Zitto karibu NCCR

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.
 
Mhmm, vipi yule mliyemfukuza soon! kijana ambaye pia alifukuzwa Chadema na kukimbilia NCCR
 
Hizi ni siasa? au ni nini? Huu ni wakati wa kukazia buti, tujiandae kama upinzani kurekebisha taifa lipate maendeleo. Ssa mwenzetu unaleta ubishoo wa mara CDM, NCCR - yote ya nini? Mwache Zito ahangaike na yanayojiri katika taifa, tusianze chokochoko zisizo lazima!
 
Wacheni kiherehere ! Hapa hapana kazi za kitoto ,hii ni issue ambayo karibu mtaipata na nimejaribu kuwadokolea kidogo tu mnaanza kupapasa,huku mitaani NCCR imeanza kufuka moshi na mikakati ni mikubwa kitaifa.Chadema kaeni chonjo saa mbaya. One day Yes by Aboud Jumbe.
Imepita CUF hakuna la maana ,imeambiwa Chama cha kidini ,imefika CDM imeambiwa na inaonekana Chama Cha walokole ,sasa ni zamu ya NCCR na list ya wapiganaji kuing'oa CCM inazidi kushamiri ,we wacha tu.
 
:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.

Itakuwa heri kwani huyu jamaa amekaa kimtego zaidi huko chadema,ni bomu tu ambalo limeshikiliwa kwa taadhari,au ni sawa na risasi ambayo imekaa karibu na moyo.
 
:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.

Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.
 
wanawaletea wananchi maendeleo kwa kujiongezea posho?

Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.
 
Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.

Umejitahidi sana mkuu ila bado sana,jioni njema.
 
... kijana mdogo kama huyu (Mwiba) anapoanza kufikiri kama ajuza ujue kuna tatizo katika kijiji anamotoka!!
Umejuaje kuwa sio ajuza? Kwangu mie naona huyu ni zaidi ya ajuza. Fatilia mabandiko yake humu lazima utanipiga na Like
 
kafulila mmemshindwa zito mtamuweza?
Zitto analielewa suala la kafulila ,zaidi hata Hamad rashid ambae alihitajia kujiunga na NCCR akawekewa sharti la kutokugombania nafasi yeyote ile na atakubaliwa kama mwanachama wa kawaida kutokana na kashfa zilizomkabili huko CUF ila kwa Zitto mambu ni tofauti kabisa ,kuna vitu vichache kicham ndivyo vinavyowekwa sawa,hapa si pahala pake kuelezea.
 
Angalau sasa Jamii Forums kumeanza kuwa na watu wenye kuona mbali hususana katika siasa za Tanzania. Mimi nawashangaa sana Watanzania wanaomuona SLAA kama mungu wao, wakati ana historia chafu sana katika suala zima la siasa na hata katika maisha binafsi. Hatufahamu mpaka leo kwa nini aliacha kuwa mtumishi wa mungu na kujihusisha na masuala ya siasa. Alijiunga na siasa baada ya kushindwa kura za maoni akiwa CCM kule karatu, ana tofauti gani na akia Shibuda, Mpendazoe na wengine wa aina hiyo? mbona wao hawafagiliwi hivyo kama issue ni kuhama CCM? Mpaka leo hakuna ajuae mstakabali wa ndoa yake na Rosmary Kamili baada ya kupata kimwana Josephine. Slaa ni mpaykaji sana na tena wazi wazi anakuwa anonesha kuwa ana wivu wa kutaka kulipiza visasi pale anapokosa kitu fulani. Mimi nadhani CDMA chini na MBOWE na SLAA si chochote zaidi utawala wa mabavu na majigambo majukwaani, Kukashfu na kukebehi juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo jambo ambalo kwa kweli ni chanzo cha maisha duni kwa watanzania na kwa bahati mbaya watanzania hawajalishtukia hilo. Zitto kuendelea kuwepo pale CDM ni kama kujichimbia kaburi.

Mbona ya Slaa yanaelezeka!!??

Ona ya Kikwete na amekuwa raisi.....
Anachekacheka hata kisibani, mbele za wageni na kwenye mabo muhimu ya kitaifa!
Anawapa mademu zake uongozi sifa ikiwa ni udemu waketu!! na mempa kipindi cha pili atuongoze!
Anakinyongo mno! kiasi kwamba akini tambua hata mimi ninayeandika hapa anaweza kunisukia mada kesi..!
Ni mnafiki mno, anaweza kukuchekea kumbe muda huohuo anasuka mpango wa kukuua!
Aliingia madarakani kwa rushwa, alihonga waandishi wa habari, na watu wengine wengi ili awe raisi.
Anaenda kufanaya nini magomeni asubuhi!!????
 
:fish2: Mh.Zitto achana na akina Slaa na genge lake ,hao ndio wale wale ving'ang'anizi wasio penda kuachia vijana kuliongoza Taifa hili ,ukibakia hapo utafariki ukijiona.
La muhimu ni kuwa Chama kinakungojea kwa hamu kabisa na safari hii ni zamu ya NCCR kuongoza na kuunyakua uongozi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania kwa kishindo.

Najua wapo watakao beza rasimu hii ya kumkaribisha mheshimiwa Zitto katika mageuzi kwani si jambo la kulitegemea sana kwa upande wao ,waonavyo eti wamemzibiti ,nawambia huko ni kujidanganya.
Kuhusu Mwenyekiti wa NCCR aliepo ,tayari ameshaonyesha dalili za kustaafu au kubakia katika benchi la viongozi wazee wa Chama.

Sasa akienda huko baada ya miaka miwili wakajitokeza vjana wanataka kugombea nafasi yake ya uenyekiti? atakwenda kwingine? au atawafukuza chamani kama alivyofanya Mba-tia
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom