Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Inategemea kwako wewe tafsiri ya discpline inaanzia wapi na kuishia wapi! Huenzi kuishi ndani ya Udikteta ukakaa kimya kisa utakuwa huwa adabu. Ndio maana leo hii unawasikia wengine wanakataa kukubali matokeo. Hii yote ni hulka ya kushinda au kuamua jambo bila kupingwa.Lakini ni vijana wasio na displine. Ni afadhali wakakaa mbali nasi kuliko kuwa nao kama mzigo ndani ya chama. Mi nadhani tutashirikiana nao vizuri wakiwa nje ya chama kuliko walivyokuwa ndani ya chama. Mnamkumbuka Kafulila na battle ya zitto na wenyekiti? Wacha akae na Mbatia huyo watawezana maana ni wale wale tu, undisciplined.