Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,552
- Thread starter
- #21
Lengo ni to make the long story short, Bunge limeanza live na matangazo ya TBC-1 yanakatika katika, katu katu na sasa wamesitisha kidogo wanapiga muziki... Yamerudi sauti mbovu sana. Ikumbukwe Pinda ndiye anafuatia na maswali live.mbona una kimbilia kutetea? Kwani watu wame fikiria hivyo au wewe ndiyo una jaribu kuweka wazo hilo kwenye akili za watu? Umekua too defensive kwenye kauli yako kana kwamba watu washa sema wana fikiri hivyo. Wacha wenyewe waseme au wewe spokesperson wao?