Zitto Kabwe, STOP using Ramadhan Semtawa kuivuruga CHADEMA

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Now nimejua true color ya Mh Zitto kabwe lakini bado najiuliza kitu gani kiko behind zitto kabwe kutaka kuivuruga chadema. Hebu soma makala hizi za Ramadhan Semtawa




Moto wawaka Chadema, NI VITA YA KAMBI ZA MBOWE, ZITTO
Sunday, 01 May 2011 22:56

By Ramadhan Semtawa
VITA vya makundi vimezidi kuviandama vyama vikubwa vya siasa nchini, ambapo sasa hali si shwari ndani Chadema, ambako kunadaiwa kuwepo mkakati wa kumng'oa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe.

Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, anadaiwa kuponzwa na msimamo wake kupinga ununuzi wa magari mitumba yenye thamani ya Sh480 milioni ya Chadema.


Zitto Kabwe boosts CCM will never defeat him
Thursday, 09 September 2010 08:34

By Ramadhan Semtawa

Former Kigoma North MP Zitto Kabwe has vowed to retain his seat in the coming General Election despite plans by Chama Cha Mapinduzi to oust him.

Mr Kabwe made the statement after the CCM campaign manager, Mr Abdulraham Kinana, announced plans to win all constituencies that were under opposition parties in the last five years.

Mr Kinana was quoted as saying that CCM planned to win all constituencies which were under opposition parties. He said they were going to set camps in those constituencies, including Kigoma North and Moshi Urban, in a bid to dislodge outgoing MPs.

Mr Kinana was quoted to say that there was a need for the ruling party to strengthen its campaigns in some constituencies which have been dominated by opposition parties for a long time now.

But in his response Mr Kabwe said the ruling party had no power to oust him. He said Kigoma North would always remain an opposition party's constituency since voters were aware of the strength and importance of electing him.



Zitto atembea na barua ya kujiuzulu Chadema

*ASISITIZA ATAMUUNGA MKONO KAFULILA KIGOMA KUSINI

Na Ramadhan Semtawa

HALI ya kisiasa ndani ya Chadema, inazidi kuwa mbaya, baada ya Naibu Katibu Mkuu wa chama, Kabwe Zitto kuandaa barua ya kujiuzulu nyadhifa zote ndani ya chama ambayo anatarajiwa kuiwakilisha wakati wowote atakaporejea nchini.

Zitto kupitia barua pepe aliyoitumia Mwananchi Jumapili, aliweka bayana msimamo wake wa kuchukizwa na siasa chafu zinazoendelea ndani ya chama hicho na kwamba, sasa yupo tayari kujivua nyadhifa zote ndani ya chama hicho ukiwamo ubunge.

"Ninayo barua ya kujiuzulu kila nafasi niliyonayo ndani ya chama ikiwamo ya ubunge, nataka kuendelea na maisha yangu," aliweka bayana Zitto. Hatua hiyo ya Zitto ambayo inazidi kukiweka chama hicho njiapanda, inakuja wakati Katibu Mkuu wa Chadema Dk Willibrod Slaa, akieleza kwamba hali ni shwari ndani ya chama hicho.

Wakati akizungumza na waandishi wa habari juzi, pamoja na kutetea uamuzi wake wa kuwatimua Ofisa Habari wa chama hicho, David Kafulila na Ofisa wa Bunge, Danda Juju, Katibu Mkuu huyo alilishambulia gazeti la Mwananchi kwa madai kuwa linaishambulia Chadema kwa kuchapisha habari inayoeleza hali tete iliyopo ndani ya chama hicho. Akielezea kuhusu hatua yake hiyo, Zitto alisema: "Sitaki kugombana na mtu mimi.


Zitto Kabwe atangaza kung'atuka
Published 03/1/2007
na Ramadhan Semtawa

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametangaza kung'atuka katika wadhifa wake mwaka 2010.

Kabwe alitangaza adhima yake hiyo jana, wakati akiongea na waandishi wa habari katika Hoteli ya Greenbeach mjini Maswa mkoani Shinyanga.

Alisema amefikia uamuzi huo bila kushinikizwa na mtu yeyote na ameamua kutangaza mapema ili kutoa nafasi kwa wanaotaka kugombea nafasi hiyo, ili wajiandae.

Kabwe alisema anatamani kufanya kazi za kitaalamu, hasa zinazohusu taaluma yake baada ya kuwa mwakilishi wa wananchi kwa kipindi cha miaka mitano.

"Tangu nimalize masomo yangu chuo kikuu, ni kipindi cha mwaka mmoja tu niliofanya kazi kisha nikachaguliwa kuwa mbunge, hivyo nina hamu ya kufanya kazi nyingine mbali na hii ya uwakilishi," alisema Kabwe.

Alisema uamuzi wake wa kuachana na ubunge hauhusuni na masuala ya siasa ambayo iko katika damu yake.
 
kijamaa kibishi,hadi kimemuajiri na mwana habari...................... tutakipiga chini mana kinazidi kutusumbua. toka kilivyozibwa mdomo kwa kupewa uenyekiti wa kamati kipindi kile basi kanatusumbua kweli. kameshanunuliwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwananchi likiandika in favour ya Chadema mnalalamika, mkifanya madudu mnalalamika. Hiyo ndio maana ya Uhuru wa chombo cha habari. Mkikosea lazima wakosoe na mkipatia wawape sifa. Nyie mnataka kila siku ziandikwe habari za kuwashabikia tu hata mnapoharibu? Busara ni kujirekebisah mnapofanya makosa na si kulaumu vyombo vya habari vinavyoandika bila upendeleo. Ikiandikwa CCM vibaya mnafurahi na kusema Mwananchi ni gazeti linazozingatia ukweli lakini madudu yenu yakianikwa mnafura. Huo ni udikteta wa kiwango kisichomithilika. Jisahihisheni.
 
Ramadhan Semtawa
tunaomba wenye kumjua huyo mtu wamwage data za huyo msaliti


Wana Jf nimemfahamua Ramadhani Semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa tangu nijiunge na kampuni ya Mwananchi,Semtawa ni kijiana ambae yuko tayari hata kupoteza utu wake na ubinadamu wake pale anaposimamia maslahi yake binafsi,kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya Darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne,kwahiyo amefanya jitihada za kujiendeleza kwa kupewa fedha na watu kama SAMWEL SITA, CHENGE,ZITTO KABWE na wengine.

Semtawa kwa sasa anafanya kazi kwa ukaribu sana na familia ya nyumba kubwa (ikulu) amekuwa akipewa vijisenti vya kujikimu kwa watu wanaotokana na familia hiyo kwa mpango wa kumsaidia bosi wake mwingine ambae ni waziri (membe) semtawa ana GAMBA la kujiita mzalendo kama tulivo waandishi wengi ambao tunafanya kwa kujiita wazelendo wakati sisi ni wajasiria mali.

Ukimsoma semtawa ndie ambae huandika story nyingi za ZITTO,SITA,MEMBE,CHENGE.na hivi karibuni amekuwa ni kijana ambae anafanya kazi kwa kusaidia mawazo ya BOSI WETU anaitwa MAKUNGA na Pia hapa ndani sisi humuita jembe la IKULU, ukitazama mahusiano ya IKULU,ZITTO na mpango mchafu wa kukibomoa chama chetu vyote hivi vitakueleza nini bwana mdogo semtawa anafanya.

Wana Jf elimu yake sasa ana DIPLOMA ya DSJ ,pia sasa hivi ana rudia mitihani yake ya kidato cha nne,uwezo wake wa kufikiri mpaka hapa mnaweza kuupima,huu ni uelewa wangu mdogo juu ya huyu bwana mdogo,anatokea mkoa wa Tanga na mtaona mahusiano ya kijografia na bagamoyo.
 
Wana Jf nimemfahamua Ramadhani Semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa tangu nijiunge na kampuni ya Mwananchi,Semtawa ni kijiana ambae yuko tayari hata kupoteza utu wake na ubinadamu wake pale anaposimamia maslahi yake binafsi,kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya Darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne,kwahiyo amefanya jitihada za kujiendeleza kwa kupewa fedha na watu kama SAMWEL SITA, CHENGE,ZITTO KABWE na wengine.

Semtawa kwa sasa anafanya kazi kwa ukaribu sana na familia ya nyumba kubwa (ikulu) amekuwa akipewa vijisenti vya kujikimu kwa watu wanaotokana na familia hiyo kwa mpango wa kumsaidia bosi wake mwingine ambae ni waziri (membe) semtawa ana GAMBA la kujiita mzalendo kama tulivo waandishi wengi ambao tunafanya kwa kujiita wazelendo wakati sisi ni wajasiria mali.

Ukimsoma semtawa ndie ambae huandika story nyingi za ZITTO,SITA,MEMBE,CHENGE.na hivi karibuni amekuwa ni kijana ambae anafanya kazi kwa kusaidia mawazo ya BOSI WETU anaitwa MAKUNGA na Pia hapa ndani sisi humuita jembe la IKULU, ukitazama mahusiano ya IKULU,ZITTO na mpango mchafu wa kukibomoa chama chetu vyote hivi vitakueleza nini bwana mdogo semtawa anafanya.

Wana Jf elimu yake sasa ana DIPLOMA ya DSJ ,pia sasa hivi ana rudia mitihani yake ya kidato cha nne,uwezo wake wa kufikiri mpaka hapa mnaweza kuupima,huu ni uelewa wangu mdogo juu ya huyu bwana mdogo,anatokea mkoa wa Tanga na mtaona mahusiano ya kijografia na bagamoyo.

Hii profession ya ajabu sana! Inakuaje mtu mwenye elimu ya darasa la saba anakuwa mwandishi wa habari, tena kwenye gazeti reputable kama Mwananchi? No wonder tunasoma crap kila uchao kutokana na waandishi wasio na upeo. Siamini kama mtu mwenye elimu ya darasa darasa la saba (au hata Form Four) ya miaka hii anaweza kufanya kazi nyeti kama ya uandishi wa habari.
 
Hii profession ya ajabu sana! Inakuaje mtu mwenye elimu ya darasa la saba anakuwa mwandishi wa habari, tena kwenye gazeti reputable kama Mwananchi? No wonder tunasoma crap kila uchao kutokana na waandishi wasio na upeo. Siamini kama mtu mwenye elimu ya darasa darasa la saba (au hata Form Four) ya miaka hii anaweza kufanya kazi nyeti kama ya uandishi wa habari.
Kwa sababu ameandika madudu ya CDM ndo mmeona kiwango chake cha elimu kiko chini. Na ni bora kuwa na mwandishi wa habari mwenye kiwango cha chini kuliko Makamu wa Raisi wa darasa la saba. Kingine, hao waandishi wenu wenye PHD wameisaidia nini nchi hii? Acheni ushabiki wa kiwango duni kama hiki.
 
Wana Jf nimemfahamua Ramadhani Semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa .....
user-offline.png
Mpaka Kieleweke

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 27th February 2007
Posts : 1,964
Thanks16Thanked 158 Times in 78 Posts

Rep Power : 28



Gazeti limesema uongo wa kutisha kwani hata kusema kuwa Mnyika alisimama na kumtetea Zitto ni uongo kw2ani hakuwepo kwenye kikao kutokana na Mnyika kuwa nje ya nchi kwa safari za kibunge (kamati yake ya nishati na madini) sasa huyu mwandishi ametoa wapi hayo anayosema?

Ramadhan Semtawa alipelekwa masomni nchini Uingereza kusoma na kulipiwa na kundi la mapacha watatu , ila account ilioyokuwa inatumika kutuma fedha ni ya Andrew Chenge, mpaka hapo unaweza kuelewa nini kinaendelea kati yake na kundi la mapacha watatu.

Watapata aibu sana itakapokanushwa hii taarifa yao na ukweli kuwekwa hadharani.

Haja ya kununua magari haikuwepo kabisa kwani suala hilo lilishafanyiwa maamuzi kikao cha tarehe 19 March 2011 na iliamuliwa yanunuliwe magari mapya tena sio kutoka Japan wala India , sasa hawa labda hiyo source yake ilikuwa inashiriki kikao kilichonunua Mahidra zile za Jeetu..........


Kwenye Black hapo,mbona mnatuchanganya?DSJ na Uingereza kipi ni kipi? hapa kuna umbea kati yenu.
 
Au katishiwa baada ya kuendesha ile campaign yake ya kutaka kumwangusha PM?
Mwache ajiweke pembeni maisha yake ni muhim kwa faida yake na familia yake.lol!
 
Mimi sijui hasa nini anachoandamwa ndani ya chadema ni dini yake au kutaka kwake madaraka nikiangalia wengi wao wanaomchukia naona ni against muslim huu ni ukweli uliopo ndani ya chadema .

Hata kama anamatitizo yake lakini mengi yanamsukumo wa udini haitaji akili sana kujua hizi fitina zinavyoendelezwa.

Gazeti hili hili ndo linalokubalika sana na wafuasi na washabiki wa chadema lakini ikifikia habari inayomhusu zitto ni tatizo kubwa mwandishi kwanza ataonekana ni msaliti na mambo mengi yatafuata.

Ngoja niwaulize nyie mnayomchukia huyu bwana zitto kwani sikuna utaratibu wa kupata uongozi ndaninya chama hata mtu atangaze nia haimaanishi atashinda sasa hizi siasa chafu ni za nini?
 
Wana Jf nimemfahamua Ramadhani Semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa tangu nijiunge na kampuni ya Mwananchi,Semtawa ni kijiana ambae yuko tayari hata kupoteza utu wake na ubinadamu wake pale anaposimamia maslahi yake binafsi,kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya Darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne,kwahiyo amefanya jitihada za kujiendeleza kwa kupewa fedha na watu kama SAMWEL SITA, CHENGE,ZITTO KABWE na wengine......

Yaani kwa jinsi unavyotaka kutudanganya humu JF ni dhahiri kabisa wewe ndiye STANDARD SEVEN. Ni gazeti gani ambalo mpka sasa linaajiri darasa la saba? Toa hapa pumba zako, acheni kumwandama ZITTO na ni lazima awabwage MBOWE na SLAA. Chenge, Membe, SITTA na ZITTO wapi na wapi bwana.
 
kijamaa kibishi,hadi kimemuajiri na mwana habari...................... tutakipiga chini mana kinazidi kutusumbua. toka kilivyozibwa mdomo kwa kupewa uenyekiti wa kamati kipindi kile basi kanatusumbua kweli. kameshanunuliwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hivi kumbeeeeeee! Kameshakua hakana thamani kwa kiwango hiki eeh! Lakini kaeni mkitambua kwamba kana nguvu kweli na jaribuni kukATIMUA MUONE MZIKI WAKE....Kama hajapasua hicho chama chenu cha Ukanda uleeee wa akina Nassary.
 
Wana Jf nimemfahamua Ramadhani Semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa tangu nijiunge na kampuni ya Mwananchi,Semtawa ni kijiana ambae yuko tayari hata kupoteza utu wake na ubinadamu wake pale anaposimamia maslahi yake binafsi,kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya Darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne,kwahiyo amefanya jitihada za kujiendeleza kwa kupewa fedha na watu kama SAMWEL SITA, CHENGE,ZITTO KABWE na wengine....

Ama kweli ww ndio utakua unatumiwa na cdm...eeh! Hv haka kagazeti kenu si ndio kale kanakohusishwa na hawa wazee wagwandaman?
 
Mzinga Hakika kinachoendelea ndani ya CDM ni udini na ukanda, lazima akina ZITTO watapata tabvu sana ndani ya CDM. ukitaka kujua kuwa hili ni la kweli angalia kinachomtokea NASSARI kule Arumeru baada ya kuonesha wazi wazi kumuunga mkono ZITTO, huenda mwaka 2015 asirudi mjengoni huyo NASSARI, labda aache mipango yake ya kumuunga mkono Zitto. Hakika CDM Wwakiendelea kumshambulia ZITTO kwa sababu tu ya ukabila , udini na ukanda CHAMA kinakufa si muda mrefu.
 
Last edited by a moderator:
mwacheni ZITTO hilo ni shoka halipo hapo CDM kwa ajili ya maslahi ya Chama bali ni kwa Watanzania wote, yeye na Shibuda wanayaona mengi likiwemo la UDINI na UKABILA sijaelewa kwanini mnamwogopa mpaka story za zamani mnaziweka humu, mbona zile za Malasya alipomfuata tajiri mkubwa wa huko kuhusu kukiinua kilimo cha michikichi huko Kigoma hamjakisema?

Barabara mbalimbali za Mkoa wa Kigoma na madaraja ambayo hayapo katika jimbo lake? mara ngapi ameibana Wizara ya Nishati na madini? umeme wa gasi, makaa ya mawe nk.

Ni Mbunge gani huko CDM ameshawahi kuwaombea wananchi wa jimbo lake misaada na akaupeleka huko mtoa Mada nimwagie Data hapo msikae mnakiogopa kivuli cha msomi. Ni tofauti kabisa na wale wanaotaka MH. SPIKA MWOONGOZOOOOO, SISI HATUMTAMBUI RAIS KAIBA KURA lakini posho wanapokea.

km ni ukabila na DINI yake mwacheni ZITTO hamtamuweza maana Watanzania tumemwona alivyokamaa kizalendo.

Mwisho hivi mmeshamuona katika mgogoro wa migomo ya maDr? Jibu mwenyewe
 
Back
Top Bottom