CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Umeona jinsi watu walivyo na mtazamo hasi dhidi ya baahi ya watu?maana utafikiri Zitto ndiye anawakwaza au yeye ndiye anawajibika katika kila kitu ndani ya CDM,bora wajiweke wazi na waeleze tatizo lao nini dhidi ya huyu mchapakazi!Mbona unamuuliza zzk tu, mbona humuulizi Slaa au mbowe
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Mbona unamuuliza zzk tu, mbona humuulizi Slaa au mbowe
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Mbona unamuuliza zzk tu, mbona humuulizi Slaa au mbowe
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Umeona jinsi watu walivyo na mtazamo hasi dhidi ya baahi ya watu?maana utafikiri Zitto ndiye anawakwaza au yeye ndiye anawajibika katika kila kitu ndani ya CDM,bora wajiweke wazi na waeleze tatizo lao nini dhidi ya huyu mchapakazi!
Ndugu yangu Chuakara, mi sioni tatizo hapo kuwa na camp tofauti katika kuwania urais si tatizo endapo kila mmoja ataitambua dhamira ya pamoja ya chama,sidhani Zitto yuko tayari kukigawa chma kwa mgnitude unayomnasibisha nayo.Ali, Zito anakigawa chama kwa kuleta makundi ya URAIS. Ni hilo tu, wala hafanyi lolote kukijenga
Ali, Zito anakigawa chama kwa kuleta makundi ya URAIS. Ni hilo tu, wala hafanyi lolote kukijenga
Hawa hawajatangaza kama wanautaka urais mpaka sasa!Mbona unamuuliza zzk tu, mbona humuulizi Slaa au mbowe
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Umeona jinsi watu walivyo na mtazamo hasi dhidi ya baahi ya watu?maana utafikiri Zitto ndiye anawakwaza au yeye ndiye anawajibika katika kila kitu ndani ya CDM,bora wajiweke wazi na waeleze tatizo lao nini dhidi ya huyu mchapakazi!
Slaa na Mbowe wanahangaika kukijenga chama, zito anahangaika kukigawa kwa makundi ya urais. Mbowe na slaa hawajatangaza hata mara moja kugombea urais 2015