idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
kwani kama mpenzi wa ccm lazima ukichukie chedema.?
Na kama unamkubali zitto lazima u
wakubali viongozi wote
wa chade
ma.
? Au kama unamkubali slaa lazima umkuli na zitto.? Lazima tukubali kwamba kuna wanaccm wanamkubali slaa kama ilivyo kwa wanachadema sio wote wanampinga kikwete....imetokeaa kwa baadhi ya wadau wa jf kuhusu mjadala wa zitto.wapo wanaoamini kama unamuunga mkono zitto juu ya tamko lake basi wewe hukipendi chadema.kwa msimamo wao wanaojaribu kutuaminisha kwamba wanaomuunga mkono lowassa sio wanaccm.mimi siamini katika hilo kila anaekikubali chadema anasababu zake za msingi japo sababu zinaweza kutofautiana kilingana na mtazamo wa mtu hiyo ndio demokrasia.sawa namuunga mkono zitto hii haimaanishi kwamba namchukia slaa au sikipendi chama cha chadema huo ni mtazamo tu.ndio maana hata leo mbowe na slaa wakiwania uraisi ndani ya chadema lazima kura zitagawanyika hivyohivyo na kwa zitto..mwisho wa siku lazima tukubali kutokubaliana ili tusonge mbele kulikomboa taifa toka kwa mkoloni mweusi ccm.!!
Na kama unamkubali zitto lazima u
wakubali viongozi wote
wa chade
ma.
? Au kama unamkubali slaa lazima umkuli na zitto.? Lazima tukubali kwamba kuna wanaccm wanamkubali slaa kama ilivyo kwa wanachadema sio wote wanampinga kikwete....imetokeaa kwa baadhi ya wadau wa jf kuhusu mjadala wa zitto.wapo wanaoamini kama unamuunga mkono zitto juu ya tamko lake basi wewe hukipendi chadema.kwa msimamo wao wanaojaribu kutuaminisha kwamba wanaomuunga mkono lowassa sio wanaccm.mimi siamini katika hilo kila anaekikubali chadema anasababu zake za msingi japo sababu zinaweza kutofautiana kilingana na mtazamo wa mtu hiyo ndio demokrasia.sawa namuunga mkono zitto hii haimaanishi kwamba namchukia slaa au sikipendi chama cha chadema huo ni mtazamo tu.ndio maana hata leo mbowe na slaa wakiwania uraisi ndani ya chadema lazima kura zitagawanyika hivyohivyo na kwa zitto..mwisho wa siku lazima tukubali kutokubaliana ili tusonge mbele kulikomboa taifa toka kwa mkoloni mweusi ccm.!!