Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Zitto alikuwa sahihi kabisa maana kuna ulazima gani wa kuogopa maana gazeti la mwananchi zinapendwa sana na wanasema ukweli kabisa juu ya kuandika kwao
Ben nakubaliana nawe, siasa zetu bado hazikubaliani na mawazo tofauti, ukiwaza tofauti we msaliti. Hata nyie CDM kila mtu naona anataka Shibuda atimuliwe haraka kisa kawaza tofauti na fikra za wakuu wa chama. Nadhani Zitto kwa nje anaweza kuwa sahihi ila msukumo wake hasa ni maslahi yake kisiasa. Bila shaka serikali nao watakuwa wamemnyima kwa sababu za kisiasa.
UELEWA FINYU! alichohoji zitto ni haki anayotakiwa kupata mtu regardless ni mtz au mkenya au yeyote yule na hasa kulingana na mikataba mliyowekeana. Wabongo badala ya kuelewa concept ya hoja wanakurupuka kutunga illogical criticisms.Mimi nilidhani kwa mtu ambaye analalamika nafasi za kazi za wazawa kuchukuliwa na wageni angeunga mkono huu mpango mahususi wa kumnyima kibali huyu mkenya ili nafasi hiyo sasa apewe mzawa. Zitto hapo haangalii maslahi jumla ya taifa bali maslahi yake binafsi ya kisiasa.