Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
Umesema ila mimi naona Zitto ni mtu muhimu sana katikma Chadema na pia kama ukitangaza mapema ni kosa, sasa nyie ndio mulikuwa mnasema kuwa Slaa alichelewa kutangaza nia sasa na Zitto aliyewahi
 
Ndugu zangu wana JF,
Toka asubuhi nimekuwa nikisoma maoni yenu kuhusiana na habari iliyorushwa na TBC1 kuhusiana na mimi kugombea Urais mwaka 2015. Kwanza, sio jambo zuri sana kudakia mambo bila kuwa na hbri za kutosha na kuhukumu watu. Watu makini husikia au kusoma mambo, kuyatafakari na kisha kuyatolea maoni. Pili, ni vema ifahamike kuwa mazingira niliyokuwa ninahutubia ni mazingira ya namna gani na kwamba kauli ya Urais ni kauli kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kidahwe na wala sio kauli yangu. Ni kauli na maono ya watu wa Kigoma na nadhani sio dhambi hata kidogo. Mimi ni mwanasiasa na ninafahamu kanuni za mchezo huu. Kamwe siwezi katika kipindi hiki kuanza kutoa kauli za kuondoa attention kutoka kwa mgombea Urais wa chama changu. Mimi siwezi kuzuia TBC kutoa habari wanayotaka kutoa na wala siwalaumu TBC kwa kutoa habari hiyo kwani ni jambo lililotokea na umma una haki ya kuhabarishwa. Mimi nipo jimboni kwangu ninafanya kampeni za kuomba kura za HESHIMA. Pia ninamwombea kura Katibu Mkuu wangu Dr. Slaa ili awe Rais. Kila tukio la kampeni zangu ninaweka katika blogu yangu na pia katika facebook Zitto na Demokrasia. Ninaomba wenye kuhitaji kufuatilia matukio ya Kigoma wafuatilie huko.

Ndugu zangu, busara ya kawaida inasema hiki ni kipindi cha kufanyakazi za kutafuta mabadiliko katika nchi yetu. Sio kipindi cha kushutumiana na kuzushiana mambo. Tuwe na staha. Hatutaleta change katika nchi yetu kwa kusemana na kusengenyana. Hatutaleta mabadiliko kwa kutegeana makosa. Angalau kwa kipindi hiki basi tuelekeze nguvu zetu katika kusaka kura za kuleta mabadiliko. Tunahitaji Madiwani, Wabunge na Rais.
Ninasononeshwa sana na muda unaopotea kusema Zitto hivi ama vile. Najua kuna Zitto haters humu. Basi fanyeni ceasefire ili tupite katika mchakato huu wa kusaidia mabadiliko katika nchi yetu. Mie nipo Kigoma nasaka kura za chama changu. Nanyi kokote mlipo chakarikeni. Kuna muda wa kutosha mwingi wa kutoa maoni kuhusu Urais wa Zitto mpaka ifike 2015. Wenye ya kusema watasema mengi na nitawasikiliza. This is Slaa time, not my time........... lets focus!
 
Pili, ni vema ifahamike kuwa mazingira niliyokuwa ninahutubia ni mazingira ya namna gani na kwamba kauli ya Urais ni kauli kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kidahwe na wala sio kauli yangu.

Hao wananchi wa kijiji cha Kidahwe walisema nini na wewe ukasema nini? Tuhabarishe tafadhali...

This is Slaa time, not my time........... lets focus!
Umesahau kuweka apostrophes kwenye "Slaa time" na "lets focus".

Ilitakiwa iwe 'Slaa's time' (kwa sababu ni possessive case) na "lets focus" ilitakiwa iwe 'let's focus' (kwa sababu ya omission ya 'u' kwenye neno 'us')
 
Ndugu zangu wana JF,
Toka asubuhi nimekuwa nikisoma maoni yenu kuhusiana na habari iliyorushwa na TBC1 kuhusiana na mimi kugombea Urais mwaka 2015. Kwanza, sio jambo zuri sana kudakia mambo bila kuwa na hbri za kutosha na kuhukumu watu. Watu makini husikia au kusoma mambo, kuyatafakari na kisha kuyatolea maoni. Pili, ni vema ifahamike kuwa mazingira niliyokuwa ninahutubia ni mazingira ya namna gani na kwamba kauli ya Urais ni kauli kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kidahwe na wala sio kauli yangu. Ni kauli na maono ya watu wa Kigoma na nadhani sio dhambi hata kidogo. Mimi ni mwanasiasa na ninafahamu kanuni za mchezo huu. Kamwe siwezi katika kipindi hiki kuanza kutoa kauli za kuondoa attention kutoka kwa mgombea Urais wa chama changu. Mimi siwezi kuzuia TBC kutoa habari wanayotaka kutoa na wala siwalaumu TBC kwa kutoa habari hiyo kwani ni jambo lililotokea na umma una haki ya kuhabarishwa. Mimi nipo jimboni kwangu ninafanya kampeni za kuomba kura za HESHIMA. Pia ninamwombea kura Katibu Mkuu wangu Dr. Slaa ili awe Rais. Kila tukio la kampeni zangu ninaweka katika blogu yangu na pia katika facebook Zitto na Demokrasia. Ninaomba wenye kuhitaji kufuatilia matukio ya Kigoma wafuatilie huko.

Ndugu zangu, busara ya kawaida inasema hiki ni kipindi cha kufanyakazi za kutafuta mabadiliko katika nchi yetu. Sio kipindi cha kushutumiana na kuzushiana mambo. Tuwe na staha. Hatutaleta change katika nchi yetu kwa kusemana na kusengenyana. Hatutaleta mabadiliko kwa kutegeana makosa. Angalau kwa kipindi hiki basi tuelekeze nguvu zetu katika kusaka kura za kuleta mabadiliko. Tunahitaji Madiwani, Wabunge na Rais.
Ninasononeshwa sana na muda unaopotea kusema Zitto hivi ama vile. Najua kuna Zitto haters humu. Basi fanyeni ceasefire ili tupite katika mchakato huu wa kusaidia mabadiliko katika nchi yetu. Mie nipo Kigoma nasaka kura za chama changu. Nanyi kokote mlipo chakarikeni. Kuna muda wa kutosha mwingi wa kutoa maoni kuhusu Urais wa Zitto mpaka ifike 2015. Wenye ya kusema watasema mengi na nitawasikiliza. This is Slaa time, not my time........... lets focus!

Sasa si unyoroshe maneno tu ili kuweka mambo sawa, kwamba aidha hautagombea, au otherwise?
 
Hao wananchi wa kijiji cha Kidahwe walisema nini na wewe ukasema nini? Tuhabarishe tafadhali...

Umesahau kuweka apostrophes kwenye "Slaa time". Ilitakiwa iwe 'Slaa's time' (kwa sababu ni possessive case) na "lets focus" ilitakiwa iwe 'let's focus' (kwa sababu ya omission ya 'u' kwenye neno 'us')

Nadhani kuna jukwaa la lugha, ambako punctuations kama hizi huenda ikawa nzuri zaidi zikasahihishiwa huko!....
Halafu wewe una tabia ya kufuatilia errors za baadhi ya watu humu ndani!...
Wanaokosea makosa serious huwaoni?
 
[/COLOR][/SIZE]

Nadhani kuna kujwaa la lugha, ambako punctuations kama hizi huenda ikawa nzuri zaidi zikasahihishiwa huko!....Na wewe una tabia ya kufuatilia errors za baadhi ya watu humu ndani!
Wanaokosea makosa serious huwaoni?

Badilisha kwanza rangi ya maandishi yako....

Halafu "kujwaa" ndio nini?
 
Ndugu zangu wana JF,
Toka asubuhi nimekuwa nikisoma maoni yenu kuhusiana na habari iliyorushwa na TBC1 kuhusiana na mimi kugombea Urais mwaka 2015. Kwanza, sio jambo zuri sana kudakia mambo bila kuwa na hbri za kutosha na kuhukumu watu. Watu makini husikia au kusoma mambo, kuyatafakari na kisha kuyatolea maoni. Pili, ni vema ifahamike kuwa mazingira niliyokuwa ninahutubia ni mazingira ya namna gani na kwamba kauli ya Urais ni kauli kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kidahwe na wala sio kauli yangu. Ni kauli na maono ya watu wa Kigoma na nadhani sio dhambi hata kidogo. Mimi ni mwanasiasa na ninafahamu kanuni za mchezo huu. Kamwe siwezi katika kipindi hiki kuanza kutoa kauli za kuondoa attention kutoka kwa mgombea Urais wa chama changu. Mimi siwezi kuzuia TBC kutoa habari wanayotaka kutoa na wala siwalaumu TBC kwa kutoa habari hiyo kwani ni jambo lililotokea na umma una haki ya kuhabarishwa. Mimi nipo jimboni kwangu ninafanya kampeni za kuomba kura za HESHIMA. Pia ninamwombea kura Katibu Mkuu wangu Dr. Slaa ili awe Rais. Kila tukio la kampeni zangu ninaweka katika blogu yangu na pia katika facebook Zitto na Demokrasia. Ninaomba wenye kuhitaji kufuatilia matukio ya Kigoma wafuatilie huko.

Ndugu zangu, busara ya kawaida inasema hiki ni kipindi cha kufanyakazi za kutafuta mabadiliko katika nchi yetu. Sio kipindi cha kushutumiana na kuzushiana mambo. Tuwe na staha. Hatutaleta change katika nchi yetu kwa kusemana na kusengenyana. Hatutaleta mabadiliko kwa kutegeana makosa. Angalau kwa kipindi hiki basi tuelekeze nguvu zetu katika kusaka kura za kuleta mabadiliko. Tunahitaji Madiwani, Wabunge na Rais.
Ninasononeshwa sana na muda unaopotea kusema Zitto hivi ama vile. Najua kuna Zitto haters humu. Basi fanyeni ceasefire ili tupite katika mchakato huu wa kusaidia mabadiliko katika nchi yetu. Mie nipo Kigoma nasaka kura za chama changu. Nanyi kokote mlipo chakarikeni. Kuna muda wa kutosha mwingi wa kutoa maoni kuhusu Urais wa Zitto mpaka ifike 2015. Wenye ya kusema watasema mengi na nitawasikiliza. This is Slaa time, not my time........... lets focus!
Asante sana Zitto kwa kujitokeza wewe mwenyewe na kutolea ufafanuzi tukio hili. Watu hawatofautishi maneno yaliyotamkwa na wananchi na maneno yako.

Nilijaribu kuwatolea mfano kuwa kwenye kampeni..... unaweza kuwauliza watu... mnataka nigombee tena.... wakajibu NDIYOOOO lakini gombea urais..........sasa kwa kauli hiyo wengine hasa wasiokutakia mema wewe binafsi na Chadema wakachukulia ni kauli yako ili kupindisha maana, na sijui kwa nini TBC waliona hilo tu hawakuona mafanikio yaliyofikiwa kwenye jimbo lako na kuyapa coverage kubwa.

Kama ulivyosema tuwe tunajaribu kuchambua mambo kabla ya kusema, ni kweli kuna Zitto haters humu wanajaribu ku distort kila wanapoona inawezekana lakini binafsi nakupa courage kwa yote unayoyafanya kwa ajili ya Chama.
 
Conclusion yako butu, unamaana wafuasi wa Zitto wakimpa kura Kikwete ndipo Zitto atapata nafasi ya kugombea 2015, mbona havina uhusiano.
Ngoja nikusaidie.Dr Slaa akishinda ni dhahiri 2015 atataka kugombea tena kwa hiyo chance ya Zitto kugombea kupitia Chadema itakuwa ni ndogo.Wafuasi wa Zitto ambao watakuawa wamependezeshwa na nia ya Zitto kugombea 2015 wataliona hilo,kwa hiyo wataona ni bora wampe kura Kikwette ashinde ili kipenzi chao kiweze kugombea.
 
Zitto ungetuwekea hiyo video clip ndio ungekata huo mzizi wa fitna unaousema.

kuna shida gani kuwekwa hiyo clip hapa?

btw hata katika hiyo link uliyotoa clip sikuikuta ....au nimekosea?
 
Umesahau kuweka apostrophes kwenye "Slaa time" na "lets focus".

Ilitakiwa iwe 'Slaa's time' (kwa sababu ni possessive case) na "lets focus" ilitakiwa iwe 'let's focus' (kwa sababu ya omission ya 'u' kwenye neno 'us')
Don't put too much attention on an unnecessary things, kila kitu na sehemu yake hapa hatujifunzi lugha, tunajua wewe ni mjuzi wa lugha basi no more than that. Kama humu kila mtu atajitambulisha profession yake mbona itakuwa balaa. Kuna ma engineer humu kuna madaktari humu lakini sijawahi kuwaona wakijionyesha kama unavyofanya wewe. Soma Signature ya Invisible.
 
Don't put too much attension on an unnecessary things, kila kitu na sehemu yake hapa hatujifunzi lugha

Sio "attension" bali ni 'attention'

Na "on an unnecessary things" ndio nini? Kweli hapa hatujifunzi lugha....:becky:
 
Zitto tafadhali tubandikie clip hapa .........

btw ....kura za HESHIMA ndo zipi?
 
Hao wananchi wa kijiji cha Kidahwe walisema nini na wewe ukasema nini? Tuhabarishe tafadhali...

Umesahau kuweka apostrophes kwenye "Slaa time" na "lets focus".

Ilitakiwa iwe 'Slaa's time' (kwa sababu ni possessive case) na "lets focus" ilitakiwa iwe 'let's focus' (kwa sababu ya omission ya 'u' kwenye neno 'us')

.
Hapa hatupo kwenye somo la lugha. Hayo ya ufasaha wa herufi yanafaa sana kwa wanafunzi wako wawapo darasani.
Nani asiefahamu kwamba wewe ni miongoni mwa wawindaji wa udhaifu wa Zitto kuutumia kwa kufanikisha propaganda za ccm dhidi ya Zitto na chama chake?
Mkuu nothing parsonal. Ila na wewe ni lini utagombea nini katika chama gani ili tuuone u-perfection wako?
 
Jamani
Mimi naona msubiri kidogo kumhukumu Zitto. Yeye kawauliza watu waliohudhuria mkutano, na wao wakajibu "urais", TBC wakadaka ili kukuza mpasuko ndani ya Chadema. Mimi naona suala hili linakuzwa na vyombo vya habari tu. Mwacheni Zitto apambane kurudi mjengoni, mengine tuwaachie wananchi. Kutokuwepo Jangwani, ni wengi hawakuwepo.

It si true kwa nini TBC waone hiyo ndiyo habari na kuacha mambo mengine, mbona hawarushi habari nyingi za mikutano ya Slaa, wenyewe wakiona kitu controversial kwa Chadema ndiyo inakuwa habari ili waonekane wanaripoti habari za Chadema. Ni sawa na gazeti la Habari Leo wao wanachoona ni mambo ya ndoa ya Slaa tu huo si uandishi bora ni bora uandishi.

sijui kwa nini tunakimbilia kulalamikia vyomba vya habari. wakirusha hewani kelele wasiporusha kelele duu
nilisikiliza ile taarifa aliwauliza wananchi kuwa wampe kura nyingi ila 2015 atarudi pale kuomba kura ila si za Ubunge bali ni? na wananchi wakajibu Uraisi tena waliulizwa mara tatu. anyway labda kama anavyosema hakumaanisha hivyo
 
Ngoja nikusaidie.Dr Slaa akishinda ni dhahiri 2015 atataka kugombea tena kwa hiyo chance ya Zitto kugombea kupitia Chadema itakuwa ni ndogo.Wafuasi wa Zitto ambao watakuawa wamependezeshwa na nia ya Zitto kugombea 2015 wataliona hilo,kwa hiyo wataona ni bora wampe kura Kikwette ashinde ili kipenzi chao kiweze kugombea.
Na mimi ngoja nikusaidie. Chance ya Zitto kugombea 2015 si kuwa ni ndogo tu ila haipo kabisa kwa vile katiba haimruhusu he will be 39 by that time. Kwa hiyo bado narudia tena conclusion yako ni butu kwa vile ime base kwenye wrong hypotheses.
 
.
Hayo ya ufasaha wa herufi yanafaa sana kwa wanafunzi wako wawapo darasani.

Nadhani hapo ulimaanisha 'usahihi wa tahajia (spelling) na si 'ufasaha wa herufi' (alphabet). Kwanza 'ufasaha wa herufi maana yake ndio nini?

Ila na wewe ni lini utagombea nini katika chama gani ili tuuone u-perfection wako?

Watakapopitisha sheria ya kuruhusu wagombea binafsi. Siasa za kuabudu vyama siziwezi mimi.
 
Sio "attension" bali ni 'attention'

Na "on an unnecessary things" ndio nini? Kweli hapa hatujifunzi lugha....:becky:

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif

Thank you
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom