Zitto Kabwe, STOP using Ramadhan Semtawa kuivuruga CHADEMA

kwa akili yangu ndogo ya DIPLOMA nimegundua huyu jamaa antumiwa na magamba kuivuruga CDM kwa kutumia jina la ZITTO so wana JF angalieni sana makala za huyu mtu,kama sio hela kapewa na NAPE basi inawezekana kapewa na RITZ1 baada ya kuona M4C imewazidi ujanja,hata JK alishawahi kusema waandishi wengine wanatumiwa na wanasiasa tena aliwaita MAKANJANJA na nadhan RAMADHAN SEMTAWA ni miongoni mwao coz anaandika habari nyingi in favour of MAGAMBA.
 
wana jf nimemfahamua ramadhani semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa tangu nijiunge na kampuni ya mwananchi,semtawa ni kijiana ambae yuko tayari hata kupoteza utu wake na ubinadamu wake pale anaposimamia maslahi yake binafsi,kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne,kwahiyo amefanya jitihada za kujiendeleza kwa kupewa fedha na watu kama samwel sita, chenge,zitto kabwe na wengine.

Semtawa kwa sasa anafanya kazi kwa ukaribu sana na familia ya nyumba kubwa (ikulu) amekuwa akipewa vijisenti vya kujikimu kwa watu wanaotokana na familia hiyo kwa mpango wa kumsaidia bosi wake mwingine ambae ni waziri (membe) semtawa ana gamba la kujiita mzalendo kama tulivo waandishi wengi ambao tunafanya kwa kujiita wazelendo wakati sisi ni wajasiria mali.

Ukimsoma semtawa ndie ambae huandika story nyingi za zitto,sita,membe,chenge.na hivi karibuni amekuwa ni kijana ambae anafanya kazi kwa kusaidia mawazo ya bosi wetu anaitwa makunga na pia hapa ndani sisi humuita jembe la ikulu, ukitazama mahusiano ya ikulu,zitto na mpango mchafu wa kukibomoa chama chetu vyote hivi vitakueleza nini bwana mdogo semtawa anafanya.

Wana jf elimu yake sasa ana diploma ya dsj ,pia sasa hivi ana rudia mitihani yake ya kidato cha nne,uwezo wake wa kufikiri mpaka hapa mnaweza kuupima,huu ni uelewa wangu mdogo juu ya huyu bwana mdogo,anatokea mkoa wa tanga na mtaona mahusiano ya kijografia na bagamoyo.


kama ana connection kiasi hichi na wana ikulu sikui alikuwa anaandika nini kuhusu dr. Ulimboka! Inaonesha jamaa ni mtu hatari sana inabidi tuendelee kumchunga na kumchunguza kwa kina
 
Inaonyesha Dhahiri kuwa wewe una nia ya kumharibia jina Bw Ramadhani , angalia unavyo jifunga na kutaka kuwapotoza wenzako. kwanza unasema kuwa Ramadhani Semtawa, ""kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya Darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne. "" Nakuuliza mtu ambaye ana elimu ya darasa la 7 ,anawezaje kufeli mtihani wa kidato cha nne, si ni lazima kwanza aingie kidato cha 1 & 2 &3, ndipo aweze kufanya mtihani wa kidato cha 4.

Jamaani tujichunge na wenye nia mbaya hapakwenye forum
 
- Chadema na kivuli cha Zitto, kitawatesa mpaka mtakapokubali kwamba ndiye mwenye uwezo wa kukisaidia chama chenu kubadilika na kukubalika zaidi na Taifa,

- Chadema mnahitaji a big sacrifice kukinusuru chama kiweze kukubaika na taifa, punguzeni viongozi wa juu wa kabila moja, ingawa wenyewe in a private wanasema walikuwepo kwanza, ukweli ni kwamba mnahitaji kubadiika hawa kina Mtawa mtawaonea bure tatizo mnao wenyewe!!

Es!!
Rais=Mwislam anamuabudu Baal (Allah)
Makamu= Muislam anamuabudu Baal (Allah)
Rais wa Zanzibar= Muislam anamuabudu Baal (Allah)
Mwanasheria mkuu =Mwislam anamuabudu Baal (Allah)
Mkuu wa Jeshi la Polisi=Mwislam anamuabudu Baal (Allah)

Hivi ingekuwa hivyo kwa wakristo pangekalika kweli?
 
Maneno yako ni ya ukweli mtupu, Watu mmekuwa kama mzazi, kusahau uchungu na kutaka ngoma punde baada ya kujifungua. Zitto ni mtanzania kwanza, kigoma boy second and religion next. he has no time for micky mouse politicians.

Kijana ZITTO KABWE TENDA WEMA WENDE ZAKO, hakuna kikuzuiapo the sky is the limit.
 
Nauliza hivi, kuna msemaji wa Zitto humu JF? Yeye mwenyewe yupo humu sasa nyie mnaojidai mnamfahamu sana kuliko anavyojifahamu yeye, mna nia gani? Uzuri ni kwamba husikii Viongozi wa CHADEMA wakigombana hadharani zaidi ya wapambe koko kutengeneza stori za kusadikika. Ifike mahali watanzania tuache kushabikia MTU bali HOJA zake na yale anayoyaamini na kuyasimamia. Hiyo ndio siasa ya kweli, vinginevyo ni umbea tu. Get a life for a second.
 
Zitto, Membe January hii ni hatari

Miezi ya nyuma nilileta hii mada hapa jukwaani lakini kwa bahati mbaya MODs waliinyofoa dakika 20 baada ya kuiweka. Sina budi kurudisha hii mada baada ya sakata la Zitto Kabwe, Nassari, Alima Mdee pamoja na gazeti la Mwananchi. Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa katika tasnia ya habari na lazima nikiri kwamba mengine yanayofanyika katika hii tasnia ni ya kukatiza moyo hasa kazi za wanahabari zinapoingiliwa na wanasiasa. Kwetu sisi wanawake inakuwa ni vigumu sana kukataa kutii haya maagizo ambayo mengine unaona kabisa ni za vitisho

Zitto Kabwe, January Makamba, Bernard Membe na hata Ngeleja kwa siku za nyuma alishiriki sana katika kuingilia kazi za waandishi. Kinara wao akiwa Zitto January na Membe. Hawa viongozi hasa Zitto wamezoea sana kujiandikia makala na hata habari kisha kumlazimisha mwandishi kuzichapisha ukurasa wa mbele kwa gharama yoyote ile. Wanatoa hela nyingi sana kwa waandishi na wahariri. Mbaya zaidi ni kwamba hawa viongozi wanajitengenezea kashfa au kutoka ndani ya vyama vyao.

Matokeo yake kesho wanaitisha waandishi tena kukanusha (kashfa) zao za kujipikia wakati ni wao ndio chanzo cha hizo habari. Lengo lao kubwa ni kutafuta huruma kutoka kwa umma wa kitanzania kwa vitu ambavyo havipo.
Kinachonishangaza ni kwa nini mtu ajichafue kwa kujitengenezea kashfa maadui feki ndani ya chama chake heti ndio wanaomchafua kumbe ni yeye mwenyewe alafu kesho yake akane hizo taarifa? Nadhani tunaelekea kubaya hawa watu wakiendelea nah ii tabia. Moja ya habari hizi ni zile zinazomlaumu Mbowe kam mtazikumbuka..

nawakilisha

Duh kama ni hivi hii ni HATARI, na huyu jamaa ni issue.
Zitto na January wanalitamani sana Mwananchi kwa kuwa linasomwa sana. Ila kama kweli kuna mchezo wa kujiandikia habari au makala na kumpa mwandishi iwe kama ni ya mwandishi basi wataliharibia gazeti hilo.
 
kuna member alikua anaitwa tuntemeke.... TUNAOMBA AVULIWE NGUO HAPA
 
Mwananchi likiandika in favour ya Chadema mnalalamika, mkifanya madudu mnalalamika. Hiyo ndio maana ya Uhuru wa chombo cha habari. Mkikosea lazima wakosoe na mkipatia wawape sifa. Nyie mnataka kila siku ziandikwe habari za kuwashabikia tu hata mnapoharibu? Busara ni kujirekebisah mnapofanya makosa na si kulaumu vyombo vya habari vinavyoandika bila upendeleo. Ikiandikwa CCM vibaya mnafurahi na kusema Mwananchi ni gazeti linazozingatia ukweli lakini madudu yenu yakianikwa mnafura. Huo ni udikteta wa kiwango kisichomithilika. Jisahihisheni.

Nadhani issue pale juu ni Mwandishi mmoja kutoa makala au kureport maswala ya mtu mmoja kwa style ambayo inaonyesha wazi kuwa kuna mawasiliano ya awali !
 
English Learner,
Ni Imani yangu uko salama ndugu yangu na pole na majukumu. Ndugu yangu utaniwia radhi kwa kutaja jina lako hapa, lkn ni kwasababu nahitaji msaada wako hapa. Naamini kuna wengi pia watachangia lkn kamwe usisite kutia mchango wako hapa, kwani unahitajika sana.

English Learner,
I need your assisstance in constructing a theory based on the informationprovided below. I was really touched by the theory you constructed from what happened during the presentation of the Opposition Budget 2012-2013 made by Hon. Zitto Kabwe this month. You made something with a lot of valid information, and I congratulateyou for that my dear. Today I really need your help again on these issues by constructing a theory and tell us something about the hypotheses from the literatures provided below;

A: OLD NEWS ABOUTZITTO KABWE AND CHADEMA
Moto wawakaChadema, NI VITA YA KAMBI ZA MBOWE, ZITTO
Sunday, 01 May 2011 22:56
By Ramadhan Semtawa
VITA vya makundi vimezidi kuviandamavyama vikubwa vya siasa nchini, ambapo sasa hali si shwari ndani Chadema,ambako kunadaiwa kuwepo mkakati wa kumng'oa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho,Zitto Kabwe.Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa KigomaKaskazini na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, anadaiwa kuponzwa na msimamowake kupinga ununuzi wa magari mitumba yenye thamani ya Sh480 milioni yaChadema.

Zitto Kabwe boostsCCM will never defeat him
Thursday, 09 September 2010 08:34
By Ramadhan Semtawa
Former Kigoma North MP Zitto Kabwehas vowed to retain his seat in the coming General Election despite plans by ChamaCha Mapinduzi to oust him. Mr Kabwe made the statement after the CCM campaignmanager, Mr Abdulraham Kinana, announced plans to win all constituencies thatwere under opposition parties in the last five years.Mr Kinana was quoted as saying thatCCM planned to win all constituencies which were under opposition parties. Hesaid they were going to set camps in those constituencies, including KigomaNorth and Moshi Urban, in a bid to dislodge outgoing MPs.Mr Kinana was quoted to say thatthere was a need for the ruling party to strengthen its campaigns in someconstituencies which have been dominated by opposition parties for a long timenow.But in his response Mr Kabwe saidthe ruling party had no power to oust him. He said Kigoma North would alwaysremain an opposition party's constituency since voters were aware of thestrength and importance of electing him.

Zitto atembea nabarua ya kujiuzulu Chadema*
ASISITIZA ATAMUUNGA MKONO KAFULILAKIGOMA KUSINI
Na Ramadhan Semtawa
HALI ya kisiasa ndani ya Chadema,inazidi kuwa mbaya, baada ya Naibu Katibu Mkuu wa chama, Kabwe Zitto kuandaabarua ya kujiuzulu nyadhifa zote ndani ya chama ambayo anatarajiwa kuiwakilishawakati wowote atakaporejea nchini.

Zitto kupitia barua pepe aliyoitumia Mwananchi Jumapili, aliweka bayana msimamowake wa kuchukizwa na siasa chafu zinazoendelea ndani ya chama hicho na kwamba,sasa yupo tayari kujivua nyadhifa zote ndani ya chama hicho ukiwamo ubunge.
"Ninayo barua ya kujiuzulu kilanafasi niliyonayo ndani ya chama ikiwamo ya ubunge, nataka kuendelea na maishayangu," aliweka bayana Zitto. Hatua hiyo ya Zitto ambayo inazidi kukiwekachama hicho njiapanda, inakuja wakati Katibu Mkuu wa Chadema Dk Willibrod Slaa,akieleza kwamba hali ni shwari ndani ya chama hicho.Wakati akizungumza na waandishi wahabari juzi, pamoja na kutetea uamuzi wake wa kuwatimua Ofisa Habari wa chamahicho, David Kafulila na Ofisa wa Bunge, Danda Juju, Katibu Mkuu huyoalilishambulia gazeti la Mwananchi kwa madai kuwa linaishambulia Chadema kwakuchapisha habari inayoeleza hali tete iliyopo ndani ya chama hicho. Akielezeakuhusu hatua yake hiyo, Zitto alisema: "Sitaki kugombana na mtu mimi.

Zitto Kabwe atangazakung'atuka
Published 03/1/2007
na Ramadhan Semtawa
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, ZittoKabwe, ametangaza kung'atuka katika wadhifa wake mwaka 2010. Kabwe alitangazaadhima yake hiyo jana, wakati akiongea na waandishi wa habari katika Hoteli yaGreenbeach mjini Maswa mkoani Shinyanga.Alisema amefikia uamuzi huo bila kushinikizwana mtu yeyote na ameamua kutangaza mapema ili kutoa nafasi kwa wanaotaka kugombeanafasi hiyo, ili wajiandae.Kabwe alisema anatamani kufanya kaziza kitaalamu, hasa zinazohusu taaluma yake baada ya kuwa mwakilishi wa wananchikwa kipindi cha miaka mitano."Tangu nimalize masomo yangu chuokikuu, ni kipindi cha mwaka mmoja tu niliofanya kazi kisha nikachaguliwa kuwambunge, hivyo nina hamu ya kufanya kazi nyingine mbali na hii ya uwakilishi,"alisema Kabwe.Alisema uamuzi wake wa kuachana naubunge hauhusuni na masuala ya siasa ambayo iko katika damu yake (Mwananchi, 2007).


B: CURRENT NEWS ABOUT ZITTO VS OTHER MPS

Mbunge wa viti maalum Ester Bulaya(CCM) nae amekanusha kumpigia debe Zitto kwenye Urais. Kupitia ukurasa wake waFacebook, ameandika;

"Nasikitika sanakuambiwa kuwa nimempigia debe urais mh Zitto Kabwe. Huu ni uwongo wa kutubwatulienda Kigoma kuwaunga mkono wasanii wa Kigoma walioamuwa kwenda kuchangishafedha za ujenzi wa kituo cha vijana. Nilienda kama mbunge wa vijana kwa ajiliya kuunga mkono vijana wenzangu. Huu ni uzushi mkubwa. Natambua kila chama kinautaratibu wa kupata mgombea uraisi"
(EstherBulaya, 24.07.2012).

Katika gazeti la Mwananchi la tarehe23 Julai 2012, kulikuwa na habari yenye kusomeka 'Wabunge wamsafishia Zittonjia ya Urais 2015'. Habari hii imeleta mjadala mara baada ya kutoka nakusomwa. Mjadala umekuzwa zaidi baada ya Wabunge ndugu Halima Mdee na nduguJoshua Nassari kukanusha maneno waliyonukuliwa kusema.

Napenda kusema masualayafuatayo.
Moja, Waheshimiwa Wabunge HalimaMdee, Joshua Nassari, Kangi Lugola, Esther Bulaya, Deo Filikunjombe, RayaIbrahim, Amina Mwidau na David Kafulila walihudhuria tamasha la vijana waKigoma All Stars kwa kualikwa na Mratibu wa kundi hilo Mwasiti Almasi.Wabunge wengine walialikwa lakinihawakutokea wakiwemo Joseph Mbilinyi, David Silinde, Amos Makala, Vicky Kamatana Peter Serukamba.

Wabunge hawa hawakualikwa na mimi na wala sikufanyamazungumzo nao yeyote ya awali au kuwaambia au kukubaliana nini cha kuzungumzaau hapana. Tamasha lilikuwa la muziki na halikuhusika kabisa na siasa.
Waheshimiwa wote walipewa nafasi yakusalimia na wote walizungumza. Wabunge waliozungumza kwa muda mrefu kidogo nindugu Halima Mdee, Joshua Nassari, Deo Filikunjombe na Kangi Lugola.

Hotuba za Wabunge wote zilirekodiwakwenye video neno kwa neno na video hizo zitawekwa wazi kwenye blogu yangu kama sehemu ya documentary ya tamasha lile la kihistoria.Pili, sikuhusika kwa namna yeyote ile nakuandikwa kwa habari hii iliyozusha mjadala. Wala sikujua kamahabari hii ingeandikwa maana katika ziara ile sikuita mwandishi hata mmojamaana nilitaka liwe tukio la Kigoma tu.

Kama mwandishikaandika ambayo wabunge hawa hawakuyasema basi itaonekana kwenye videos hizo.Wabunge wenyewe wanajua kwenye nafsi zao nini walisema Kigoma na kipikiliwasukuma kusema walioyasema Kigoma. Nisingependa kuhusishwa kwa njia yeyoteile na matamshi yao, habari iliyowanukuu na hatamakanusho yao.Maana mwisho wa siku ukweli ndio utasimama.Suala la Urais lisitupotezee mudakwani kuna mambo mengi sanaya kujadili kuhusu nchi yetu. Taharuki ambazo watu wanazipata masuala ya urais yanapotajwa zinashangaza sana.

Chama changu bado hakijatangazarasmi mchakato wa kupata mgombea Urais. Hivi sasa chama hakina mgombea Uraismpaka hapo mchakato utakapotangazwa ambapo wanachama wataruhusiwa kuombakupeperusha bendera ya chama. Mwanachama wa chama chetu atakaye kubalika na jamiina wajumbe wa mkutano wa uteuzi ndiye atakuwa mgombea wetu. Kwa sasa hayupo nahivyo tusipoteze muda kujadili jambo hili.

Mzee Thabiti Kombo alituachia usiatunapokuwa tunazungumza. Alisema 'weka akiba' sio akiba ya fedha, bali ya akibaya maneno. Tuweke akiba ya maneno. Tusimalize yote (Zitto, 24.07.2012).

Nilikuwepo uwanjanipale lake Tanganyika Kigoma, kilichoandikwa ndicho nilichosikia pia. Videos zitawekwahapa na zitathibitisha.Siwezi kuwaandikia mwananchi kwanimimi silalamiki kuhusu habari hiyo. Wenye kuilalamikia habari wameandika.Mimi ninaamini gazeti la Mwananchindio gazeti pekee huru la kiswahili hapa nchini. Ndio gazeti pekee ambaloumiliki wake hauna maslahi na waandishi na wahariri wake ni mahiri, hawana njaana hawapindishwi. Ndio maana huandika ukweli muda wote na wanapokosea hawasitikurekebisha. Ndio maana ni gazeti linasomwa kwa wingi kuliko magazeti yotenchini. Hakuna gazeti linalofikia hata nusu ya mwananchi kwa kusomwa. HivyoMwananchi linaaminika na umma.

Najua kuna watu wana chuki binafsi na mwananchi kama gazeti na wahariri wa mwananchikama binaadamu. Hayo wayamalize wenyewe hukowalikochukiana.

Subirini video ndio tutajua habari ile imepikwa au ni ya kweli. Kwa tuliokuwepouwanjani tunajua nani alisema nini (
Zitto,24.07.2012).

NB1: Kwa ajili ya kupata theory na hypotheses nzuri, pia unaweza ukaongezea na taarifa zozote ulizonazo kuhusiana na matukio ya namna hii ili tuweze kupata uhalisia wa mambo haya.


NB2: Mwana-JF yeyote anaruhusiwa kuchangia kwa kadri atakavyoona inafaa kwa ajili ya ukombozi sahihi wa nchi yetu na siyo kuwa na rangi nyingi na hatimaye watu washindwe kufahamu wapi mwelekeo wa Zitto Kabwe; Gazeti la Mwananchi na CHADEMA.
Ni mimi TELO.
 
Jamani mpangilio wa huu uzi unahitaji siku nzima kuelewa nini kilichokusudiwa na mleta uzi. Bado naendelea kutafakari.
 
Back
Top Bottom