Zitto Kabwe: Say NO to Posho

Kama hujui uliza ueleweshwe. Zitto hakupokea hizo pesa na ndio maana zimekatiwa risiti ili zirudishwe benki.
WAKUU HABARI ZA SASA!,

Tazama hii kitu, alisema hapa achukui posho yoyote hile mpaka kwake kigoma RCC NA BARAZA LA MADIWANI, na mheshimu sana zitto ninacho muona kama atambui akuna siri ya watu wa wawili duniani isijekujilikana , siri ni yako tu ndio aitajulikana, Zitto GODBLESS J Lema
Ushahidi-+Zito.jpg
 
Hii Nchi inakabiliwa na intellectual deficit ya hali ya juu sana yaani badala ya Wapinzani kutumia muda wao kui-attack CCM wanashambuliana wenyewe kwa wenyewe,Wasichokijua hawa wapuuzi ni kwamba wanaipa CCM opening bure ya kuwa-attack na hata kupoteza uhakika wa kufanya vizuri katika chaguzi mbalimbali zijazo.Chadema acheni huu upuuzi wenu mnakiumiza Chama!!!
Viongozi wa juu wa chama wamkemee huyo lema na zitto. Huo ndio mpasuko halisi.
 
WAKUU HABARI ZA SASA!,

Tazama hii kitu, alisema hapa achukui posho yoyote hile mpaka kwake kigoma RCC NA BARAZA LA MADIWANI, na mheshimu sana zitto ninacho muona kama atambui akuna siri ya watu wa wawili duniani isijekujilikana , siri ni yako tu ndio aitajulikana, Zitto GODBLESS J Lema
Ushahidi-+Zito.jpg

mhhhh! ukipokea hela unapewa risiti au unasain kwenye payment list sheet. Rudi tena kajipange upya wala haitaji kuwa mhasibu kujua risiti anapewa mtu gani? na risit yenyewe ya mwaka 2011. BIG RESULT NOW
 
USHAHIDI WA UONGO! Hahahahaaa! Kweli ujinga ni gharama! Hata robot haiwezi kufanya hivyo.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Duuh kazi ipoo...ina maana hiyo risiti hajawahi kuiona na wa hajui ina maana gani. Mnamuamdama Zitto mpaka akili zinawaruka.
 
Hiki ndicho kilichoandikwa na ZITTO. Kuna wajinga naona hawakuelewa lugha wakapindisha na kutengenezea uzi kiudakuudaku

[h=1]Zitto na Demokrasia[/h] Zitto na Demokrasia

[h=2]#1 Say NO to Posho![/h] with 25 comments
Last week I attended four meetings in Kigoma in my capacity (and as part of my job, which people elected me to do) as MP of Kigoma Kaskazini.
I attended meetings at the Constituency Development Fund Committee, District Council, Road Board and Regional Consultative (RCC). In all of these meetings participants are ‘entitled' to receive posho (sitting allowance).
This is how to say NO to posho and stand by it:
Say NO to Sitting Allowance In keeping with my stand I said NO to the posho. However, I signed for it and took it - in order then to go round the technicality of returning back the posho to the Government to show that my statement is not just rhetoric but action.

We have to walk the talk.
Above photo illustrates the receipt showing the payment I made back to the Government for the Road Board meeting.
Let's cut down on unnecessary expenditure and direct this money to our development budget to spur development and growth.
TUNAWEZA!
Please, do also read Policy Forum's report ‘Why we must abolish ‘sitting allowance'.
 
WAKUU HABARI ZA SASA!,

Tazama hii kitu, alisema hapa achukui posho yoyote hile mpaka kwake kigoma RCC NA BARAZA LA MADIWANI, na mheshimu sana zitto ninacho muona kama atambui akuna siri ya watu wa wawili duniani isijekujilikana , siri ni yako tu ndio aitajulikana, Zitto GODBLESS J Lema
Ushahidi-+Zito.jpg
Nilimwambia Godbless J Lema JF siyo Sakina au Stendi ya Vifodi, angalia sasa unavyomdhalilisha Lema.
 
Last edited by a moderator:
Hata mie mwanasiasaless and mwanachamaless namuona ZITTO kweli MZITO......namkubalije ghafla!!
 
WAKUU HABARI ZA SASA!,

Tazama hii kitu, alisema hapa achukui posho yoyote hile mpaka kwake kigoma RCC NA BARAZA LA MADIWANI, na mheshimu sana zitto ninacho muona kama atambui akuna siri ya watu wa wawili duniani isijekujilikana , siri ni yako tu ndio aitajulikana, Zitto GODBLESS J Lema
Ushahidi-+Zito.jpg

Yaani kila mkijitahidi kupambana na Zitto ndio mnazidi kuwafanya watu wamkubali na kumuamini kuwa zitto ni mkweli na nyinyi ni waongo na wenye chuki binafsi! Dhahabu ni dhahabu tu! Hata muipake matope, Lema na wafuasi wake mnazidi kujiharia, zitto sio daraja lenu.
 
Last edited by a moderator:
zitto kasema amepotezea kubshana na lema. naomba mniitie hawa watu waje waseme kama huu ndo ushahd wenyewe au vp[ g.lema,yericko,ben sa8,mungi.arusha1,martin jr,yegella ]na madereva vifodi wote ambao ni misukule ya lema. mmepgwa knockout mapema sana!
 
risiti inajieleza uchi kabisa received from..............mleta mada uelewa wako ni finyu sana unatumika vibaya
 
Mhhh sijaona sehemu ambayo Zitto kasign kuonyesha kwamba kapokea hiyo pesa cz listi inaweza kuandikwa bt pesa mtu usichukue ww leta ushahidi hapa unaonyesha sign ya zito kupokea hiyo pesa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Lini uliwahii kuona stakabadi kama hiyo ina mahali pa mlipwaji ku-sign?
 
Mkuu, kuna haja ya kujikumbusha majibu ya ZITTO katika hili
ZITTO KABWE NAYE AJIBU BAADA YA LEMA KUANDIKA WARAKA KUWA ZITTO NI MNAFIKI


Zitto katika Facebook wall yake leo.

Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na wengine wa kawaida kabisa hatuchukui posho.

Sio posho tu, hata msamaha wa kodi wa kuingia magari nimeukataa sababu ya misingi tu, kwamba siwezi kuwa Waziri kivuli ninayepinga misamaha ya kodi wakati huo huo nikachukua misamaha ya kodi. Ninaamini katika siasa za kutenda ninachosema. Mjadala wa posho kwangu mimi nimeufunga toka Juni 8, 2011 nilipoacha kupokea posho za vikao.

Mwaka huo pia nilikataa msamaha wa kodi ya kuingia gari. Ni msimamo tu, hapa mtu hupendi msimamo wangu isiwe uadui, wewe endelea kuchukua posho, omba ziwe nyingi zaidi na wala sitatia neno kwenye msimamo huo japo nitaudharau maana posho za vikao ni kuwaibia wananchi ambao hawana maji safi na salama, watoto wao hawana walimu sababu Serikali haiwalipi walimu vizuri, kina mama waja wazito wanakufa kutokana na huduma mbovu za afya huko vijijini nk.

Haya ndio masuala ya wananchi wetu na sio kudai kuongezewa posho.
Mkuu umemifurahisha sana, haya majibu nilikuwa sijayaona. Vijana wanatoana roho JF kumbwe mwenyewe kashafunga mjadala wa posho tangu 2011, si kwa maneno matupu bali kwa vitendo. Na hapo kwenye kukataa msamaha wa kodi ndipo aliponikosha zaidi.
 
Mleta mada, kati ya hivi vitu viwili kimoja ni sahihi;
i. ZZK kafanya hayo malipo au
ii. Wewe mwenyewe umeghushi nyaraka (Stakabadhi) za serikali
Tuambie ukweli!!!!
 
Duh sipendi kama kuna unafiki wowote zitto anafanya,
ila hapa mkuu umeonesha ifinyu wa fikra kabisa ndugu yangu.

Hapo serikali ime acknowledge kupokea kiasi cha fedha kutoka kwa zito, bahati mbaya sioni vema kwa imelipwa kama nn maana hzo ni general receipt so is multi-purpose.

kwa hiyo zitto aliikipa serikali sitting allowance!?
 
Haya ndo maoni ya wananchi juu ya msimamo wa ZITTO kuhusu posho na baada ya kubandika stakabadhi hii

[h=3]25 Responses[/h] Subscribe to comments with RSS.


  • Umefanya vyema mh. Zitto, haya maposho yashakua kero kwa maendeleo. Yanawanyonya watanzania!

    f4c188f2896c1eeda09baca0f66b4f72
    Suitbert Maro
    October 10, 2011 at 5:14 PM

    Reply


    • Kaka Zitto, unafanya vizuri kushikilia msimamo. Mi nina wazo/ushauri. Mwaka huu nilipata bahati ya kufika Kigoma, jamani sina la keuelezea. Yaani tangu angani, mpaka ile airport, mpaka njia nzima kwenda Kasulu…roho iliniuma sana sana! Hivi ni Tanzania ile ile kweli?! Jamani sehemu nyingine zi nyuma zaidi. MNO!
      Sasa, kwa sababu serikali (kwa sasa) ni ile ile, sioni kama kurudisha posho serikalini kutaleta maendeleo. Vipi kuhusu ule mfuko wa "Kuendeleza Kigoma"? Mimi naona bora kuchukua posho na kuzipeleka huko, na huo mfuko uwe na malengo ya kila mwaka ya maendeleo na yawe yanafanyiwa kazi. Mimi niko tayari kabisa kuchangia!
      Bado sijafika Mtwara, Pemba, Singida (mume wangu anasema pia mh!) wala Ruvuma lakini hiii mikoa pamoja na Kigoma inahitaji nguvu za ziada.
      Wasalaam,
      Lusajo

      2470bee364c0400a24adb5fb449768f1
      Sajo
      October 10, 2011 at 5:41 PM

      Reply


      • Acha kudanganya watu Lusajo mimi nimekaa mbeya kuliko kigoma mnatuzidi pale mbeya mjini, lakini kwa suwala la vijiji Bora unyamaze kabisa. Jimbo la Kabwe siyo kwenda kasulu, jimbo la kabwe linaelekea manyovu zaidi na na mwambao wa ziwa. Kwani mbeya kuna uwanja gani wa ndege mpaka sasa wa kujivunia kuacha huu aliolazimisha Mwandosya na umeshindikana na miaka yote hakuna ndege ya Abilia inaenda Mbeya. Kwa upande wa vijij tusidanganyane kwamba zile nyumba zinazojengwa kwa Mianzi kule tukuyu na Kyeala na kupakwa kwa mavi ya ng'ombe kwamba ndo maendeleo. Nakaa mbeya kaka

        cc5d37c8ad1c3e7c413dfe7c2ccafce6
        Sila
        October 11, 2011 at 10:32 AM



  • Mhesh.Zitto Kabwe I back up you for that reaction and action against unnecessary allowances.

    928a144ce497d5684c91391c12b3217a
    Fidelis kulolwa.
    October 10, 2011 at 5:22 PM

    Reply


  • Zitto Heko kaka kwa kujaribu kuonyesha mfano

    6afc0f8be13389895d0f33834a03897e
    Mtazamaji
    October 10, 2011 at 5:54 PM

    Reply


  • Yaani sipendiiii, ila "time will tell".

    fd89c2e2a58061fbf41696fe45ebbc73
    Digalu
    October 10, 2011 at 5:56 PM

    Reply


  • I salute you Mh. Zitto (MP)

    fd89c2e2a58061fbf41696fe45ebbc73
    Digalu
    October 10, 2011 at 5:57 PM

    Reply


  • i admire such a courageous move u r matching with mr zitto! Am real proud of man! We r behind u 4the sake of of our country's development!

    bb89a79ee8dfc4e53a807222bf5a8310
    sam de joe
    October 10, 2011 at 6:14 PM

    Reply


  • Congrats Hon. but i have a doubt if this campaign will succeed simply because you can see these members which you were with no one did as waht you did! People are selfish by nature. All in all congraturation mheshimiwa, we need people like you. I dream one day your campaign will make a way…….

    1e41b5a7706644b6ea7ab2015f45bf58
    william Jotham
    October 10, 2011 at 6:15 PM

    Reply


  • we have to start some where and you are setting an excellent example kiongozi. your resilience, courage and conviction will one day pay off. Gandi, Nyerere, Martin Luther King, Olof Palme, Nelson Mandela are leaders that commanded great respect and admiration..you are walking in their footsteps..what is there in this world my brother then to see and understand that it is not about you,me or them but about us and being aware that the legacy that we leave behind is another brick and another layer to contributing to the betterment of the human race..every step towards that conviction no matter how small leaves a trail.

    5534_121149248828_737838828_3025208_5854648_s_normal.jpg
    Tengo Kilumanga (@tengo_k)
    October 10, 2011 at 6:56 PM

    Reply


  • Big up zitto! you are the man…..! Leaders are born not created.You was born to be a leader.

    4249dddfa6855ffc1678d78fc6400ca7
    Ben
    October 10, 2011 at 7:58 PM

    Reply


  • kaka hivyo hivyo mpaka somo litaeleweka tu!
    usiogope ipo siku watajua kwanini unakataa posho.
    go kabwe go

    b6d6dd77f9f0704dc017cfd993014401
    kabolile
    October 10, 2011 at 8:10 PM

    Reply


  • [...] and direct this money to our development budget to spur development and growth. TUNAWEZA! 2011 | Zitto na Demokrasia…y-no-to-posho/ Last edited by EMT; Today at 21:23. Mkandara, BAK, MTM and 2 others like this. Don't think [...]

    Zitto Kabwe: Say NO to Posho - Page 2
    October 10, 2011 at 8:32 PM

    Reply


  • kaka
    mi huwa sina swali kwako nakukubali mpaka kesho
    napenda msimamo wako

    0dd3ddfc96672a2ae459da3f9963027b
    Ruhazwe jr
    October 10, 2011 at 11:39 PM

    Reply


  • Mmmm? Aina mbaya but uwo n mwanzo ngoja tuone mwisho wake utakuwaje {SIASA}

    842d82dc62872386d889d9ae19dac521
    Martine joseph
    October 11, 2011 at 7:17 AM

    Reply


  • [...] [...]

    News Alert: Zitto Zuber Kabwe hapigi kelele tu bali vitendo vyake vinaonekana
    October 11, 2011 at 9:40 AM

    Reply


  • tupo pamoja mpambanaji wangu

    1b34bf657d71dadfbc2af968707e098e
    hamza
    October 11, 2011 at 11:06 AM

    Reply


  • Ni kweli Sila, Vijiji vyote vya Tanzania havipishani sana, bado maisha ni duni.

    1e41b5a7706644b6ea7ab2015f45bf58
    william Jotham
    October 11, 2011 at 12:21 PM

    Reply


    • Unajua kaka mtu kama hujui kwao atakutambia sana, hapa TZ sijafika Lindi na Mtwara tu though naamini next week nitafika huko na NITAKUWA NIMEBAKISHA Pemba tu, sasa watu wanadhani maendeleo ni pale mjini pekee, mi philosophy yangu na imani yangu ni kuwa maisha halisi ya wa TZ ni yale ya kijijini, mjini wengi tunajifunika blanketi na hatuwezi kuonekana halisi tulivyo. Ni jimbo la kabwe lenye Lami kilomita nyingi kiuliko majimbo yote mkoa wa kigoma, ni jimbo la kabwe ambalo angalau wanakijiji wachache wana umeme, na hata hayo mafuta yanayotarajiwa kuchimbwa kigoma yanapatikana jimbo la kabwe.
      Ikiwa kigoma iliachwa na Serikali na watu wakatumia nguvu zao wenyewe bila mkono wa serikali na kufika pale walipo kwa miaka 50 TOFAUTI na mikoa mingine ambapo serikali imeweka nguvu nyingi sana na bado wako sawa na wale walioonekana kusahauliwa, VIPI kama kigoma ingepewa mkono mkubwa kama wao?
      Naamini sasa mambo yanabadilika na mtashuhudia mengi toka kigoma tena mengi toka majimbo ya upinzani.

      cc5d37c8ad1c3e7c413dfe7c2ccafce6
      Sila
      October 11, 2011 at 2:52 PM

      Reply

  • In Uganda, posho is regarded as a good meal for the forces (police, army, prisons officers, prisoners and of course school goers

    969ddfd2f249294bf5de5b0d9109d031
    meniez
    October 12, 2011 at 6:20 PM

    Reply


  • Mh thanks,,,
    nasi ni wakulima Mh mbona hamtulili jinsi tunavyofanyiwa kuhusu,,kuwekewa limitation of market.

    6d6499efdf3cfed2d9a2f2e63a91b12d
    Ally Ally
    October 18, 2011 at 2:39 PM

    Reply


  • [...] be a simple thing like the Tanzanian MP, Zitto Kabwe, who has started collecting receipts when he says no to sitting allowances, publishing them on his blog. I have to admit that part of my Scandinavian background often makes [...]

    Five Questions with photographer Pernille Bærendtsen
    October 24, 2011 at 10:51 PM

    Reply


  • Ndugu Zitto kwa hili swala nakupongeza sana. Nakumbuka mlivyoliwakilisha bungeni lilionekana kama ni hoja ya Chadema against others parties na mwisho kila mtu anafahamu. Kwakuwa ile approach ya kugomea posho kwa kutosign ilishindwa naomba nitoe ushauri wangu wa jinsi ya kutotumia hizi posho hasa za pale bungeni: KILA MBUNGE WA CHADEMA APOKEE POSHO KISHA ZIWEKWE KWENYE ACCOUNT MOJA THEN HIZO POSHO ZISAIDIE HUDUMA ZA JAMII KAMA AFYA. Mfano kununua vitanda vya Hospitali na mashuka kisha kuyaandika kuwa hizi shuka na vitanda ni kutokana na posho ambazo wabunge wa chadema wameona kuzitumia kwa njii hii. NINA UHAKIKA JAMII ITAWAELEWA VIZURI.

 
Hizo ni ela ndogo sana kwa hawa wanasiasa,wengi wao huwa hawazipokea zinachukuliwa na macashier au madereva wao,haziwezi dhibitisha uzalendo wao,hata Mh EL huwa hapokei ela hizo kwenye vikao vya Baraza la Madiwani ila haishangazi sana kutochukua ela ndogo hivyo.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Mkuu umemifurahisha sana, haya majibu nilikuwa sijayaona. Vijana wanatoana roho JF kumbwe mwenyewe kashafunga mjadala wa posho tangu 2011, si kwa maneno matupu bali kwa vitendo. Na hapo kwenye kukataa msamaha wa kodi ndipo aliponikosha zaidi.

Zitto yupo makini sana na hakika hapa LEMA anajiaibisha sana
 
Sasa naamini GODbles j lema na wapambe wake wote ni weupe kichwani, kila wakijitahidi kumtetea ndio wanazidi kumuaibisha. Tafuteni series nyengie, hii zitto ndio mshindi lema sijuwi kajificha wapi,toka juzi alipomwaga uharo wake hapa kapotea kabisaaa nadhani anajuta sasa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom