BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,148
- 2,160
Inashangaza kuona LEO mgomo wa walimu umeanza na kwa taarifa shughuri nyingi za kitaaluma zimekwama, watoto wameenda shule kucheza,wengine wamerudishwa, walimu waaoga wameenda mashuleni kupiga domo bila kuingia madarasani lakini Habari inayojadiliwa sana na kuhusu ZITTO