Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Anazungumzia kuporomoka kwa uchumi tanzania!
Anazungumzia kuporomoka kwa uchumi tanzania!
Zito anaweza kulaumiwa, lakini mazingira ya bongo ya sasa ukijifanya mzalendo sana utaumbuka! Kuna waziri mmoja wa serikali ya Nyerere yuko choka hadi inatia hasira. Anatembelea ndala na sometimes anaingia hotelini na kunywa chai na harf-cake moja.
Zito anaweza kulaumiwa, lakini mazingira ya bongo ya sasa ukijifanya mzalendo sana utaumbuka! Kuna waziri mmoja wa serikali ya Nyerere yuko choka hadi inatia hasira. Anatembelea ndala na sometimes anaingia hotelini na kunywa chai na harf-cake moja.
Dah anachambua issue ya posho mpaka nataka kulia kwa jinsi tunavyoibiwa