Hivi wakuu haiwezekani kama bajeti ya upinzani itakuwa nzuri tukaitumia na kuachana na hiyo ya hao wezi?
Afadhali mkuu umempa kweli yake.Hawa vibaraka wanakera sana.
Kwani akisoma hiyo bajeti mbadala ndiyo itakayotumika? Sioni hata umhimu wa bajeti za upinzani hapa Tanzania.
The unseen is illustrated by the seen.
Hivi wakuu haiwezekani kama bajeti ya upinzani itakuwa nzuri tukaitumia na kuachana na hiyo ya hao wezi?
hiyo ndo budget tunayoisubili na hiyo ndo itajadiliwa ile ya mgimwa tupa huko.
Vipi TBC wataitangaza bajeti hiyo countrywide...?
Masikini!!! Huelewi ulisemalo!!!!!!!Kwani akisoma hiyo bajeti mbadala ndiyo itakayotumika? Sioni hata umhimu wa bajeti za upinzani hapa Tanzania. The unseen is illustrated by the seen.
Kwani akisoma hiyo bajeti mbadala ndiyo itakayotumika? Sioni hata umhimu wa bajeti za upinzani hapa Tanzania.
The unseen is illustrated by the seen.
Sasa nani wa kuitekeleza?????
Najua itakuwa siku ya umakini, naweza iita siku ya budget halisi, Zitto ni mzuri, ataisoma na ataieleza kwa umakini wa kutisha, atawaeleza watanzania nini chadema inaweza fanya katika nchi kwa kipindi hiki, namuomba mungu aliye hai, ampe Zitto, nguzu na uwezo mkubwa wa kusoma na kueleza kwa umakini, malaika wa mbinguni wawe nae, watanzania waisikie, na waielewe ili wajue nini serikali inafikiria na nini CHADEMA inafikiria,
Mungu ibariki Tanzania, wabariki Watanzania
Hakuna jipya. Chadema hawana uwezo wa kuandika bajeti.
Bajeti ya mgimwa ilikuwa sio mbaya ila yeye mwenyewe ndio hajajuwa kui-present.