Zitto kabwe: Umejifunza nini na matokeo ya udiwani

Umeona jinsi watu walivyo na mtazamo hasi dhidi ya baahi ya watu?maana utafikiri Zitto ndiye anawakwaza au yeye ndiye anawajibika katika kila kitu ndani ya CDM,bora wajiweke wazi na waeleze tatizo lao nini dhidi ya huyu mchapakazi!

yeye tunajua mtazamo wake, wakati wale wengine still wanasisitiza swala la kukijenga chama na hii ndo strategy iliyobaki, yeye pia alitangaza kuwa uchaguzi huu mdogo wangeshinda zaidi ya nusu ya nafasi 29 hatumwoni akitoa tathmini ya matokeo haya. Bado tuhitaji kutoa elimu ya uraia
 
kama mabenki yameweza kutoa miamala popote kwa wateja wao kwa nn tume yataifa ya uchaguz Tanzania ishindwe kutoa haki kwa wapiga kura popote walipo kupiga kura kwa viongozi wao there is ? behind
 
Katika hali ya kawaida, viongozi wanapaswa kutambua kuwa wanaoteka ngome ni askari wa miguu/ ardhini na siyo wa anga au wa majini.

Nilichogundua ni kuwa kukaa mtandaoni na kupiga kelele hakukifanyi chama kushinda uchaguzi bali kwenda kueleza sera kwa kinagaubaga ili wazikubali na hatimaye kukichagua hicho chama!
 
CHUAKACHARA

Ni kweli ZZK amekuwa haraka sana kutaja mambo ya uraisi, lakini kuhusu uchaguzi wa jana Mh. CHUAKACHARA naona hujui masuala ya kukokotoa (Data processing and data analysis. Kuhusu uchaguzi wa jana wakokotoaji wanaona kama CHADEMA imepata ushindi mkubwa kwa sababu,

1. CCM walikuwa wanatetea kata zao 26 kati ya hizo 29 zilizofanya uchaguzi jana, pia CHADEMA walikuwa wanatetea kata 2 . Kati ya hizo CHADEMA imetetea kata zake zote 2 pia imeipoka CCM kata 4 mpaka hapo CHADEMA ni kidedea

2. CHADEMA hikupoteza kata zake ingepoteza hata moja kingekuwa kiashilia kibaya sana kwa CHADEMA

3. CCM iimepoteza kata ingine wilayani Newala kwa CUF hii pia ni kiashilia kibaya kwa CCM
Kimsingi hapa CCM inatakiwa ijifunze kitu na wala siyo CHADEMA,


6 kati ya 29..
Sasa kuna nini hapo. Hata nusu hatuja fikia.Badala ya kujipanga na kupata nusu.
Mtoa mada bado yupo sahihi. Leo hii tupo kwenye 2013 maana bado miezi miwili na hali ndo hiyo so in 2 years unategemea kusukuma msukuma kwa kiasi gani kuikabiri hii hali.
 
Ndugu yangu Chuakara, mi sioni tatizo hapo kuwa na camp tofauti katika kuwania urais si tatizo endapo kila mmoja ataitambua dhamira ya pamoja ya chama,sidhani Zitto yuko tayari kukigawa chma kwa mgnitude unayomnasibisha nayo.
kama yuko interest na hilo ni tusubiri awe tested na tutajua kama anafaa,mi siamini kama mashabiki wa zitto kuwa hawatamuunga mkono Dr endapo Kaka Zitto ataenguliwa,Chadema wako smart kuliko hapo.

iwapo democrasia itafuatwa basi hamana tatizo tutamuunga mkono yoyote atakae simamimshwa na cdm,lakini kama zitto ataenguliwa kwa chuki na na mizengwe kama hii inayo onyeshwa sasa kumsakama bila sababu.lakini sifikirii CDM kama itarudia kumsimamisha SLAA mtu ambae tayari watanzani wamesha mkataa 2010,na huo utakuwa ni usultani.
 
we sema tu unakundi lako la kuutaka urais ila mnakuwa wanafiki hamtangazi hadharani. kama katangaza mmja tu unawezaja kusema kuna makundi? maana wangekuwa wametangaza wawili na kuendelea ndo tungesema kuna makundi. waambie kundi lako nao waweke hadhara waache unafiki wa kujificha otherwize mpaka sasa tunajua mmoja tu kwahiyo makundi hamna.

Hunielewi, we nshomile! Nasema kwa mtaji wa kuanguka CDM kwenye udiwani, anadhani CDM itaupata urais kwa hali ilivyo sasa? Hivyo kutangaza kugombea urais ni ujinga kama chama chenyewe bado hakijulikani/hakina wanachama vijijini. Huo URAIS hataupata. Ni vyema aka-shelf ndoto za alinacha za urais akakijenga chama kwanza for the remaining two or so years!
 
CHUAKACHARA

Ni kweli ZZK amekuwa haraka sana kutaja mambo ya uraisi, lakini kuhusu uchaguzi wa jana Mh. CHUAKACHARA naona hujui masuala ya kukokotoa (Data processing and data analysis. Kuhusu uchaguzi wa jana wakokotoaji wanaona kama CHADEMA imepata ushindi mkubwa kwa sababu,

1. CCM walikuwa wanatetea kata zao 26 kati ya hizo 29 zilizofanya uchaguzi jana, pia CHADEMA walikuwa wanatetea kata 2 . Kati ya hizo CHADEMA imetetea kata zake zote 2 pia imeipoka CCM kata 4 mpaka hapo CHADEMA ni kidedea

2. CHADEMA hikupoteza kata zake ingepoteza hata moja kingekuwa kiashilia kibaya sana kwa CHADEMA

3. CCM iimepoteza kata ingine wilayani Newala kwa CUF hii pia ni kiashilia kibaya kwa CCM
Kimsingi hapa CCM inatakiwa ijifunze kitu na wala siyo CHADEMA,

Whatever inspiring and complicated these statistical data jargons might be, as long as they do not make you a majority winner, you need to re-think you way forward. Instead of making divisions among yourselves fighting for presidency, you are tasked to re-think your strategy be it M4C, etc.......... Inawezekana ikawa sawa kwa vigezo vya statistics ulivyotoa, lakini will they make you attain your objectives? eg utashinda URAIS, utakuwa na madiwani wengi, utakuwa na wabunge wengi etc ? "Ingawa tumeshindwa, lakini chenga twawala" Mimi napenda mabadiliko, na CDM is more likely to attain this! lakini wakianza kugawanyika kwa ujinga wa URAIS, then they are done. Have a nice day!
 
Ndugu yangu Chuakara, mi sioni tatizo hapo kuwa na camp tofauti katika kuwania urais si tatizo endapo kila mmoja ataitambua dhamira ya pamoja ya chama,sidhani Zitto yuko tayari kukigawa chma kwa mgnitude unayomnasibisha nayo.
kama yuko interest na hilo ni tusubiri awe tested na tutajua kama anafaa,mi siamini kama mashabiki wa zitto kuwa hawatamuunga mkono Dr endapo Kaka Zitto ataenguliwa,Chadema wako smart kuliko hapo.

Nielewe ndugu yangu. Kwa matokeo haya ya udiwani Zitto atashinda urais? if the trend is to continue like that, which is likely to continue anyway! Hoja ni kuwa wajenge chama kwanza hasa vijijini na ku-rethink their strategies be it M4C etc. It is an open fact kuwa makundi yanatabia ya kugawa wamoja. Ukitangaza URAIs at such an early stage, ni kuwa tayari unaleta mgawanyiko mapema kabla ya kukijenga chama, hamuwezi kufikia lengo! Kila mmoja should shelf his/her aspirations till the time is ripe, then ruksa. Chinua Achebe?? alisema: "CHASE THE HYENA FIRST, THEN COME TO WARN THE HEN ABOUT WANDERING IN TO THE FOREST"
 
Tuna vyama viwili kinzani hapa nchini,,,,vizuri pia kuuliza CCM vipi wanounaje mwenendo? maana anguko hili la 4 seats ni ndani ya miaka miwili je haiwezi kuwa mbaya sana tena sana for 2015
 
Nielewe ndugu yangu. Kwa matokeo haya ya udiwani Zitto atashinda urais? if the trend is to continue like that, which is likely to continue anyway! Hoja ni kuwa wajenge chama kwanza hasa vijijini na ku-rethink their strategies be it M4C etc. It is an open fact kuwa makundi yanatabia ya kugawa wamoja. Ukitangaza URAIs at such an early stage, ni kuwa tayari unaleta mgawanyiko mapema kabla ya kukijenga chama, hamuwezi kufikia lengo! Kila mmoja should shelf his/her aspirations till the time is ripe, then ruksa. Chinua Achebe?? alisema: "CHASE THE HYENA FIRST, THEN COME TO WARN THE HEN ABOUT WANDERING IN TO THE FOREST"
I think you gave us something to think about,you may have a point there ,i completely misunderstood you my friend ,yes it is about time we build the party network from wards level,there is where you start creating a cummulative effects in regarding of your supporters,but if that is the case o you think that Zitto is un aware of this ?Dr,Mr Mbowe? if the answer is yes did any one via party system tried to point out to Kaka Zitto that he is erring the way he carry himself towards the party interests?
Enlight me brother!
 
CHUAKACHARA

Ni kweli ZZK amekuwa haraka sana kutaja mambo ya uraisi, lakini kuhusu uchaguzi wa jana Mh. CHUAKACHARA naona hujui masuala ya kukokotoa (Data processing and data analysis. Kuhusu uchaguzi wa jana wakokotoaji wanaona kama CHADEMA imepata ushindi mkubwa kwa sababu,

1. CCM walikuwa wanatetea kata zao 26 kati ya hizo 29 zilizofanya uchaguzi jana, pia CHADEMA walikuwa wanatetea kata 2 . Kati ya hizo CHADEMA imetetea kata zake zote 2 pia imeipoka CCM kata 4 mpaka hapo CHADEMA ni kidedea

2. CHADEMA hikupoteza kata zake ingepoteza hata moja kingekuwa kiashilia kibaya sana kwa CHADEMA

3. CCM iimepoteza kata ingine wilayani Newala kwa CUF hii pia ni kiashilia kibaya kwa CCM
Kimsingi hapa CCM inatakiwa ijifunze kitu na wala siyo CHADEMA,
Leo mnakimbilia ukokotozi wa hesabu tu! Mlitangaza mnachukua nchi sasa kwa mwendo labda muongeze kata 2015. Slaa kaweka kambi kanda ya ziwa katoka kapa hata nusu kata hajapata! Mbowe nae kusini kalala chali! Kwa nguvu mliotumia kuwaadaa watanzania sasa hawana mpango nanyi
 
Last edited by a moderator:
iwapo democrasia itafuatwa basi hamana tatizo tutamuunga mkono yoyote atakae simamimshwa na cdm,lakini kama zitto ataenguliwa kwa chuki na na mizengwe kama hii inayo onyeshwa sasa kumsakama bila sababu.lakini sifikirii CDM kama itarudia kumsimamisha SLAA mtu ambae tayari watanzani wamesha mkataa 2010,na huo utakuwa ni usultani.

Bin Mgeni,watanzania wepi waliomkataa Dr?unataka kuniambia kwamba last electionswas real bad to CDM? truly i dont share your views,have you ever wonder that we have more supporters now and expecting more coming 2015?those are the people who are going to vote for any candidate we believe he will pull us through,do you believe the "knowing an who would be soon knowing"will ever vote again for any s.c.u.. bag CCM will presents to Tanzanian? I don't think so!
 
I think you gave us something to think about,you may have a point there ,i completely misunderstood you my friend ,yes it is about time we build the party network from wards level,there is where you start creating a cummulative effects in regarding of your supporters,but if that is the case o you think that Zitto is un aware of this ?Dr,Mr Mbowe? if the answer is yes did any one via party system tried to point out to Kaka Zitto that he is erring the way he carry himself towards the party interests?
Enlight me brother!

Zitto ni msomi mzuri, anaelewa kuwa kuna mambo ambayo ukiyafanya unaleta mgawanyiko. Ili kufikia lengo, lazima sometimes you have to play altruism-kama wafanyavyo wanyama-sacrifice your own interests for the benefit of the species, in this case species yetu ni CDM. Usitangaze kitu kinachoweza kuwa source ya mgawanyiko (in this case urais) kabla ya kuona kuwa chama kimesimama. Si unaona, pamoja na CCM kutwangana makonde hadharani, hawajavua magamba, ufisadi ni wao, bado wanashinda maana chama kimejiimarisha vijijini , hata mijini. We need to attain that!! Mtei amesema hata juzi kuwa Zitto utakigawa chama! Nakubali kuwa agombee URAIS, lakini tulia kwanza tujenge chama, wakati muafaka ukifika unatangaza nia yako katika taratibu ambazo zitawabakiza wanachama wenu wameshikamana.
 
Zitto ni msomi mzuri, anaelewa kuwa kuna mambo ambayo ukiyafanya unaleta mgawanyiko. Ili kufikia lengo, lazima sometimes you have to play altruism-kama wafanyavyo wanyama-sacrifice your own interests for the benefit of the species, in this case species yetu ni CDM. Usitangaze kitu kinachoweza kuwa source ya mgawanyiko (in this case urais) kabla ya kuona kuwa chama kimesimama. Si unaona, pamoja na CCM kutwangana makonde hadharani, hawajavua magamba, ufisadi ni wao, bado wanashinda maana chama kimejiimarisha vijijini , hata mijini. We need to attain that!! Mtei amesema hata juzi kuwa Zitto utakigawa chama! Nakubali kuwa agombee URAIS, lakini tulia kwanza tujenge chama, wakati muafaka ukifika unatangaza nia yako katika taratibu ambazo zitawabakiza wanachama wenu wameshikamana.
Yo are completely right especially in red,that is where the real power is!once again i agree with you,i hope everybody will see your point and stop being argumentative for the sake of being one!
 
Back
Top Bottom