Zitto Kabwe: Nusu ya walimu wanalipwa mishahara ya bure, hawafundishi

Baada ya Hussein Bashe kusema ni watu waliofeli, Zitto Kabwe nae amesema nusu ya walimu hawafanyi kazi na ndio 'watumishi hewa haswa'
Ameongezea pia utafiti uliofanyika na Benki ya Dunia na REPOA ukitembelea ghafla kwenye shule za umma utakuta walimu hawapo shuleni




Mimi ni mwalimu....na katika hili wala hakuna ubishi...

walimu wengi hasa wa mijini ni wajasiliamali hawakai mashuleni....hawafundishi....hiyo ni kweli tupu

mijini pamejaa walimu wanawake ambao ni wake za wa kubwa...hawafundishi na wengi Wao hawana uwezo kitaaluma....

Zito amesema kweli na hakuna ubishi katika hili
 
Mimi ni mwalimu....na katika hili wala hakuna ubishi...

walimu wengi hasa wa mijini ni wajasiliamali hawakai mashuleni....hawafundishi....hiyo ni kweli tupu

mijini pamejaa walimu wanawake ambao ni wake za wa kubwa...hawafundishi na wengi Wao hawana uwezo kitaaluma....

Zito amesema kweli na hakuna ubishi katika hili
Kuna watu wanataka kuutetea uovu huu.... waalimu wengi ni mizigo na wamekosa ubunifu

Sitaki kuamini kuwa waalimu wa masomo ya sanaa wanahitaji vitendea kazi vingi zaid
 
Unalipwa 500000 kwa mwezi na nchii hihi ya sukari 3500 na una familia inaitaji nguvu za giza kukaa masaa yote kazini bila kutafuta kipato cha ziada mkuendesha maisha. Serikali isipo sikia kilio cha kuongeza mishahara na marupurupu mengine wasitegemee kuona hawa watu wakikaa shule masaaa yote.
Umegusa penyewe haswaaa! tatizo watu wanazunguka chanzo na badala yake wanaangalia matokeo, kuna marafiki zangu walimu kama wawili hivi wanaendesha "bodaboda" na hali zao afadhali kiasi hata mimi sasa hivi nasubiri mkopo wangu utoke ninunue Bajaj....hahahhaaa, unaingia kazini umechooooka ili usaini na kuangalia saa ya kwenda nyumbani ifike!
 
Kuna watu wanataka kuutetea uovu huu.... waalimu wengi ni mizigo na wamekosa ubunifu

Sitaki kuamini kuwa waalimu wa masomo ya sanaa wanahitaji vitendea kazi vingi zaid

Huenda wanaotetea ni miongoni mwa hao Mizigo....imagine shule ina walimu zaidi ya 30 lakini katika ha, 20 ni walimu wa Arts...still shule haifanyi vizuri kitaaluma.

Iko wazi kabisa walimu wengi hawatimizi wajibu ipasavyo.....kibaya zaidi tunao walimu wasiomudu masomo yao....hata hapa shuleni kwetu wapo...

Imagine mwalimu wa kike nae anaelekezwa/afundishwa kwanza na mwalim mwenzake then ndo anaenda darasani...sasa hapo unategemea nini?..

Ushahidi upo na Mimi mwenyewe ni shuhuda wa hili...

walimu wengi hasa wa kike ...ni wavivu, wazembe na wengi Wao ni vihiyo sana...
 
Huenda wanaotetea ni miongoni mwa hao Mizigo....imagine shule ina walimu zaidi ya 30 lakini katika ha, 20 ni walimu wa Arts...still shule haifanyi vizuri kitaaluma.

Iko wazi kabisa walimu wengi hawatimizi wajibu ipasavyo.....kibaya zaidi tunao walimu wasiomudu masomo yao....hata hapa shuleni kwetu wapo...

Imagine mwalimu wa kike nae anaelekezwa/afundishwa kwanza na mwalim mwenzake then ndo anaenda darasani...sasa hapo unategemea nini?..

Ushahidi upo na Mimi mwenyewe ni shuhuda wa hili...

walimu wengi hasa wa kike ...ni wavivu, wazembe na wengi Wao ni vihiyo sana...
Ndio athari za watu kusomea ualimu kwa sababu ya mikopo na nafasi wazi za kazi.....
waalimu wengi wa shule za serikali huwachukia wanafunzi smart kwa kuwa huyatambua madhaifu yao na hili nilithibitishiwa na mwalimu wangu wa sekondari enzi hizo

Muarobaini wa hili ni kuipa kipaumbele sector ya elimu ili ualimu uwe na hadhi kubwa itakayowavutia vijana smart kuchukua usukani ili wasiojiweza wakae pembeni...

Mikataba ya kazi iangaliwe upya yaani iwekwe kwa muda maalumu na pia waalimu wawe wanafanya usajili na interview za kazi kama kada nyinginezo
 
Ndio athari za watu kusomea ualimu kwa sababu ya mikopo na nafasi wazi za kazi.....
waalimu wengi wa shule za serikali huwachukia wanafunzi smart kwa kuwa huyatambua madhaifu yao na hili nilithibitishiwa na mwalimu wangu wa sekondari enzi hizo

Muarobaini wa hili ni kuipa kipaumbele sector ya elimu ili ualimu uwe na hadhi kubwa itakayowavutia vijana smart kuchukua usukani ili wasiojiweza wakae pembeni...

Mikataba ya kazi iangaliwe upya yaani iwekwe kwa muda maalumu na pia waalimu wawe wanafanya usajili na interview za kazi kama kada nyinginezo

Ndiyo maana tunalilia kuanzishwa kwa Teachers professional board....nadhani hii itatasaidia kupunguza vihiyo wengi sana waliojificha katika kada hii....

wako watu hawana sifa za kuwa walimu lakini kwa kuwa hakuna mchujo wa kuwapata walimu bora ...basi nao huajiriwa...

Hii inapelekea walimu wengi kuogopa kufundisha shule za A'level....na kujazana shule za Kata...
 
Kwa nini mliofaulu msije kufundisha
Hili swala laiti ningekua mwalimu mi naona kuna haja ya kuburuzana mahakamani ukaueleze umma, sasa napo basi
Sema walimu walipewa kipawa cha upole basi tu

You are joking.
Nifundishe kwa mshahara gani wa laki mbili, seriously? Yani hadi sasa hujaelewa kwa nini wasomi hawatoki kufundisha. Sababu hakuna pay motivation my broda. Achana na mambo ya wito, who will waste their time kwa ajili ya kujitolea at at this time and age?

Kufundisha sio wito.
Kuna two types of duties, moral duties and shareholders duties.
Shareholders duties ni zile ambazo ni contracted duties yani unazopewa while you sign your contract and moral duties (wito) comes within contracted duties.
Ikiwa hakuna enough incentives za kushawishi walimu kufanya their contracted duties, watafanyaje hizo moral duties.

Na the only incentives ambazo walimu need at the moment ni kuongezewa mishahara na ku improve their teaching environments.

Only in Tanzania, once mfanyakazi akishapewa contract ndio basi hakuna training wala supervisions ili kujua the challenges they're facing.

Tanzania education system needs to be changed
 
Huo niukweli mtupu,walimu wengi hawawajibiki ipasavyo kutekeleza wajibu wao nawao ndio wakwanza kulalamika.mfano kunashule flani mwalim alkua aingii darasani kila akifatwa nichenga namkuu washule taarifa alikua nazo,jamani amuwezi amini huyo mwalimu niwakike toka mwaka uanze aliingia maramoja tu napo akachagua mwanafunzi aongoze majadiliano pale mbele.Huyo nimmija tu wamfano nawengine wengi walikua wanatabia hiyo bila kuchukuliwa hatua stahiki.Maajabu wanafunzi wakifanya vizuri kwajuhudi zao,walimu wote wadarasa husika wanapeana zawadi lako mbili mbili au tatu wakati mhusika mkuu aluefanyavuri aambulii chochote.Inauma sana hii shule nukiifikiliaga.
 
You are joking.
Nifundishe kwa mshahara gani wa laki mbili, seriously? Yani hadi sasa hujaelewa kwa nini wasomi hawatoki kufundisha. Sababu hakuna pay motivation my broda. Achana na mambo ya wito, who will waste their time kwa ajili ya kujitolea at at this time and age?

Kufundisha sio wito.
Kuna two types of duties, moral duties and shareholders duties.
Shareholders duties ni zile ambazo ni contracted duties yani unazopewa while you sign your contract and moral duties (wito) comes within contracted duties.
Ikiwa hakuna enough incentives za kushawishi walimu kufanya their contracted duties, watafanyaje hizo moral duties.

Na the only incentives ambazo walimu need at the moment ni kuongezewa mishahara na ku improve their teaching environments.

Only in Tanzania, once mfanyakazi akishapewa contract ndio basi hakuna training wala supervisions ili kujua the challenges they're facing.

Tanzania education system needs to be changed
Ungeyaongea hayo mapena sijui kama tungefika huko,

Baaasi waacheni na wao wapige dili za mtaani, na ninavowakubali sasa hivi washajua nini maana ya mshahara wa ualimu na kizuri zaidi wakaenda mbali mno na kuona kazi haachi na hiko kijimshahara atakula na mishe zake atapiga.
Kwenye semina nyingi za ujasiriamali wamejaa walimu na sasa hivi usishabgae mida ya kazi kumkuta mwalimu yuko kwenye banda la kuku zake akikusanya mayai
Kwa wale wa vijijini ndio kwanza yuko kwa gambuti amesimamia mashamba yake, mwisho wa siku wamepiga hesabu akiwa na kuku humlipa zaidi kuliko kazi ya ualimu

Nina mfano dhahili kuna mwalimu mwaka jana alijaribu ufugaji wa kuku huki kijijini alikopangiwa, alipofika huko mshahara na mazingira vikawa changamoto,ila kwa sababu ya ugumu wa maisha akakomaa hivohivo
Walikuja hawajamaa wa semina za uhasiriamali wakajikita katika ufugaji mdogo tu wa kuku ticha hakuichezea fulsa
Alijaribu kuku wanaokaribia kutetea kama thelathini hivi, baadae walitaga mayai mda si mlefu walitotoa vifaranga wengi tuu baada ya miezu kadhaaa alikua na kuku kama mia nne ba ushehe hapo utolo kazini ulianza, kufikia mwezibwa nane mwaka jana alikua na uwezo wa kukusanya mayai kama mia mojaa kutoka bandani kwa siku akapata hoteli kama mbili mjini zinazonunua mayai yake kila siku, kwa kila yai shilingi 350 za kitanzania na walimlipa kwa mwezi,

Cha kushangaza alipata mara mbili ya mshahara wake kupitia mayai na fedha za uuzaji wa kuku ziliendesha mradi wake



Kuanzia hapo yeye hujali vipibdi vyake tuu kiukweli na mini nakili kwenye mahudhurio yake yameisha baada ya kupata m badala,

Hapo utagundua kua siku hizi hata wao wameamua kuchangamkia fursa kumkalisha shule na hana anachokifanya ni ndoto

Bahati mbaya kwa serikali sasa walimu wenyewe washajiandaa na lolote, kuliko akose kipato cha takribani milioni moja aje ashugulikie laki tatu na nusu itakua ngumu
 
Hapo piga ua ndo nimekubali mwalimu ni mnyonge mno ukiangalia ni wavumilivu na wastahimilivu sana hongera yao
Hao wapiga meza kila siku wanapiga hela zetu mingi tuu fanya utafiti mpiga meza mmoja anakula hela ya walimu wangapi kwa mwaka??

Ukilinganisha mwalimu wa sasa na wazamani unakua umeenda mlama kidoogo.
Tuliosoma zamani ni mashahidi, shule zilikua na wanafunzi wachache mno na madarasa yalibebeka hii ilimuwea rahisi mwalimu kumtembelea kila mwanafunzi na kutatua changamoto zake, jiulize siku hizi wastani wa mwalimu mmoja ni wanafunzi wangapi?? Jibu unalo, darasa linatengenezwa kwa viwango vya wanafunzi 45 mpaka 50 likikamilika tuu wanafunzi 120 mpaka 150 halafu kipindi dakika 40 mpaka 80. Hayo hamuyaoni kazi mna mshambulia tuu
Zamani mwalimu alikua na thamani yake katika jamii, alipewa uthamani na jamii nzima hivyo akajengewa moyo wa kufanya kazi si kwa ajiri ya mshahara bali kulipa fadhira za uthamani anaopewa na jamii husika inayomzunguka, lakini siku hizi kwanza kanyanganywa majukumu yake ya kulea na hasa anapochukua hatua fula fulani wazazi wanakuja wengine wanadiriki mpaka kumwambia namna ya kufundisha na jamii inayomzunguka siku angalia ni namna gani mwalimu anachukuliwa, ishaonekana ualimu ni kazi kama kazi zingine, mtukane na mnyanyasi ila mpe hela nzuri,
Leo katika kazi zoooote za kitaaluma na kitaalamu ualimu ndio wenye pesa ndogo kwa kizingizio eti ni wengi, kwa hiyo hamjipangi kuwahudumia??

Mwalimu anapostaafu masikini hana hata ka kibanda zaidi hukaa mda mfupi na kupoteza maisha,
Ikumbukwe mwalimu ni mwanafunzi siku zote husoma yanayoendelea na yaliyopita ili kujiimarisha katika msimamo darasani.
Sasa walishasoma na kuelewa kua wameterekezwa na aliyewaajiri anaona kama kawasaidia si kwamba wanamchango wowote, wameamua na wao angalau wajitahidi kujinasua kwenye hii dunia, siku nne kazini siku tatu mishemishe, na ndio maana wansoishi hivi angalau uhai wa familia zao inaridhisha, waliokaa kutegemea kazi na mshahara huishia kufanyia kazi madeni ya vibandani na kuweka vibati

MWISHO WA SIKU AKINA ZITTO WASIKALIE KUMLAUM MWALIMU WAANGALIE HATA NAMNA KAZI ZA WALIMU ZILIVYOZINGILWA NA CHANGAMOTO NYINGI, WAO CHANGAMOTO YA KUTOKUA LIVE BUNGENI WAMEPIGIA KELELE SANAA LAKINI CHANGAMOTO ZA WALIMU WAPO WANAOSEMA ETI HAZIZUIII KUFUNDISHA,

NACHEKA SANA KUJIFANYA HAWAYAONI HAYA NA KUMLAUMU MWALIMU, YAANI HATA MATANGAZO YA HAKI ELIMU HAMYASIK ???
SIKU ZOTE UKITEGA PANYA KWA SUMU NDANI UJUE HARUFU YA MUOZO HAIEPUKIKI NDANI

LEO UNAMCHEKA MWALIMU MAISHA MAGUMU KESHO UNAMLALAMIKIA HAFUNDISHI SI DHARAU HIZI,

SAWA NA KUMPIGA MTOTI HALAFU UNAMKATALIA KULIA


MWISHO
WALIMU KAZENI MIOYO MALIPO YENU SI DUNIANI TENA PALILIENI SAFARI YENU ACHANENI NA KAULI ZA WANASIASA AMBAO HUJIFANYA WANAJUA KILA KITU HASA HAWA WAGONGA MEZA
Poleni sana mkuu ila ukwel unajulikana kuwa kazi ya ualimu ilianza kuwa ngumi mambo ya voda fasta na shule za kata yalipoingizwa kwenye program ya wizara....wamelipua mengi sana.....elimu imefanyiwa mzaha sana, walimu wanaonekana wanyonge siku zote...
Lazima muungane kupigania haki zenu, lakini vile vile muwajibike ipasavyo, na kama tatizo ni kuingiliwa na wazazi nadhani mshirikiane mpendekeze sheria za kuwalinda, tatizo lipo pia kwenye baadhu yenu kutoka na madent, kuwapiga isivyo halali,kuoneana kusipo na sababu ndio maana wazaz wakaweka mkazo na wao kulinda watoto wao....hapo ndipo heshima ya walim wa zaman inapoonekana...unakumbuka kipindi ukiambiwa mtoto wako wa kike amechelewa ila yupo na mwalimu unafurah? Sas tunataka hiyo nidhamu sasa....
 
Ungeyaongea hayo mapena sijui kama tungefika huko,

Baaasi waacheni na wao wapige dili za mtaani, na ninavowakubali sasa hivi washajua nini maana ya mshahara wa ualimu na kizuri zaidi wakaenda mbali mno na kuona kazi haachi na hiko kijimshahara atakula na mishe zake atapiga.
Kwenye semina nyingi za ujasiriamali wamejaa walimu na sasa hivi usishabgae mida ya kazi kumkuta mwalimu yuko kwenye banda la kuku zake akikusanya mayai
Kwa wale wa vijijini ndio kwanza yuko kwa gambuti amesimamia mashamba yake, mwisho wa siku wamepiga hesabu akiwa na kuku humlipa zaidi kuliko kazi ya ualimu

Nina mfano dhahili kuna mwalimu mwaka jana alijaribu ufugaji wa kuku huki kijijini alikopangiwa, alipofika huko mshahara na mazingira vikawa changamoto,ila kwa sababu ya ugumu wa maisha akakomaa hivohivo
Walikuja hawajamaa wa semina za uhasiriamali wakajikita katika ufugaji mdogo tu wa kuku ticha hakuichezea fulsa
Alijaribu kuku wanaokaribia kutetea kama thelathini hivi, baadae walitaga mayai mda si mlefu walitotoa vifaranga wengi tuu baada ya miezu kadhaaa alikua na kuku kama mia nne ba ushehe hapo utolo kazini ulianza, kufikia mwezibwa nane mwaka jana alikua na uwezo wa kukusanya mayai kama mia mojaa kutoka bandani kwa siku akapata hoteli kama mbili mjini zinazonunua mayai yake kila siku, kwa kila yai shilingi 350 za kitanzania na walimlipa kwa mwezi,

Cha kushangaza alipata mara mbili ya mshahara wake kupitia mayai na fedha za uuzaji wa kuku ziliendesha mradi wake



Kuanzia hapo yeye hujali vipibdi vyake tuu kiukweli na mini nakili kwenye mahudhurio yake yameisha baada ya kupata m badala,

Hapo utagundua kua siku hizi hata wao wameamua kuchangamkia fursa kumkalisha shule na hana anachokifanya ni ndoto

Bahati mbaya kwa serikali sasa walimu wenyewe washajiandaa na lolote, kuliko akose kipato cha takribani milioni moja aje ashugulikie laki tatu na nusu itakua ngumu


Kwahiyo tunakubaliana Zitto Kabwe hakudanganya?

Watanzania tujifunze kusema ukweli na ku sacrifice kwa ajili ya wengine. Ushabiki tuweke pembeni, sio kila kitu tuna criticise ili mradi tuu tusikubaliane na opposition parties.

Tukimuunga mkono ktk hili na tui challenge setikali pamoja, watoto wetu watakuja kusoma ktk mazingira bora.

Tanzania education system needs to be changed na ku improve teachers working environments
 
Kwahiyo tunakubaliana Zitto Kabwe hakudanganya?

Watanzania tujifunze kusema ukweli na ku sacrifice kwa ajili ya wengine. Ushabiki tuweke pembeni, sio kila kitu tuna criticise ili mradi tuu tusikubaliane na opposition parties.

Tukimuunga mkono ktk hili na tui challenge setikali pamoja, watoto wetu watakuja kusoma ktk mazingira bora.

Tanzania education system needs to be changed na ku improve teachers working environments
Ukweli ndio huo lakini kinachokela ni pale mwalimu anaposhambuliwa kwa maneno makali na kauli za kumdharirisha
 
Nchi zote zilizoendelea walimu wanaishi kama wafalme mtu anajivunia kua Mwalimu jiulize waziri kuchukua mshahara mkubwa kwa kazi hipi anayofanya kutoa matamko tatizo letu wanasiasa Tumewafanya kama miungu watu mkuu wa wilaya anakula mshahara kwa kazi hipi
 
Mkuu muokotamatunda, nakubariana na wewe. Tunatarajia muujiza toka kwa hawa watu ambao serikali ilishaamua kuwatelekeza siku nyingi sana.
 
Ninacho kiona hapa wachangiaji walio wengi ni waropokaji na hawafanyi tafiti kwa kina ila wachache ndio kidogo wanajitahidi kufikikiri kwa makini swala la kudorora kwa elimu tanzania hasa kwa shule za kata lina mambo mengi sana ingawa na hilo la utoro linachangia kwa sehemu yake, bt lipo kubwa ambalo halijaangaliwa na hao watoa hoja au kama linaangaliwa basi wanalionea haya kulisema, swala la kipato kidogo cha mwalimu hakina impact ya wazi katika kufahuru kwa watoto hasa kwa sekondari na sijawahi kuona mwalimu amekataa kufundisha au anafundisha vibaya kwa makusudi eti kisa mshahara mdogo,hilo halipo kabisa ingawa imekiuwa kama sababu ya mazoea tu lakini si kweli kwamba kipato kidogo cha mwalimu ni sababu ya kufanya vibaya yapo mambo ambayo ni ya msingi sana yanayo poromosha elimu tanzania
 
Mkuu muokotamatunda, nakubariana na wewe. Tunatarajia muujiza toka kwa hawa watu ambao serikali ilishaamua kuwatelekeza siku nyingi sana.
tatizo kwenye ualimu kuna mamluki wengi ambao hawapendi kufundisha ila wameingia tu kwa ajili ya ajira
 
kabla yakumtupia lawama mwalimu hebu rudini nyuma kidogo angalieni hali ya huyu mwalimu; mshahara kiduchu.mazingira ya kazi bado ni shida.darasani unapewa watoto nyomi.acheni jamani.
Haya mambo ya walimu ni ya muda mrefu sana......anachosema Zitto ni ukweli....yani ni kwamba lazima pande mbili zipatanishwe
Mwalim apewe motisha ya kufundisha vile vile awajibishwe kwa hilo..
Conspiracy ni kwamba ukiongeza mshahara wa walimu. Mishahara ngazi zote zitapanda anzia serikalini hadi sekta binafsi na hivyo kufanya maisha kuwa magum kias kwa mwananchi wa kawaida..( jicho la tatu linahitajika kwa hili)
Maana kwa waajiri watongeza cost of production na importer wataongeza WACP,
So ni kama unarud square one...
Otherwise vitu kama nyumba, mazingira bora ya kaz ni vitu muhim sana..walim wa zaman walifundisha kwa weled sana, japo maslaj yao yalikuwa duni zaid

Sawa mie sibishi ila fatilia ata walimu wa daresalam sana sana shule za kata na wao hawaingii madarasani kufundisha kwa nini?na wengine wana magari yao kabisa wanaendesha..mwanangu yupo shule ya msingi apa dar kwa siku wakisoma sana ni subject mbiri sasa jameni maisha magumu kwa walimutu na tena wa shule za government?!!!
 
Back
Top Bottom