Zitto Kabwe mbunge makini kuliko wote TZ!

Status
Not open for further replies.
john cheyo mzee wa mapesa, kwenye chama yuko peke yake, kisha huyu mzee kweli mchumia tumbo pia yeye mwenyewe ana kamati anasimamia, kwenye kulalamika wa kwanza kwenye kuwawajibisha anao walalamikia kaingia mitini, minadhani wakirudi tena bungeni hii oparation uwajibikaji ya mh' kabwe pia imuangazie yaani imulike mpaka yeye mwenyewe ili awajibishwe, kwani huwezi kuwa unalalamika tu unapopewa nafasi ya kumuwajibisha unaemlalamikia unakimbia huu si uungwana kabisa nawasilisha.
 
Mheshimiwa Zito ana mvuto mkubwa kuliko CHADEMA; Hongera kwa kuikibeba chama chenu!

Mkuu, hakika hapa umepotoka mh zitto ni maarufu wel n gud lakin kuliko CHADEMA!NO WAY HAUPO SIRI AZI! KUNA WATU WANGAPI WANIPENDA CDM LAKIN HAWA MWAMIN ZITTO?jibu jepesi wapo wengi..
 
tatizo lake zitto hana integrity kama jjmnyika uswahiba wake na bwana mkubwa unamtia mashaka wa wadau wake wa CDM uku ukiamini kuwa bwana mkubwa ni mtu pinzani.......................? think out of box
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota’ wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.


Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mikutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng’oa’ Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang’olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.

Zitto mwenyewe ameeleza: “Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng’oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang’oka, rekodi zimeshajiandika.”
Zitto alifanikiwa kukusanya saini za wabunge 73, ambao ni kutoka vyama karibu vyote vyenye wabunge bungeni, isipokuwa UDP tu.
Sikulijua hili!, kumbe ni kweli, mti wenye matunda, ndio hutupiwa sana mawe!.
Pasco
 
Mnaomsifu zitto kwa unafiki wenu,mnachangia sana kumshusha kisiasa huyu kijana.sifa zenu zinamfunua wazi na kumfanya pandikizi.hata kama mlimtuma awatumikie huko cdm,mnamfanya ashitukiwe mapema kabla hajatimiza takwa lenu la kuiua cdm.
 
Hoja kubwa za Cdm ni kuondoa mianya ya rushwa na ubadhilifu wa fedha ....isingekuwa hivyo hawa jamaa wasingekuwa na hoja yoyote.....ndo maana wanaishia kulumbana badala kutupa hoja za nguvu za nafasi za watanzania kuondokana na bajeti kutegemea zaidi nje.......HIVI MNA FIKIRI Cdm AU SisiM wana JIPYA WAKATI KELELE ZOTE WOTE WANAISHIA KUSEMA MJOMBA OBAMA ONGEZA KIDOGO HOVYOOOOOOOO KABISA !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!11
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom