OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Udini huo unawasumbua wana m4c
my god!.. Sasa itakuwaje!.. Niko dodoma naswaga ng'ombe kibao kwa ajili ya mahari na mijihela ya posa!.. Leo una mruka?!!!!.. Makubaliano ya wiki iliyopita yameyeyuka?!
Hilo la kusema kaenda kwasababu ni role model wake sasa ni utoto.Nchi ndo imewakilishwa kwenye msiba na hajaenda kwasababu tu yeye ni Zitto na aliyefariki ni role model wake.Hayo ni mawazo mfu.zitto role model wake keshasema ni zenawi meles r.i.p, sioni cha ajabu hapo wapo msibani..
Zitto ni disaster na ninashangaa watu ambao mnatoa povu kumtetea huyu gaidi wa ukombozi, huyo jamaa ni puppet leader, mfatilieni kwa makini mambo yake ndio mtagundua, huyu jamaa kama aliweza kumpigia kampeni Jk badala ya Dr.slaa 2010, je anashindwa nn kukisaliti chama? THINK BIG magreat thinkers huyu jamaaa hafai na sisi hatutacha kumchana live hata siku 1.