamba
Kelele nyingiii, majasiri watano tu. naomba niwe mtu wa mwisho kuamini kwamba magamba hata yakipiga kelele sana yanamaanisha yanachokipigia kelele.
 
Hata huyu hapa chini anawazidi akili wabunge wa CCM ambao sahihi zao hazijaonekana katika orodha ya Zito

535606_433832033309908_161385360554578_1659975_464934626_n.jpg


saini-fil-zitto.jpg


Filikunjombe akiweka sahihi.Picha kwa hisani ya gazeti la mwananchi
 
"Spika hajasema kitu, wamejipanga tu hawa, sisi hatujampelekea hoja yetu tunampelekea Jumatatu kisha ataamua. Ili mradi iwe siku 14 kabla ya siku ya kutoa hoja. Wanaweweseka tu," alidai Zitto.
Zitto usichemke, huwezi kupeleka hoja Jumatatu, unaweza kupeleka Taarifa ya Maandishi kwa Spika, Jumatatu, halafu ( 1 ) usubiri siku 14 kabla ya kutoa hoja; ( 2 ) uombee Spika akukubalie kwa utashi wake.
Katiba ya Jamhuri, 53 (A)
 
Mkuu Mh.lugola ni mbunge wa mwibara sio bunda.MBUNGE WA bunda MH.GOMBE STREAM NATIONAL PARK ni mchumia tumbo.
 
Nimeipenda hiyo picha Zitto na Filikunjombe kwani inazungumza mengi. You can tell from Hon. Filikunjombe's body language that he is fed up and is ready for whatever might ensue. We need people like Filikunjombe who have the audacity to call it like they see it.
 
Hata huyu hapa chini anawazidi akili wabunge wa CCM ambao sahihi zao hazijaonekana katika orodha ya Zito

535606_433832033309908_161385360554578_1659975_464934626_n.jpg


saini-fil-zitto.jpg


Filikunjombe akiweka sahihi.Picha kwa hisani ya gazeti la mwananchi

Huyu kunjombe ndio yule aliyewahi kusutwa na wale kina mama wabunge au?
 
Licha ya kuwapo kwa fununu ya mawaziri kujiuzulu lakini Zitto amesema azima ya kuwasilisha hoja yake Jumatatu iko pale pale.

"Spika hajasema kitu, wamejipanga tu hawa, sisi hatujampelekea hoja yetu tunampelekea Jumatatu kisha ataamua. Ili mradi iwe siku 14 kabla ya siku ya kutoa hoja. Wanaweweseka tu," alidai Zitto.

Hadi jana jioni sahihi 75 zikiwemo 5 za wabunge wa CCM zilikuwa zimeshapatikana.

Majina ya wabunge wa CCM waliotia sahihi ni,

1. Deo Philikunjombe wa Ludewa,
2. Ally Keissy Mohamed wa Nkasi Kaskazini,
3. Alphaxard Kange Lugola wa Jimbo la Bunda,
4. Murtaza Ally Mangungu na
5. mbunge mmoja wa Viti Maalumu(CCM) kutoka Kanda ya Ziwa ambaye hakutaka atajwe kwa sasa.

Source: Gazeti la Mwananchi.


Hivi Bunda inawabunge wawili pamoja na stephen Wassira??!!!!!!!
 
Huyu mbunge wa viti maalum toka kanda ya ziwa bila shaka ni Mh.Maria Hewa....namkubali sana kwa hoja mama huyu..
 
Wana Ruvuma mna Wabunge au wachumia tumbo? Hadi mnatia aibu hamna saini hata moja.Hawa Wabunge wamesahau mbolea feki, ajali zilizowaua ndugu ze2. 2jiulize juu ya manungayembe haya kisha 2chue hatua.Kaka Deo waamshe jirani zako hata kwa ndonga Dad!
 
Wabunge wa CCM waliweka saini zao kwenye orodha ya ZIto ni mashujaa ambao ingawa wako kwenye chama cha mafisadi wamedhirisha kuwa wao si mafisadi. Na hii iwe ni heshima kwao na heshima kwa wale walio wachagua kule majimboni. Tunajua mambo ya ccm yalivyo kuwa wabunge hawa huenda wakasubuliwa na pengine hata kuvuliwa uanachama kwa vile watakuwa wamekiuka misingi ya chama hicho ya kilindana hata katika mambo yasiyofaaa.
nionavyo ni kuwa wao wasiogope kwa kuwa wamejionesha kuwa wao ni wabunge wa wananchi na bahati nzuri wananchi wao wamewaona. Wote tumewaona kama wakitokea kusumbuliwa wajue kuwa watakuwa wanasumbuliwa ni wapiga kura wao. wasiogope. TUNAWAPENDA NA TUNAWAPA BIG UP.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom