TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA TAIFA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh:Zitto Zuberi Kabwe (CHADEMA)muda huu ameshaingia Wilaya ya Karatu tayari kwa Mikutano yake mbalimbali maeneo ya vivijini na Kesho atafanya Mkutano Mkubwa KARATU mjini.
Mikutano ya Leo anaifanya kata ya ENDAMARARIEK ambapo atakuwa na mikutano miwili ya kujenga na kuimarisha chama. Huu ni mwendelezo wake wa mikutano mbalimbali ndani ya nchi baada ya kufanya mikutano siku nne mfululizo ndani ya Kigoma,Jana alikuwa mwanza akalala Dar es salaam na Asubuhi ya leo amesafiri kuelekea KARATU kwa lengo la kujenga na kuimarisha chama.
WANAKARATU WOTE MNAOMBWA KUHUDHURIA KWA WINGI MKUTANO MKUBWA SIKU YA KESHO UTAKAO FANYIKA KARATU MJINI
CHADEMA NI CHAMA CHA KITAIFA
PEOPLE'S POWER
ZZK at Karatu