Jamani zitto ametangaza nia ya kuomba nafasi ya ukuu wa upinzani bungeni
misimamo yake hasa wakati ule wa Dowans inanipa mashaka
Chenge katangaza nia ya kuwania kogoda cha spika mimi nadhani saizi ya Chenge ni Tundu Lisu
Tundu ni mwanasheria na ana msimamo thabiti.... Kiti cha ukuu wa kambi ya upinzani bungeni ikienda kwa Zitto ni kama kazi tuliyoifanya itakuwa kazi bure... haeleweki yule mtu jamani.... My Choice is either Lissu or Mbowe
misimamo yake hasa wakati ule wa Dowans inanipa mashaka
Chenge katangaza nia ya kuwania kogoda cha spika mimi nadhani saizi ya Chenge ni Tundu Lisu
Tundu ni mwanasheria na ana msimamo thabiti.... Kiti cha ukuu wa kambi ya upinzani bungeni ikienda kwa Zitto ni kama kazi tuliyoifanya itakuwa kazi bure... haeleweki yule mtu jamani.... My Choice is either Lissu or Mbowe